Makomandoo wa JWTZ wawa kivutio ktk Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar

Makomandoo wa JWTZ wawa kivutio ktk Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar

Zile zana za kijeshi zilizooneshwa ni chache sana na hasa sababu za kiusalama, na kama tujuavyo nchi yetu kwa sasa ina marafiki wa mashaka lolote laweza tokea, ila zipo nyingi hazikuonyeshwa.
 
Tafuta uangalie mazoezi ya SEALS mkuu. Yamefanana na yale. Huwa yanaonyeshwa na Fox channels na yapo kwenye baadhi ya dvds.pia kumbuka yapo na mengine hawakuweza kuyaonyesha pale kutokana na nature ya eneo
[ QUOTE=Nicholas;8369804]umeoana ehe...wabongo hata movies zao zina kuwa na scene unnecessary kabisa..nilikuwa najiuliza km wenzio ngumi tuu huaribu ubongo...inakuweje yale matofali....halafu hao ndio wanahitajika kuwa smart and intelligent..sijui km wale wanaweza fundishwa kuhack computers, kusoma lugha km tano na kushika utamaduni fulani ili wakiwa ktk mission waweze hata jifanya raia hali ikiwa mbaya na kuhitajika kujificha kwa raia hadi msaada ufike.

Niliwahi ona shooting ya rap za kibongo wanamrusha mtoto juu na kumdaka wakiwa ktk duara,bongo movies wengine wanagombania mtoto mdogo wanamvuta na kupayuka,mtoto analia mbaya kwa maumivu wao wanaona kuwa ndio wamefanya movie yenye uhasilia wa kijinga...ni scenes hazina maana kabisa na hatari sana.Ukiwauliza hicho kipande kilisaidia nini kuweka mvuto ktk hilo hakuna.

nadhani Seal wa Kimarekani wakiangalia,au hata assassins wa Kagame wakiangalia watakuwa wakicheka sana....km vile mtu anaangalia tren ya makaa ya mawe na tren ya umeme. ktk kizazi hiki[/QUOTE]
 
Hivi wale uzeeni watafika kweli? na kama watafika watakuwaje? maana kupigwa tofali la kichwa kisa ubishoo!! kwan wakipigwa risasi haitapita? maana vitani hakuna matofali ila ni risasi!

!
!
wanaleta ukomando kipensi,teh teh wajipige ris@si za kichwa au bomu kabisa tujue wamefuzu. Vitani hakuna tofali
 
Kwa ninavyojua mimi Comando ni mtu intelligence.Anafanya mambo ya kuisoma system ya adui kwa utaalam mkubwa..Haya mambo yakuvunjiwa vitofali kichwan then mkaniambia kuwa in comando ndo nayaona bongo..Kwanza comando wa jeshi huwa haonekani kizembe sembuse kufanya upuzi wakuvunjiana vitofali huku mkipiiga hung haa kama mazombie..Wale ni waruka judo tu comando hayuko vile kabisa...Na ubongo utafanyaje kazi za kitaalam kama comando wakati unautumia kuvunjia vitofali? Wabongo emb kueni basi!!!

!
!
siku nyingine watazuia gari kwa meno
 
Mkuu Nicholas naona umewabeza sana hao jamaa lakini kiufupi mimi nimewakubali sana hao jamaa! Kiufupi hao jamaa walikuwa wanaonyesha mbinu ndogo ndogo za mapigano pamoja na ushupavu ama ukakamavu wako! Au wewe ulitaka watumie siraha kamili kabisa kama wanapambana na adui? kama vipi ungejipenyeza hadi katikati yao kwa dhamira ya kuwadhuru ili upate utamu wao!
Usiponde kila kitu ndugu yangu! kiufupi tu tofauti na kauli yako (refer red) wale jamaa walikuwa very smart, otherwise zama kwenye dictionary ujue maana ya neno 'smart'. Ukweli wale jamaa nilipowaangalia baada ya muda nikang'amua kwamba tunalala na kuamuka salama kwa sababu ya wale jamaa! kama unabisha fuatilia kujua CV za hao jamaa wamepitia wapi mpaka wakafikia hapo!!! Na hata huyo rafiki yako kagame akiwaona hao jamaa ananywea! Hujui why hata M7 aliachia speech nzuri ya kusifia, kushukuru tena kwa upole kabisa! Amuka kaka usiwabeze wanaume wanakuhakikishia usalama wa maisha yako huku unaendelea kula raha na familia yako!!
umeoana ehe...wabongo hata movies zao zina kuwa na scene unnecessary kabisa..nilikuwa najiuliza km wenzio ngumi tuu huaribu ubongo...inakuweje yale matofali....halafu hao ndio wanahitajika kuwa smart and intelligent..sijui km wale wanaweza fundishwa kuhack computers, kusoma lugha km tano na kushika utamaduni fulani ili wakiwa ktk mission waweze hata jifanya raia hali ikiwa mbaya na kuhitajika kujificha kwa raia hadi msaada ufike.

Niliwahi ona shooting ya rap za kibongo wanamrusha mtoto juu na kumdaka wakiwa ktk duara,bongo movies wengine wanagombania mtoto mdogo wanamvuta na kupayuka,mtoto analia mbaya kwa maumivu wao wanaona kuwa ndio wamefanya movie yenye uhasilia wa kijinga...ni scenes hazina maana kabisa na hatari sana.Ukiwauliza hicho kipande kilisaidia nini kuweka mvuto ktk hilo hakuna.

nadhani Seal wa Kimarekani wakiangalia,au hata assassins wa Kagame wakiangalia watakuwa wakicheka sana....km vile mtu anaangalia tren ya makaa ya mawe na tren ya umeme. ktk kizazi hiki
 
Kwa ninavyojua mimi Comando ni mtu intelligence.Anafanya mambo ya kuisoma system ya adui kwa utaalam mkubwa..Haya mambo yakuvunjiwa vitofali kichwan then mkaniambia kuwa in comando ndo nayaona bongo..Kwanza comando wa jeshi huwa haonekani kizembe sembuse kufanya upuzi wakuvunjiana vitofali huku mkipiiga hung haa kama mazombie..Wale ni waruka judo tu comando hayuko vile kabisa...Na ubongo utafanyaje kazi za kitaalam kama comando wakati unautumia kuvunjia vitofali? Wabongo emb kueni basi!!!

komandoo lazima uwe mkakamavu, pale wameonesha ukakamavu.
 
Dunia Nyingine hii jamani! vita vinapigwa kisayansi! mtu yupo america, anakundia tz. utamfanya nini na misuli pekee?


Jaribu kujifunza kitu kwa undani ukielewe ndio uweze kutoa hoja! Misuli ni muhimu sn kwa vikosi maalumu vyenye makabiliano ya ana kwa ana au kwa oparesheni maalumu! Hawa ni moja ya vikosi maalumu! Wenye kutumia dhana za kivita na mikono inapobidi!
 
Watu hawalijui hilo. huyu mdau aliyebeza laiti angepitia hata mafunzo ya mgambo nadhani asingekuja kuanzisha hii thread.
Hadi mtu anafuzu kuwa comando sio mchezo.

!
!
ukomando wa zama za mawe za kale.
Wafanye na ya kupigwa risasi za kichwa maana katika uhalisia hakuna matofali ni ris@si na mabomu tu mtindo mmoja.
 
Ndo tofauti kati yako unaojali ubongo na Komando..

Duh umepiga madongo sana .......well, sidhani km jamaa waliwakilisha vyema....sikupenda sana zoezi la kupiga matofali kwa kichwa....hata km inawezekana ikibidi ila si vizuri sana kufanya mara nyingi, km ngumi tuu huaribu ubongo km tuonavyo kwa mohamed Ali....ni vipi sasa hawa jamaa kutakiwa Intelligent halafu wanachezea ubongo ktk show zisizo na ulazima kihivyo.
 
Ndo tofauti kati yako unaojali ubongo na Komando..

Kwani wao hawana ubongo wana kuhitaji ubongo unafanya kazi?kwa taarifa yako mbali na kuwa fiti Ubongo ndio huamua haraka km unachopigania kinakufikisha ktk maelengo au kinakuchelesha hadi maadaui wajipange?kwa taarifa yako jamaa wanahitaji san akuwa vey alert na active..kwa taarifa yako wanahitaji sana akili wakiwa ktk mission wakakuta adui kaweza vielelezo vya kuwapotez an akuwatia mitegoni.

Tea wanahitaji sana ubongo salama kuliko mimi.Mimi naweza kuw akichaa na nikapa bia na kufanya bishara vizuri mitaani na nikiwachanganya watanzania vizuri wanaweza nipa hata urais..halafu hao jamaa ndio wanifanyie kazi.Hao jamaa mara nyingi wanatakiwa kuwa na timu work nzuri na waminiane na kupendana na kulindana..na kila mtu ajue kuwa akiwa dhaifu hasara si yake tuu,na wenzie,na taifa au mission nzima.Sasa km unapenda wawe vichaa...ni wazi hujui missioni ikiwa ngumu kiasi cha kufanya wasipate msaani nini wanabaki nacho....ni akili iliyo safi mbongo zisizo choka.na hivyo ziwe msaada kwao.
 
Mkuu unatupotezea muda kusoma habari ambayo haina kichwa wala miguu.Au unataka kuongeza idadi ya thread zako?
Subiri watu waanzishe uchangie kama huwezi kuandika kitu kinachoeleweka.

Jmapili mkuu ameamja nazo kichwani akaenda kuziongezea sijui alitaka makomandoo waonekaje?
 
Uzeeni ufike utie hasara ya kuleta kinyesi na kuchafua mazingira bila faida yeyote ile duniani. P.U.M.B.U.F.U.
 
Mkuu Nicholas naona umewabeza sana hao jamaa lakini kiufupi mimi nimewakubali sana hao jamaa! Kiufupi hao jamaa walikuwa wanaonyesha mbinu ndogo ndogo za mapigano pamoja na ushupavu ama ukakamavu wako! Au wewe ulitaka watumie siraha kamili kabisa kama wanapambana na adui? kama vipi ungejipenyeza hadi katikati yao kwa dhamira ya kuwadhuru ili upate utamu wao!
Usiponde kila kitu ndugu yangu! kiufupi tu tofauti na kauli yako (refer red) wale jamaa walikuwa very smart, otherwise zama kwenye dictionary ujue maana ya neno 'smart'. Ukweli wale jamaa nilipowaangalia baada ya muda nikang'amua kwamba tunalala na kuamuka salama kwa sababu ya wale jamaa! kama unabisha fuatilia kujua CV za hao jamaa wamepitia wapi mpaka wakafikia hapo!!! Na hata huyo rafiki yako kagame akiwaona hao jamaa ananywea! Hujui why hata M7 aliachia speech nzuri ya kusifia, kushukuru tena kwa upole kabisa! Amuka kaka usiwabeze wanaume wanakuhakikishia usalama wa maisha yako huku unaendelea kula raha na familia yako!!

Lazima niwabeze ktk hili km hawajui kuwa akili ni resource precious sana..hawatakiwi kuiaharibu ktk matukio na scene isiyo na lazima...

Niliwahi ona askari wa Libya ktk TV wakipiga sialha hovyohovyo sana..hadi mtangazaji wa CCN alipokuwa akiongea alitumia neno la busara sana na ujanja kuchomekea hilo....kwani vita ilikuwa bado ipo ipo sana ..ndio walikuwa wanaanza halafu wanapiga risasi hovyo na makobora km vile wanafungua champaigne....hawajui bei ya silaha na logistic ya kuzifiksha kwao,hawjaui kila silaha wanayoiharibu ndivyo wanavyozidi jiweka watumwa kwa mataifa wafadhili...hawajui kupiga silaha hovyo ni kumsaidia adui jua wapo wapi?

Ndio maana Ninja wanaweza kuwa sahihi sana..ninja akili yake ni muhimu sana na huwa ni man alone na si timu.Ungejua hao makomando kwanza hawatakiwi kuandikwa hadharani.....ili wakijapewa mission maadui wasiwajue .Na mara nyingi hutakiwa sana kutunzwa kwani gharama za kuwafikisha hapo ni kubwa na ,wanahitaji muda na mchujo mkubwa.

Yaani wao kunidhuru si ushujaa ,haina tofauti ya mimi kumpiga na kudhuru mnyonge wangu.Haimaanishi nikubanwa na aliye na mafunzo na uwezo binafsi kuliko mimi nitaibuka kidedea.....kwa taarifa yako kunahitjaika kipaji binafsi na akili ya harakaharaka unapokutana na mtu mwenye skills na mafunzo km yako.

Pia ujue kuwa ktk vita wanauwawa na raia wa kawaiada tuu kirahisi linapokuja suala la mabomu ya kutegwa na silaha z amaangamizi.
 
Back
Top Bottom