Urusi shida ni democrats tu.....Na Netanyahu alishaenda kuongea na mrusi ndo hii nguvu kwa magaidi ikaongezeka,,,,,anaingia Trump hapo hana interest na Ukraine vita huko inaisha na Russia ameshamega nchi ,huku Mrusi anamuachia Trump na Israel awanyooshe makobazi haingiliiii.......hii dunia hawa jamaa wanafata zaidi Interests zao kama mnaenda sawa bas kazi kwisha.......ndo maana Democrats wanahangaika kumuua Trump maana wao ndo waliokua na interests huko Ukraine ila hawakua na interest na Israel ndo maana hadi Netanyahu akamaind akaenda kuongea na mrusi......,,ona sasa game linavyokuja kubadilika
Walienda tu kama kuongelea maswala ya mateka ila baada ya hiki kikao Netanyahu akaongeza kasi
View attachment 3111332