Iran Imerusha makombora mengi yaliyoweza kufikia israel bila kizuizi cha Iron Doma kala ilivyozoeleks, Hakuna watu waliopata maafa kwasababu walijificha kwenye kumbi maalum za kujikinga na mabomu.
- Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia
Hii imefanywa maksudi kupata kisingizio cha kujibu kwa nguvu zaidi bila huruma za cease fire?
- Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia
Hii imefanywa maksudi kupata kisingizio cha kujibu kwa nguvu zaidi bila huruma za cease fire?