Makombe yajayo ya EPL bado yapo mikononi mwa Guardiola

Makombe yajayo ya EPL bado yapo mikononi mwa Guardiola

EPL zijazo bado zipo mkononi kwa Guardiola, ongezea na Guardiola ndio anaefanya usajili mzuri kuliko yeyote pale Uingereza

Huzuni na masikitiko na pengine vilio kwa washabiki wa Club za Arsenal na Liverpool ambao ni kama wana gundu na taji hilo la Uingereza
kama Liverpool ndio wasahau kabisa ubingwa msimu huu wa 2019/2020
 
EPL zijazo bado zipo mkononi kwa Guardiola, ongezea na Guardiola ndio anaefanya usajili mzuri kuliko yeyote pale Uingereza

Huzuni na masikitiko na pengine vilio kwa washabiki wa Club za Arsenal na Liverpool ambao ni kama wana gundu na taji hilo la Uingereza
Huzuni kwa mashabiki wa Liverpool na Arsenal
 
Heshima kwako mkuu

Aisee kama Pep anasajili msimu huu haa Kombe liko mkononi kwake yule jamaa habahatishagi nadhani unaukumbuka msimu aliochukua EPL yake ya kwanza
 
Lampard bado mtoto mdogo sana kwa Pep

Club yangu ya Scousers majanga ni kuutanguliza uzawa ila coaching,Technical stuff its way forward
 
EPL zijazo bado zipo mkononi kwa Guardiola, ongezea na Guardiola ndio anaefanya usajili mzuri kuliko yeyote pale Uingereza

Huzuni na masikitiko na pengine vilio kwa washabiki wa Club za Arsenal na Liverpool ambao ni kama wana gundu na taji hilo la Uingereza
Asanate mkuu
Tumekusikia
 
1595225074624.png
 
Liverpool akipata matokeo dhidi ya Manchester United hapo Jumapili kinaweza kujitokeza kile kilichotokea kombe la may 2019

Hapo chini ni Pep akiwa kamweka Kelvin DeBruyne kama deceptive number 9 striker dhidi ya Brighton hapo Jana


Kombe hili pia narudia kama title ya hii thread kuwa makombe ya EPL yapo bado chini ya huyu mwamba Pep Guardiola kipindi ambacho mwamba huyu bado anafanya kazi EPL
Screenshot_20210114-212755.jpg
 
Liverpool akipata matokeo dhidi ya Manchester United hapo Jumapili kinaweza kujitokeza kile kilichotokea kombe la may 2019

Hapo chini ni Pep akiwa kamweka Kelvin DeBruyne kama deceptive number 9 striker dhidi ya Brighton hapo Jana


Kombe hili pia narudia kama title ya hii thread kuwa makombe ya EPL yapo bado chini ya huyu mwamba Pep Guardiola kipindi ambacho mwamba huyu bado anafanya kazi EPLView attachment 1677684
Unaona mbali sana. Sisi city tunachukua epl
 
Kwahiyo jana Pep kanyanyua EPL ya nne katika msimu wake wa tano na next season ana yule dogo kutoka Dortmund by the way ngoja tusubiri msimu ujao tuone nini kitakachotokea considering next season we have number of competitive, experienced and New Managers in EPL and in town we have new oil team.
 
Back
Top Bottom