Hivi kwa nini USA anaiunga mkono zaidi Israel kuliko Mataifa mengine?Marekani wanajitayarisha kupeleka vikosi kwa kuhofia malipizo kutoka Iran.
Israel huwa anapewa ujiko asiostahili kabisa.
Ubabe wa Israel unatokana na Marekani. Period, end of sentence.
View: https://youtu.be/R6iIe6T_k20?si=FciUVz6Wko1FmUAF
Hata Israel ipo overrated.Hizbollah walikua overrated sana ,waliachwa tu ili wafanye damage kubwa ili wakija kupukutishwa ionekane walistahili, hapa anasubiliwa iran ajae tu uwe mwisho wa ayatollah na genge lake
Ukomandoo ni mafunzo, Shoga anaweza kuwa Komandoo hatari na kufyagia kundi la Magaidi.Sema Makomandoo wa mabwana zao Amerika, Wale mashoga wanaweza kuwa makomandoo!
Naunga mkono hoja, hapo anaye chat ni Biden, Netanyahu kawekwa profile picture tu...Marekani wanajitayarisha kupeleka vikosi kwa kuhofia malipizo kutoka Iran.
Israel huwa anapewa ujiko asiostahili kabisa.
Ubabe wa Israel unatokana na Marekani. Period, end of sentence.
View: https://youtu.be/R6iIe6T_k20?si=FciUVz6Wko1FmUAF
Marekani ndivyo ilivyo.Hivi kwa nini USA anaiunga mkono zaidi Israel kuliko Mataifa mengine?
Hao hata wa Lebanon wenyewe wenye nchi yao hawawataki kabisaNimekubali kabisa kuwa Hezbollah ni wepes kama karatasi kumbe Hamas ni kidume
Urusi shida ni democrats tu.....Na Netanyahu alishaenda kuongea na mrusi ndo hii nguvu kwa magaidi ikaongezeka,,,,,anaingia Trump hapo hana interest na Ukraine vita huko inaisha na Russia ameshamega nchi ,huku Mrusi anamuachia Trump na Israel awanyooshe makobazi haingiliiii.......hii dunia hawa jamaa wanafata zaidi Interests zao kama mnaenda sawa bas kazi kwisha.......ndo maana Democrats wanahangaika kumuua Trump maana wao ndo waliokua na interests huko Ukraine ila hawakua na interest na Israel ndo maana hadi Netanyahu akamaind akaenda kuongea na mrusi......,,ona sasa game linavyokuja kubadilikaMarekani ndivyo ilivyo.
Kwa washirika wake huwa inajitoa sana.
Unafikiri kwa nini mpaka sasa hivi China haijaivamia Taiwan? Ni kwa sababu wanajua wakiivamia Taiwan, itakuwa ni vita dhidi ya Marekani.
Kwa nini mpaka sasa Urusi haijaishinda Ukraine? Ni kwa sababu ya misaada ya Marekani.
Gaza mlisema hivyo hivyo ila wote tumejionea.Israel waishie hapo imetosha... Wameonyesha ubora kwenye intel na airforce wakisaidiwa na US/CIA / US Airforce, wakaushe sasa, ground invasion watapigwa wachakae... Huo ndio ukweli....
Marekani wanajitayarisha kupeleka vikosi kwa kuhofia malipizo kutoka Iran.
Israel huwa anapewa ujiko asiostahili kabisa.
Ubabe wa Israel unatokana na Marekani. Period, end of sentence.
View: https://youtu.be/R6iIe6T_k20?si=FciUVz6Wko1FmUAF
Kwa sababu Israel anahitaji msaadaHivi kwa nini USA anaiunga mkono zaidi Israel kuliko Mataifa mengine?
Urusi shida ni democrats tu.....Na Netanyahu alishaenda kuongea na mrusi ndo hii nguvu kwa magaidi ikaongezeka,,,,,anaingia Trump hapo hana interest na Ukraine vita huko inaisha na Russia ameshamega nchi ,huku Mrusi anamuachia Trump na Israel awanyooshe makobazi haingiliiii.......hii dunia hawa jamaa wanafata zaidi Interests zao kama mnaenda sawa bas kazi kwisha.......ndo maana Democrats wanahangaika kumuua Trump maana wao ndo waliokua na interests huko Ukraine ila hawakua na interest na Israel ndo maana hadi Netanyahu akamaind akaenda kuongea na mrusi......,,ona sasa game linavyokuja kubadilika
Walienda tu kama kuongelea maswala ya mateka ila baada ya hiki kikao Netanyahu akaongeza kasiView attachment 3111332
Lebanese are looking Phoenician haswa... Arabs rudini kwenu mnasumbuaHao hata wa Lebanon wenyewe wenye nchi yao hawawataki kabisaView attachment 3111323
Netanyahu wants all the smoke 🤣.
Hizo zote ni ziada muhimu kujua Wanasayansi wengi wa Marekani ni WaisraelKwa sababu Israel anahitaji msaada
na kingine, kwa sehemu kubwa mashariki ya kati Israel ndio nchi inabaki kuwa mshirika wa kuaminika kwa US.
US inahitaji ushawishi eneo hilo, Israel ni jicho la US kwa ME, Israel ni kambi kubwa ya kijeshi kwa ME, Israel ni mahala pa ki stratejia kwa US
US inaweza kuishambulia nchi yeyote ME kupitia Israel ikiwemo Iran.. na hata Yemen...
US haitokubali kuipoteza Israel kwa manufaa ya kiuchumi, kijeshi, ki stratejia n.k...
From what i think lakini....
Habari za Israel imebarikiwa akili,utakatifu na tech kubwa ni uongo, Israel haifikii nusu ya robo ya tech iliyopo US
Hata wakihamia kwenye shimo lingine Netanyahu will smoke them outKwahiyo hao panya wa Hezbollah watahamia kwenye mashimo yapi
Trump hawezi akapigana na Mchina watatoleana tu maneno katikati yao refa ni mrusi......Mchina kaamua kufocus zaidi na Africa hio Taiwan hata akipigana vita faida yake sio kubwa kama akiwekeza zaidi Africa ,,,,,,,ila mwarabu katolewa kafara wazungu sio wa kuwaamini,,,,,makobazi walijua mrusi au china wataingilia ila jamaa wamebaki kuzuga tu kutoa makalipio huku kobazi wakichezea kipondo.......Mchina sahv anajiweka sawa na Mhindi wamalize ile ishu yao ya mpaka jamaa nguvu nyingi wanaipeleka BRICS na huko ndo China anaona kuna muelekeo wa yeye kua superpower,,,,Taiwan alitaka kupigana sababu ya teknolojia ya kutengeneza chip za simu na vifaa vingine vya kielektronic ila hadi sasa ameshapata njia zake na ndo maana huawei imefufuka tena,,,kwahio interest ya China kuingia vitani na Taiwan imepungua kabisa Mchina kwa sasa anafocus kua superpower na sio kupigania kakisiwa ambacho impact yake kwa sasa ni ndogoTrump anataka kupigana na Mchina,
USA haitaweza kupigana Vita ya Middle East na Israel, RUssia na China kwa mpigo.
Trump anataka vita mbili ziishe na abaki na Mchina peke yake.
USA asipofilisika, Wachina na Waarabu watakiona cha Mtema Kuni.
Israel hawafiki hata kwa Japan kwenye techHizo zote ni ziada muhimu kujua Wanasayansi wengi wa Marekani ni Waisrael
Kwa sababu Israel anahitaji msaada
na kingine, kwa sehemu kubwa mashariki ya kati Israel ndio nchi inabaki kuwa mshirika wa kuaminika kwa US.
US inahitaji ushawishi eneo hilo, Israel ni jicho la US kwa ME, Israel ni kambi kubwa ya kijeshi kwa ME, Israel ni mahala pa ki stratejia kwa US
US inaweza kuishambulia nchi yeyote ME kupitia Israel ikiwemo Iran.. na hata Yemen...
US haitokubali kuipoteza Israel kwa manufaa ya kiuchumi, kijeshi, ki stratejia n.k...
From what i think lakini....
Habari za Israel imebarikiwa akili,utakatifu na tech kubwa ni uongo, Israel haifikii nusu ya robo ya tech iliyopo US
Hao arabs waislam wa hapo ni wapalestina, walipokelewa tu kama wakimbizi baadae wakaanza kuzaliana na kuanzisha hio Hezbollah na kuanza kuwaletea shida hadi wenyeji wao waliowapokeaLebanese are looking Phoenician haswa... Arabs rudini kwenu mnasumbua