Fakhi Jumaa
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 239
- 47
Kuna kitu sikuelewa pale,, wale walikuw makomandoo au wale mabaunsa wao wanaong' oaga watu kucha, memo, na macho???? Kama vile wamekuja kuwakisha kina CC
Bro acha masikhara na kazi za watu, hizo kashfa unaweza kuzithibitisha? Jiheshimu kidogo basi