Makomandoo wa JWTZ wawa kivutio ktk Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar

Makomandoo wa JWTZ wawa kivutio ktk Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar

Kwa ninavyojua mimi Comando ni mtu intelligence.Anafanya mambo ya kuisoma system ya adui kwa utaalam mkubwa..Haya mambo yakuvunjiwa vitofali kichwan then mkaniambia kuwa in comando ndo nayaona bongo..Kwanza comando wa jeshi huwa haonekani kizembe sembuse kufanya upuzi wakuvunjiana vitofali huku mkipiiga hung haa kama mazombie..Wale ni waruka judo tu comando hayuko vile kabisa...Na ubongo utafanyaje kazi za kitaalam kama comando wakati unautumia kuvunjia vitofali? Wabongo emb kueni basi!!!

Inteligence ni idara inayojitegemea kwenye Jeshi.Usiyoyajuaa utashindwa kuelewa! Inteligence hutumiwa na komandoo kufanya vitu vyao.Inteligence ni fani inayojitegemea na wanaoijua barabara wengi si makomandoo!!Polisi wa upelelezi si lazima awe ndiye atakaye shika jambazi sugu.Kuna vikosi vya kupambana na majambazi sugu wanaotumia inteligence iliyokusanywa na askari wa upelelezi!

Usichanganye vitu unavyoangalia kwenye sinema na mambo ya majeshi.
 
Jumong una chembechembe za uoga wewe,wewe utatishwaje na dume mwenzio bana! angalia usije ukaachia uharo apo ulipo.
Kaka unaweza kuta unaongea na komandoo mwenyewe!


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Hawa ni askari wetu!nikikosi maalum ndani ya jeshi letu...na kazi ya kutukuka walioenda kuifanya ni kulitokomeza kundi la M23 huko congo.na sio kama hawapati dhoruba wakiwa kwenye medani ya vita la hasha kwenye operation huko congo tuliwapoteza vijana wetu kadhaa wa "red berret"
 
Lazima niwabeze ktk hili km hawajui kuwa akili ni resource precious sana..hawatakiwi kuiaharibu ktk matukio na scene isiyo na lazima...

Niliwahi ona askari wa Libya ktk TV wakipiga sialha hovyohovyo sana..hadi mtangazaji wa CCN alipokuwa akiongea alitumia neno la busara sana na ujanja kuchomekea hilo....kwani vita ilikuwa bado ipo ipo sana ..ndio walikuwa wanaanza halafu wanapiga risasi hovyo na makobora km vile wanafungua champaigne....hawajui bei ya silaha na logistic ya kuzifiksha kwao,hawjaui kila silaha wanayoiharibu ndivyo wanavyozidi jiweka watumwa kwa mataifa wafadhili...hawajui kupiga silaha hovyo ni kumsaidia adui jua wapo wapi?

Ndio maana Ninja wanaweza kuwa sahihi sana..ninja akili yake ni muhimu sana na huwa ni man alone na si timu.Ungejua hao makomando kwanza hawatakiwi kuandikwa hadharani.....ili wakijapewa mission maadui wasiwajue .Na mara nyingi hutakiwa sana kutunzwa kwani gharama za kuwafikisha hapo ni kubwa na ,wanahitaji muda na mchujo mkubwa.

Yaani wao kunidhuru si ushujaa ,haina tofauti ya mimi kumpiga na kudhuru mnyonge wangu.Haimaanishi nikubanwa na aliye na mafunzo na uwezo binafsi kuliko mimi nitaibuka kidedea.....kwa taarifa yako kunahitjaika kipaji binafsi na akili ya harakaharaka unapokutana na mtu mwenye skills na mafunzo km yako.

Pia ujue kuwa ktk vita wanauwawa na raia wa kawaiada tuu kirahisi linapokuja suala la mabomu ya kutegwa na silaha z amaangamizi.
Kaka we unataka waoneshe kila kitu mpaka zoezi la ubongo? Tofautisha kati ya maonesho na real situation. Hao makomando wanastandard za juu sana, you have to know that hawapewi hiyo rank mpaka wamekidhi vigezo vya dunia!


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Comando lazima awe fit on both angles...mental and physical intelligence.so hawa wa kwetu wameamua kuonyesha one side tu. Big up to them
 
sasa walitaka wakate viuno ndiyo wajue kuwa ni makomandoo?

Kuna vitu vya msingi vya kuhoji ndiyo maana tunahitaji kuwa na tunu za Taifa kwa ajili ya kulinda na kuhifadhi heshima, utu na misingi ya Taifa.

Ninyi ndio mnaotakiwa kupelekwa mstari wa mbele kabisa pindi vita vinavyotokea ili kupima nguvu za adui.

Hapa Nicholaus panamuhusu sana!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Unadhani unajua lakini wewe ni mbumbumbu ktk mambo ya ulinzi na jeshi.
Makomandoo no wanajeshi waliopata na kufuzu mafunzo maalum na ya ziada ya kivita. miongoni mwa mafunzo mayo ni jinsi ya kupata intelijensia kuhusu adui,mbinu za kumdhoofisha, jinsi ya kujihami kwa silaha na bola silaha nk. Na watu hao ktk vita vya kisasa vya kisayansi na teknojia, ndio hutumika ktk kufanya 'electronic target marking' kwenye maeneo nyeti ya adui, yanayopaswa kushambuliwa na 'guided missiles' mizinga ya Masada marefu ama ndege za kivita.
Sasa kuna jamaa wanataka waje na missiles, jet fighters, grenades, Minimi, Uzi, M16, AK 47, drones n.k zijaribishiwe pale uwanjani. Nani atabaki? Wakawaulize wale wa Mbagala waujue mziki wake! Penye heshima tuwaheshimu bana, hawa ndo wanaleta heshima ya TZ.


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Hata USA kuna makomandoo wa SEAL nk lakini mbona hawakumkamata Snowden alipotoroka na nyaraka za siri? Kila taasisi na kazi yake mkuu.
[Q UOTE=Mkoroshokigoli;8377307]hawa makomandoo,walishindwaje kudhibit twiga wasiondoke????hawa makomandoo hawakujua kama ndege ya jesh ilitua KIA???hawa makomandoo walishindwa kusimamia ulinz wa Obama,mpaka wamarekan wakasimamia show ya ulinzi wao?hawa makomandoo hawawez kusimamia ujangili????[/QUOTE]
 
Makomandooo wetu walikuwa fit sana

Ila walifunikwa na Askari wa mkoloni yaani nilichekaa hadi machozi yakado. ndoka

Ha ha haaaa, wale askari wa mkoloni noma! Walikuwa vizuri sana na lilikuwa bonge la burudani. Gwaride lao lilikuwa murua!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Kaka we unataka waoneshe kila kitu mpaka zoezi la ubongo? Tofautisha kati ya maonesho na real situation. Hao makomando wanastandard za juu sana, you have to know that hawapewi hiyo rank mpaka wamekidhi vigezo vya dunia!


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Kuonyesha jinsi wasivyojali ubongo ni kufichua mengi sana...
 
sasa walitaka wakate viuno ndiyo wajue kuwa ni makomandoo?

Kuna vitu vya msingi vya kuhoji ndiyo maana tunahitaji kuwa na tunu za Taifa kwa ajili ya kulinda na kuhifadhi heshima, utu na misingi ya Taifa.

Ninyi ndio mnaotakiwa kupelekwa mstari wa mbele kabisa pindi vita vinavyotokea ili kupima nguvu za adui.

kweli wewe punga...
 
kuna watu wanawabeza wakati hata mgambo hawajapitia.!!
 
kuna watu wanawabeza wakati hata mgambo hawajapitia.

Tatizo letu ni kujifanya tunajua kila kitu wakati sivyo.

Tujaribu kuheshimu taaluma za watu.....M23 hawakupigwa kwa bahati mbaya ni sehemu ya uwezo JWTZ.

Tuache kufaninisha move za akina Rambo na hali halisi.
 
Natazama maadhimisho ya Mapinduzi ya Zanzibar, hii mikomandoo imeshiba, miili ka ya Goliati, mmh burudani kutazama na ni mahili ktk maonesho! Sipati picha ukikutana nayo in battle field. Safi sana makomandoo wetu!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Samahani Mkuu, wewe ni mwanamke?
 
Back
Top Bottom