Fakhi Jumaa
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 239
- 47
Kuna kitu sikuelewa pale,, wale walikuw makomandoo au wale mabaunsa wao wanaong' oaga watu kucha, memo, na macho???? Kama vile wamekuja kuwakisha kina CC
[/QUOTE]Hata USA kuna makomandoo wa SEAL nk lakini mbona hawakumkamata Snowden alipotoroka na nyaraka za siri? Kila taasisi na kazi yake mkuu.
[Q UOTE=Mkoroshokigoli;8377307]hawa makomandoo,walishindwaje kudhibit twiga wasiondoke????hawa makomandoo hawakujua kama ndege ya jesh ilitua KIA???hawa makomandoo walishindwa kusimamia ulinz wa Obama,mpaka wamarekan wakasimamia show ya ulinzi wao?hawa makomandoo hawawez kusimamia ujangili????
[/QUOTE]Hata USA kuna makomandoo wa SEAL nk lakini mbona hawakumkamata Snowden alipotoroka na nyaraka za siri? Kila taasisi na kazi yake mkuu.
[Q UOTE=Mkoroshokigoli;8377307]hawa makomandoo,walishindwaje kudhibit twiga wasiondoke????hawa makomandoo hawakujua kama ndege ya jesh ilitua KIA???hawa makomandoo walishindwa kusimamia ulinz wa Obama,mpaka wamarekan wakasimamia show ya ulinzi wao?hawa makomandoo hawawez kusimamia ujangili????
hata mimi nimewapenda ni kweli wamekaa kikomandoo umejazia mbaya na wanaonekana ni wakakamavu. Utafikiri ni kwenye movi tanzania tunatisha kwenye nimeamini tunaweza kumchakaza kagame.
Shule za kata zimeleta majanga tz