Makomando wa Marekani waingia Somalia na kumuua mkuu wa magaidi wa IS


Tumekusikia sasa jibu swali


Anayetoa hiyo taarifa ni Yesu ??
 
Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,
Rev 22:12.“Sikiliza!” Asema Yesu..... 13Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.”

Usimsahau na huyu melchizedek

3. Without father, without mother, without descent, having neither beginning of days, nor end of life; but made like unto the Son of God; abideth a priest continually. ( Hebrews 7:13)

 
Wewe ndio huielewi
Math 9:6Basi, nataka mjue kwamba Mwana wa Mtu anao uwezo duniani wa kuwasamehe watu dhambi.” Hapo akamwambia huyo mtu aliyepooza, “Inuka, chukua kitanda chako, uende nyumbani kwako.”
Pole kwa staili hiyo mtaendelea kuburuzwa.
Mungu anasema alimtoa yesu kusamehe kutokana na imani ya huyo mtu na hayo maandiko yako yote yanadhihirisha imani za wahusika

Soma warumi 3
25Mungu alimtoa Yesu kama njia ya kusamehe dhambi za watu kupitia imani katika yeye.

Mimi nikuache tu ikiwa bibilia yako tu hujui

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Naona mmeshahama kwenye mada ya ugaidi na kuingia kwenye mambo ya dini.

Waharifu wote naomba washughulikiwe wao na isiwe dini zao.Uharifu hauna dini ndugu zangu.
 
Mbona ma-shule yenu ya kiislam yamekua ya mwisho mwisho kitaifa? Huko mashuleni mnafundisha watoto ngumi na umbea tu
 
Mbona ma-shule yenu ya kiislam yamekua ya mwisho mwisho kitaifa? Huko mashuleni mnafundisha watoto ngumi na umbea tu
Nyinyi mliokwenda mashile ya kwanza jibuni hili Swali


Mathew 9 :2 Anayetoa hiyo taarifa ni nani ?
 
Hivi yule alie jiita mume wenu mnamuonaje kwanza
Acheni ugaidi la sivyo mmarekani atawamaliza

Issue ilianzia kwa huyu
Muhammad said; I have been given superiority over the other prophets in six respects: I have been given words which are concise but comprehensive in meaning; I have been helped by terror (in the hearts of enemies):......Sahih Muslim 523a
 
Mpaka sasa kashafikia nusu ya kutumaliza au tambua Yesu anasema hiviMathayo 10:34
“Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani. Sikuja kuleta amani bali upanga. Maana nimekuja kuleta mafarakano kati ya mtu na baba yake,....



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…