Makombora mengi ya Iran yatua na yapiga vituo vya kijeshi nchini Israel

Makombora mengi ya Iran yatua na yapiga vituo vya kijeshi nchini Israel

Ina maana israel angekuwa peke yake tungesahau kuhusi taifa la Israel
Mikwala mingi kumbe wachumba tu
.hii imemshtukia hadi usa mwenyewe maana kwa strike ya juzi .ndo ilekezwe kwenye yale macarier ya trillion 25. Plus F35 ,F16 juu yake kumamae hasara ingekuwa kama 200trill in one strike na dunia ingesimama. Kabisa kwa soma hili la kulpiga target kwenye zaidi ya 2000km usa wafikirie tena kuhusu yale macarrier yake
 
Ina maana israel angekuwa peke yake tungesahau kuhusi taifa la Israel
Mikwala mingi kumbe wachumba tu
.hii imemshtukia hadi usa mwenyewe maana kwa strike ya juzi .ndo ilekezwe kwenye yale macarier ya trillion 25. Plus F35 ,F16 juu yake kumamae hasara ingekuwa kama 200trill in one strike na dunia ingesimama. Kabisa kwa soma hili la kulpiga target kwenye zaidi ya 2000km usa wafikirie tena kuhusu yale macarrier yake
 
Mbona video haioneshi hizo demages?
Mbona inatumika nguvu kubwa kuonesha hakuna demages?
Huku miungu wa Israeli (Uingereza na Marekani) wakiiomba Israeli isilipize?

Huyo Israeli mwenyewe akiomba Iran awekewe vikwazo zaidi hasa upande wa uundaji makombora, halafu hakuna madhara yaliyotokea!!!

Inahitajika akili za ki zumaridi kuamini hivyo
 
Mbona inatumika nguvu kubwa kuonesha hakuna demages?
Huku miungu wa Israeli (Uingereza na Marekani) wakiiomba Israeli isilipize?

Huyo Israeli mwenyewe akiomba Iran awekewe vikwazo zaidi hasa upande wa uundaji makombora, halafu hakuna madhara yaliyotokea!!!

Inahitajika akili za ki zumaridi kuamini hivyo
Maneno matupu hayavunji mfupa! Kama wanatumia nguvu kubwa kuonesha hakuna damage wewe weka ushahidi kuonesha Kuna damage kubwa! Mbona simple tu
 
Mbona inatumika nguvu kubwa kuonesha hakuna demages?
Huku miungu wa Israeli (Uingereza na Marekani) wakiiomba Israeli isilipize?

Huyo Israeli mwenyewe akiomba Iran awekewe vikwazo zaidi hasa upande wa uundaji makombora, halafu hakuna madhara yaliyotokea!!!

Inahitajika akili za ki zumaridi kuamini hivyo
Mbona inatumika nguvu kubwa kuonyesha Iran amefanikiwa kuiharibu Israel!!??
Tumeona mavideo na mapicha kibao eti wakisema ni madhara ya makombora ya Iran, bahati nzuri internet inaweka kumbukumbu vizuri, kumbe ni videos za moto huko Texas,mabomu ya Gongo la mboto na kwingineko.

Kwa nini kuudanganya ulimwengu kwa kiasi hiki!!??
Baba wa uongo ni ....
Hawa watakuwa ni watoto wake hakika.
 
Mbona inatumika nguvu kubwa kuonesha hakuna demages?
Huku miungu wa Israeli (Uingereza na Marekani) wakiiomba Israeli isilipize?

Huyo Israeli mwenyewe akiomba Iran awekewe vikwazo zaidi hasa upande wa uundaji makombora, halafu hakuna madhara yaliyotokea!!!

Inahitajika akili za ki zumaridi kuamini hivyo
Noamba nilewieshe ni vikwazo gani vip atavyopewa iran maana nachojua mimi hiyo nchi inayovikwazo lukuki na baada wanaendesha mambo yao taratibu
 
Back
Top Bottom