Makombe yajayo ya EPL bado yapo mikononi mwa Guardiola

Makombe yajayo ya EPL bado yapo mikononi mwa Guardiola

Kama sikosei huyu Pep ana miaka si chini ya mitatu kwenye mkataba uliopo sasa kwa jinsi timu za EPL zinavyoperform na zilivyoperform misimu miwili iliyopita wakati Pep anachukua ubingwa mfululizo ni wazi kwamba mataji yajayo ya EPL yapo mkononi mwa Pep



Kwa hali ilivyo sasa katika EPL ni kwamba Club ama kocha wa Club anae/inayochukulia Sare/draw kama matokeo basi wasahau/asahau kabisa ubingwa wa EPL wakati wote ambao Guardiola yupo Man City kama kocha

Club ambayo inataka kweli kuchukua Ubingwa inatakiwa kupambana kushinda tu, ikiweka kichwani kuwa matokeo ya Sare sio matokeo ya kupata kwa anaetaka ubingwa
Tumekusikia mkuu
 
Kama sikosei huyu Pep ana miaka si chini ya mitatu kwenye mkataba uliopo sasa kwa jinsi timu za EPL zinavyoperform na zilivyoperform misimu miwili iliyopita wakati Pep anachukua ubingwa mfululizo ni wazi kwamba mataji yajayo ya EPL yapo mkononi mwa Pep



Kwa hali ilivyo sasa katika EPL ni kwamba Club ama kocha wa Club anae/inayochukulia Sare/draw kama matokeo basi wasahau/asahau kabisa ubingwa wa EPL wakati wote ambao Guardiola yupo Man City kama kocha

Club ambayo inataka kweli kuchukua Ubingwa inatakiwa kupambana kushinda tu, ikiweka kichwani kuwa matokeo ya Sare sio matokeo ya kupata kwa anaetaka ubingwa
Niaje nivipi mbona haurudi?
 
Kama sikosei huyu Pep ana miaka si chini ya mitatu kwenye mkataba uliopo sasa kwa jinsi timu za EPL zinavyoperform na zilivyoperform misimu miwili iliyopita wakati Pep anachukua ubingwa mfululizo ni wazi kwamba mataji yajayo ya EPL yapo mkononi mwa Pep



Kwa hali ilivyo sasa katika EPL ni kwamba Club ama kocha wa Club anae/inayochukulia Sare/draw kama matokeo basi wasahau/asahau kabisa ubingwa wa EPL wakati wote ambao Guardiola yupo Man City kama kocha

Club ambayo inataka kweli kuchukua Ubingwa inatakiwa kupambana kushinda tu, ikiweka kichwani kuwa matokeo ya Sare sio matokeo ya kupata kwa anaetaka ubingwa
Spurs
 
Tumekuelewa mkuu,
EPL zijazo bado zipo mkononi kwa Guardiola, ongezea na Guardiola ndio anaefanya usajili mzuri kuliko yeyote pale Uingereza

Huzuni na masikitiko na pengine vilio kwa washabiki wa Club za Arsenal na Liverpool ambao ni kama wana gundu na taji hilo la Uingereza
 
Kama sikosei huyu Pep ana miaka si chini ya mitatu kwenye mkataba uliopo sasa kwa jinsi timu za EPL zinavyoperform na zilivyoperform misimu miwili iliyopita wakati Pep anachukua ubingwa mfululizo ni wazi kwamba mataji yajayo ya EPL yapo mkononi mwa Pep



Kwa hali ilivyo sasa katika EPL ni kwamba Club ama kocha wa Club anae/inayochukulia Sare/draw kama matokeo basi wasahau/asahau kabisa ubingwa wa EPL wakati wote ambao Guardiola yupo Man City kama kocha

Club ambayo inataka kweli kuchukua Ubingwa inatakiwa kupambana kushinda tu, ikiweka kichwani kuwa matokeo ya Sare sio matokeo ya kupata kwa anaetaka ubingwa
Sasa hivi umeona city wanavyopigwa hovyo hovyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hivi umeona city wanavyopigwa hovyo hovyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
1593549809906.png
 
Back
Top Bottom