Makomandoo wa JWTZ wawa kivutio ktk Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar

Makomandoo wa JWTZ wawa kivutio ktk Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar

mkuu andaa matofali mawili na nyndo ya kupasulia mawe.Matofali yaweke kifuani tayari tayari.Nakuja kukupima kama wewe komandoo au laa!

Nyie ni watu wa viwango vya chini sana tena mnaozuzuka na mazingaombwe ya kitoto toto.
 
Ndo tatizo la kusepa mafunzo ya mgambo, na JKT!

kwani mgambo nao hufundishwa haya?Mbona wanapigwa na mama wauza gongo viboko haki wanajikojolea?Sasa kwanini wengine wakawa makomandoo na wengine migambo?
 
Nyie ni watu wa viwango vya chini sana tena mnaozuzuka na mazingaombwe ya kitoto toto.
Any way ngoja turahisishe kazi.Wewe andaa tofali moja tu la kuchoma, nyoa kipara, halafu mkabidhi rafiki yako akutwange nalo kichwani hadi liwe unga.Tutakukabidhi cheo cha ukomandoo hapo papo.Ila usaini kwenye form maalum kwanza kwamba zoezi hilo unalifanya kwa hiari yako na utakuwa tayari kwa matokeo yake.
 
check jamaa anavoweza kuruka,,Bravo Boys.

Hatari sana hawa jamaa

Bila kusahau HALO and LAHO parachuting na kupewa full bawa

From the looks of it hao ni level 3 commandos
 
ukitaka kujua kama makomandoo au mabaunsa ni rahisi sana.
Procedures.
1.Mtafute rafiki yako kisha mkabithi fimbo kubwa, matofali ya kuchoma na cement n.k.
2. mpe kazi ya kukutandika na fimbo mwili mzima hadi ikatike katike yote.Kama bado hujaelewa
3. Mwambie akupige na tofali la kuchoma kichwani hadi lisagike lote.Kama bado hujaelewa,
4. mkabidhi matofali mawili na nyundo ya mawe.Mwambie ayaweke kifuani kwako kisha ayapasue kwa nyundo. Bila saka utakuwa umeelewa baada ya hapo.Tehe! tehe!

hii hapa ni physics tupu wala haina ubabe...kichwa maji wewe...?Na haikuanza leo kafanya sana Newton ktk mazingaombwe yake kwa Jumba la mfalme kila weekend.

yeyote aliyeweza beba zile tofali kifuani angeweza subiri zipasuke..uzito wa nyundo ukilinganisha na tofali unadetermine tofali au jiwe lisogee kiasi gani(hapa linasogea kisogo sana kiasi kisichotosha kandamiza yalipotua hayo matofali), na ukubwa wa kichwa cha nyundo ukilinganisha na tofali, pamoja na uhasili wa tofali ktk mpigo wa nyundo ndio sababu ya tofali kupasuka.

Hiyo si kitu cha kujivunia ni kw amazingaombwe tuu...na hayana kazi ktk vita.
 
mkuu andaa matofali mawili na nyndo ya kupasulia mawe.Matofali yaweke kifuani tayari tayari.Nakuja kukupima kama wewe komandoo au laa!

duuuuuuh hi ni sayansi ndogo kwa mazingaombwe haina kazi ktk maisha ya kivita..sasa hivi nimepasulia kwa mwanangu ili nae ajione kuwa superhero....cha kuangalia n upigaji wa nyundo kwani tofali likipasuka tuu...nyundo nio hatari itapiliza hadi kifuani na bisahra ya huyo commando itakwisha...kuwa inapigwa ktk controlled hits...
 
!
!
inawezekana isiwezekane





Unadhani unajua lakini wewe ni mbumbumbu ktk mambo ya ulinzi na jeshi.
Makomandoo no wanajeshi waliopata na kufuzu mafunzo maalum na ya ziada ya kivita. miongoni mwa mafunzo mayo ni jinsi ya kupata intelijensia kuhusu adui,mbinu za kumdhoofisha, jinsi ya kujihami kwa silaha na bola silaha nk. Na watu hao ktk vita vya kisasa vya kisayansi na teknojia, ndio hutumika ktk kufanya 'electronic target marking' kwenye maeneo nyeti ya adui, yanayopaswa kushambuliwa na 'guided missiles' mizinga ya Masada marefu ama ndege za kivita.
 
Hao ndio makomando wa jwtz!
JWTZ (Jeshi la Wakurya Tangu Zamani).

Mbona makabila yote ya Tanzania yanaanzia na "Wa"? Hata Sie Wagagagigikoko tunajivunia Jeshi letu la Wananchi. Na huwa tunadadavuka hivi (Jeshi la Wagagagigikoko Tangu Zamani) Kwikwikwi....
 
Makomandooo wetu walikuwa fit sana

Ila walifunikwa na Askari wa mkoloni yaani nilichekaa hadi machozi yakado. ndoka
 
Hivi wale uzeeni watafika kweli? na kama watafika watakuwaje? maana kupigwa tofali la kichwa kisa ubishoo!! kwan wakipigwa risasi haitapita? maana vitani hakuna matofali ila ni risasi!

Hiyo kitu inaitwa one to one combat.Vita si risasi tu kuna wakati kuna makabiliano ya ana kwa ana adui aweza tumia silaha yoyote yakiwemo matofali,mawe ya kurusha nondo n.k komandoo lazima awe tayari kukabiliana na silaa ya aina yoyote.Ndio maana usije rushia jiwe askari wa JWTZ kimbunga kitakachofuata hapo untajinyea.
 
Ujio Wake ni Wa Kutusoma Kijeshi. Nawaheshimu na Nawakubali Sana Watutsi hawa Wawili Yoweri Museveni na Paul Kagame!

Uwezo wa mtu kivita hupimwa uwanja wa Vita.M7 wapiganaji wa LRA na wengineo toka ameingia madarakani kashindwa kuwamaliza! Kagame na kuisaidia M23 kakwama .

Hizo silaha zilizopo hapo na hao makomandoo waliopo hapo ni kwa ajili ya maonyesho na magwaride silaha zenyewe za uhakika na makomandoo baba zao wako machakani.Hazijawekwa kwenye maonyesho.
 
Walishacheza na M23 kawaulize M23 mechi waliionaje?

hawa makomandoo,walishindwaje kudhibit twiga wasiondoke????hawa makomandoo hawakujua kama ndege ya jesh ilitua KIA???hawa makomandoo walishindwa kusimamia ulinz wa Obama,mpaka wamarekan wakasimamia show ya ulinzi wao?hawa makomandoo hawawez kusimamia ujangili????
 
Back
Top Bottom