Makomandoo wa JWTZ wawa kivutio ktk Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar

Makomandoo wa JWTZ wawa kivutio ktk Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar

Hata mimi nimewapenda ni kweli wamekaa kikomandoo umejazia mbaya na wanaonekana ni wakakamavu. Utafikiri ni kwenye movi Tanzania tunatisha kwenye nimeamini tunaweza kumchakaza Kagame.

Usiwaze kupambana na Kagame bali sema Tupambane Kwanza Kuinua Uchumi Wetu Kwani hakuna Vita mbaya Kama Masikini Wakichoka na Hali ngumu Ya Maisha. Kagame wa Tanzania Ni Uchumi Mbovu, Hali ngumu Ya Maisha, Mfumuko wa Bei, Umasikini, Ujinga, Uvivu, Njaa, Elimu Mbovu, Uongozi Mbaya na Ufisadi mkubwa.
 
Siyo kukashifu ukiwa nyuma ya keyboard;Kawachokoze uone hizo nyama za kwenye sambusa zinavyofanya kazi.
mwambie mkuu laiti angejua mafunzo wanayopitiaa kufikia pale angekaa kimya.
 
Mbona Anazo Nyingi Kushinda pengine hata Zetu Hizo? Huyo ndiyo Kijana wa Marehemu Mama Esteeri Kokundeka na Marehemu Mzee Amos Kaguta. Zake Nyingi Sasa Anazipitishia Nchini Kenya kwa Swahiba Wake Uhuru haswa Akipewa Kutoka Korea Ya Kaskazini na Urusi. Sana Sana Amekuja Kutusanifu tu ila Kwa Kuwa hata na Yeye ni Jasusi Tena Mzuri tu Aliyeibuliwa hapa hapa Alipokuwa Anaishi Pale Muhimbili Ujio Wake ni Wa Kutusoma Kijeshi. Nawaheshimu na Nawakubali Sana Watutsi hawa Wawili Yoweri Museveni na Paul Kagame!

Hakuna chochote! Mbona huenda na wakarudi nyuma na kuiangukia Tz?

Mfano Walipoona tumepeleka Askari DRC Mbona walichanganyikiwa? Hawana lolote lile dhidi ya Tz na hua wakipiga mikwara Askari wetu hua wanasimama imara kulinda nchi yetu!

Kumbuka Mwaka Jana waliishia wapi na mikwara Yao? Au kitu gani kiliwafanya wawe wapole?

Nchi hulindwa kwelikweli Mkuu! Yani walikua wakinusanusa wanatukuta tupo tena tayari kwa lolote! Hakuna kulala na tupo mstari Wa mbele! Chezea TPDF wewe!
 
Mkuu unatupotezea muda kusoma habari ambayo haina kichwa wala miguu.Au unataka kuongeza idadi ya thread zako?
Subiri watu waanzishe uchangie kama huwezi kuandika kitu kinachoeleweka.
 
Kuna kitu sikuelewa pale,, wale walikuw makomandoo au wale mabaunsa wao wanaong' oaga watu kucha, memo, na macho???? Kama vile wamekuja kuwakisha kina CC

Acha Hizo Kuwa Komando Siyo mpaka Uwe Baunsa! Je Hujawaona Wale Wawili ambao ni Wembamba tu? Ukomandoo ni Zaidi Ya Ufikirivyo au Uhisivyo. Fitness, Flexibility na Intelligence ndiyo Vigezo Vikuu na Umbile Siyo muhimu sana Sema tu Wengi Wao Wanapenda Mno Kupiga Nondo na Usisahau Kuwa hata Vifaa Vyao vya Kazi Vingi ni Vizito na Vigumu Mno Hivyo kwa Wao Kujazia ni Kama Mtani Wangu Mhaya na Mwanamke au ni Kama Mtani wangu Muha na Uchawi au Ni Kama Watani Zangu Warangi na Wanyiramba Kwa Kupenda Nanihiiiiii....................................!!!!!!
 
Wakati mkifuatilia mapinduzi ya zanziba polisi wa arusha sana sana wa kituo cha usa fuatilieni jambazi lilopigwa risasi na polisi mpakani maeneo ya holili likatoroka liko arusha hospitali ya sharak linatibiwa kwa usiri mkubwa sana kwani amegawa hela kwa daktari na manerse(sisters) ili wasipeleke repot polis (hospitali iko 1km kutokea arusha mjini kabla ujafika makumira university)

Mkuu fungua uzi wa hii kitu ni habari muhimu usiifiche humu.
 
Acha Hizo Kuwa Komando Siyo mpaka Uwe Baunsa! Je Hujawaona Wale Wawili ambao ni Wembamba tu? Ukomandoo ni Zaidi Ya Ufikirivyo au Uhisivyo. Fitness, Flexibility na Intelligence ndiyo Vigezo Vikuu na Umbile Siyo muhimu sana Sema tu Wengi Wao Wanapenda Mno Kupiga Nondo na Usisahau Kuwa hata Vifaa Vyao vya Kazi Vingi ni Vizito na Vigumu Mno Hivyo kwa Wao Kujazia ni Kama Mtani Wangu Mhaya na Mwanamke au ni Kama Mtani wangu Muha na Uchawi au Ni Kama Watani Zangu Warangi na Wanyiramba Kwa Kupenda Nanihiiiiii....................................!!!!!!
Duh umepiga madongo sana .......well, sidhani km jamaa waliwakilisha vyema....sikupenda sana zoezi la kupiga matofali kwa kichwa....hata km inawezekana ikibidi ila si vizuri sana kufanya mara nyingi, km ngumi tuu huaribu ubongo km tuonavyo kwa mohamed Ali....ni vipi sasa hawa jamaa kutakiwa Intelligent halafu wanachezea ubongo ktk show zisizo na ulazima kihivyo.
 
Hivi wale uzeeni watafika kweli? na kama watafika watakuwaje? maana kupigwa tofali la kichwa kisa ubishoo!! kwan wakipigwa risasi haitapita? maana vitani hakuna matofali ila ni risasi!
 
Wakati mkifuatilia mapinduzi ya zanziba polisi wa arusha sana sana wa kituo cha usa fuatilieni jambazi lilopigwa risasi na polisi mpakani maeneo ya holili likatoroka liko arusha hospitali ya sharak linatibiwa kwa usiri mkubwa sana kwani amegawa hela kwa daktari na manerse(sisters) ili wasipeleke repot polis (hospitali iko 1km kutokea arusha mjini kabla ujafika makumira university)

Funguka mkuu
 
Hivi wale uzeeni watafika kweli? na kama watafika watakuwaje? maana kupigwa tofali la kichwa kisa ubishoo!! kwan wakipigwa risasi haitapita? maana vitani hakuna matofali ila ni risasi!

Unapokuwa mikononi mwa adui na njia pekee ya kujinusuru ni kutoroka kwa kujirusha kupitia dirisha au mlango uliofungwa ndipo utajua nini maana ya walichokuonyesha. Komando yeye kama yeye tu anatakiwa kuwa silaha pia, Kwahiyo wale jamaa uliowaona ni sehemu ya silaha za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
 
Back
Top Bottom