Makomandoo wa JWTZ wawa kivutio ktk Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar

Makomandoo wa JWTZ wawa kivutio ktk Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar

Natazama maadhimisho ya Mapinduzi ya Zanzibar, hii mikomandoo imeshiba, miili ka ya Goliati, mmh burudani kutazama na ni mahili ktk maonesho! Sipati picha ukikutana nayo in battle field. Safi sana makomandoo wetu!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums


FYI yule mrefu wa mwisho kwa msafara anaitwa luteni godfrey yani mseven alikua anamwangalia huku kashika kidevu chake anashangaa jamaa wanavyofanya mambo ni tofauti kabisa na vijana wake na yule jamaa alikua batalion ya 4 pale goma na ndio alio fanikisha mauaji ya mamadou
 
isijekuwa tumewachukua wanamazingaombwe kumtishia m7

View attachment 131789
BYENBKxCYAAhebV.jpg
 
Kuuliza c ujinga, wamefanya na maonyesho ya kufyatuliana risasi kifuani?
 
Hii ni tofauti na ile inayo mlinda BABU, Ilikua inashinda Gym na kulala kwenye mageti ya kumbi za burudani, sasa imepata kazi nzuri ya klinda Babu na Mbowe
 
yule jamaa alikua batalion ya 4 pale goma na ndio alio fanikisha mauaji ya mamadou

Mkuu hapo sijaelewa

Yani huyo luteni Godfrey ndo alifanikisha mauaji ya kanali mamadoue? shaubar
 
jamaniee picha jamanii.msitupige mawashi za chembe.leteni pichaaaaaaaaaaaaaaaaaa.ebo!
 
Halafu.wanasifa sana hawa jingine limepigwa mpin wa kichwa, mpini umevunjika, likabua kofia limepigwa tena umevinjika duu

Kaka Nilikuwa Sijachangamka bado ila Ulichokiandika kimenifanya Nicheke hadi basi!!!! Asante Kwa kuniongezea Siku za Kuishi.
 
Natazama maadhimisho ya Mapinduzi ya Zanzibar, hii mikomandoo imeshiba, miili ka ya Goliati, mmh burudani kutazama na ni mahili ktk maonesho! Sipati picha ukikutana nayo in battle field. Safi sana makomandoo wetu!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Huyu ni komando wa kubumba, yaani wa maigizo kama Kanumba enzi za uhai wake aliigiza akiwa tajili, ila ktk mazingira ya kawaida sivyo alivyo.
 
Kuna kitu sikuelewa pale,, wale walikuw makomandoo au wale mabaunsa wao wanaong' oaga watu kucha, memo, na macho???? Kama vile wamekuja kuwakisha kina CC
 
Siyo kukashifu ukiwa nyuma ya keyboard;Kawachokoze uone hizo nyama za kwenye sambusa zinavyofanya kazi.


Watu wengine hupenda kuongea tu! Wajengeke Nyama Kwani hao wamekua waonesha misuli?

Mtu Km Huyo ni kumpeleka kwenye kambi Yao na kumuacha huko akipata azabu ndogo tu ya kusimama na kg25 za mchanga mgongoni kwa masaa 10 akitoka hapo atakuja na Sifa kibao za kuwasifia mashujaa wetu!

Acha kabisa hao watu ni sawa na miroboti. Komando na vikosi maalumu sio Askari Wa kuchezea! Kwanza ni ghalama sn kumtengeneza! Na hao huko Znz ni kijisehemu tu! Midude ilioiva ipo! Huwezi kuonesha kila kitu kwa haraiki uweza wako wote!
 
M7 anafuatilia kwa makini Zana za Kijeshi.

Mbona Anazo Nyingi Kushinda pengine hata Zetu Hizo? Huyo ndiyo Kijana wa Marehemu Mama Esteeri Kokundeka na Marehemu Mzee Amos Kaguta. Zake Nyingi Sasa Anazipitishia Nchini Kenya kwa Swahiba Wake Uhuru haswa Akipewa Kutoka Korea Ya Kaskazini na Urusi. Sana Sana Amekuja Kutusanifu tu ila Kwa Kuwa hata na Yeye ni Jasusi Tena Mzuri tu Aliyeibuliwa hapa hapa Alipokuwa Anaishi Pale Muhimbili Ujio Wake ni Wa Kutusoma Kijeshi. Nawaheshimu na Nawakubali Sana Watutsi hawa Wawili Yoweri Museveni na Paul Kagame!
 
Back
Top Bottom