Makomandoo wa JWTZ wawa kivutio ktk Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar

Makomandoo wa JWTZ wawa kivutio ktk Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar

Hivi wale uzeeni watafika kweli? na kama watafika watakuwaje? maana kupigwa tofali la kichwa kisa ubishoo!! kwan wakipigwa risasi haitapita? maana vitani hakuna matofali ila ni risasi!

umeoana ehe...wabongo hata movies zao zina kuwa na scene unnecessary kabisa..nilikuwa najiuliza km wenzio ngumi tuu huaribu ubongo...inakuweje yale matofali....halafu hao ndio wanahitajika kuwa smart and intelligent..sijui km wale wanaweza fundishwa kuhack computers, kusoma lugha km tano na kushika utamaduni fulani ili wakiwa ktk mission waweze hata jifanya raia hali ikiwa mbaya na kuhitajika kujificha kwa raia hadi msaada ufike.

Niliwahi ona shooting ya rap za kibongo wanamrusha mtoto juu na kumdaka wakiwa ktk duara,bongo movies wengine wanagombania mtoto mdogo wanamvuta na kupayuka,mtoto analia mbaya kwa maumivu wao wanaona kuwa ndio wamefanya movie yenye uhasilia wa kijinga...ni scenes hazina maana kabisa na hatari sana.Ukiwauliza hicho kipande kilisaidia nini kuweka mvuto ktk hilo hakuna.

nadhani Seal wa Kimarekani wakiangalia,au hata assassins wa Kagame wakiangalia watakuwa wakicheka sana....km vile mtu anaangalia tren ya makaa ya mawe na tren ya umeme. ktk kizazi hiki
 
tanzanian commandos3.jpg
 
ha ha ha aise yaani dunia inakwenda kwenye sifuri na moja kwenye mambo ya kijeshi sisi bado tunapasua matofali na kichwa?

sijui nani atawapa panado,ila yote ni vitisho kwa Wazanzibar
 
vita hawapgani vichwa ni mizinga madege technologia yani maujanja vitani co usugu usugu wakawe walinzi wakumbi za starehe tz nimeanza kuichukia wakija alshababu nawapa ramani yote yatz mi nakeleka hasa nkshasikia sauti ya kiwete kazi wanapeana mjini hapa c 2nalialia 2 majibwa yanakula mbwa wote wana ccm
 
Acha Hizo Kuwa Komando Siyo mpaka Uwe Baunsa! Je Hujawaona Wale Wawili ambao ni Wembamba tu? Ukomandoo ni Zaidi Ya Ufikirivyo au Uhisivyo. Fitness, Flexibility na Intelligence ndiyo Vigezo Vikuu na Umbile Siyo muhimu sana Sema tu Wengi Wao Wanapenda Mno Kupiga Nondo na Usisahau Kuwa hata Vifaa Vyao vya Kazi Vingi ni Vizito na Vigumu Mno Hivyo kwa Wao Kujazia ni Kama Mtani Wangu Mhaya na Mwanamke au ni Kama Mtani wangu Muha na Uchawi au Ni Kama Watani Zangu Warangi na Wanyiramba Kwa Kupenda Nanihiiiiii....................................!!!!!!

...............dushelele.
 
Acha Hizo Kuwa Komando Siyo mpaka Uwe Baunsa! Je Hujawaona Wale Wawili ambao ni Wembamba tu? Ukomandoo ni Zaidi Ya Ufikirivyo au Uhisivyo. Fitness, Flexibility na Intelligence ndiyo Vigezo Vikuu na Umbile Siyo muhimu sana Sema tu Wengi Wao Wanapenda Mno Kupiga Nondo na Usisahau Kuwa hata Vifaa Vyao vya Kazi Vingi ni Vizito na Vigumu Mno Hivyo kwa Wao Kujazia ni Kama Mtani Wangu Mhaya na Mwanamke au ni Kama Mtani wangu Muha na Uchawi au Ni Kama Watani Zangu Warangi na Wanyiramba Kwa Kupenda Nanihiiiiii....................................!!!!!!

Mkuu watani zako wanyiramba na warangi ni jinsia zote ama ME au KE peke yake fafanua kidogo mkuu
 
Makomandoo wetu hawana shughuli TZ hadi wanapata hamu ya kupiga raia(refer ZNZ 2000-2001 uchaguzi mkuu)
 
Mods msaidieni kuiweka kama thread,itaokoa maisha na mali!

..QUOTE=kababu;8368656]Wakati mkifuatilia mapinduzi ya zanziba polisi wa arusha sana sana wa kituo cha usa fuatilieni jambazi lilopigwa risasi na polisi mpakani maeneo ya holili likatoroka liko arusha hospitali ya sharak linatibiwa kwa usiri mkubwa sana kwani amegawa hela kwa daktari na manerse(sisters) ili wasipeleke repot polis (hospitali iko 1km kutokea arusha mjini kabla ujafika makumira university) [/QUOTE]
 
Walikuwa makomandoo mkuu. si kila kitu mpaka uwe na mtizamo hasi wale jamaa mie nimewakubali, wanastahili kuitwa makomandoo kwa sababu wana mbinu zote za kikomandoo, pia ni wakakamavu na wanamazoezi ya khali ya juu sana. hongera Jwtz kwa kuwa na watu wakakamavu namna hiyo.
 
Kuna kitu sikuelewa pale,, wale walikuw makomandoo au wale mabaunsa wao wanaong' oaga watu kucha, memo, na macho???? Kama vile wamekuja kuwakisha kina CC
Laiti kama ungejua uwezo wa comando wala usingethubutu kuwabeza wale comandos.
 
Jeshi sio kundi la kwaya jamani!!!!!!
Hao maroons waacheni tu jamani sio watu hao kama mnavyotaka kuwachukulia hapa!!!!!


We jua tu ni zaidi ya mtu na ni hatari sana basi!!!!!!
 
kweli kabisa! Maana walichoonyesha pale ni 0.8% tu uwezo halisi wa komandoo! Ukitaka kujua zaidi basi ingia porini utaona kazi yao!

Watu hawalijui hilo. huyu mdau aliyebeza laiti angepitia hata mafunzo ya mgambo nadhani asingekuja kuanzisha hii thread.
Hadi mtu anafuzu kuwa comando sio mchezo.
 
Kwa ninavyojua mimi Comando ni mtu intelligence.Anafanya mambo ya kuisoma system ya adui kwa utaalam mkubwa..Haya mambo yakuvunjiwa vitofali kichwan then mkaniambia kuwa in comando ndo nayaona bongo..Kwanza comando wa jeshi huwa haonekani kizembe sembuse kufanya upuzi wakuvunjiana vitofali huku mkipiiga hung haa kama mazombie..Wale ni waruka judo tu comando hayuko vile kabisa...Na ubongo utafanyaje kazi za kitaalam kama comando wakati unautumia kuvunjia vitofali? Wabongo emb kueni basi!!!
 
Dunia Nyingine hii jamani! vita vinapigwa kisayansi! mtu yupo america, anakundia tz. utamfanya nini na misuli pekee?
 
Back
Top Bottom