Jana kwenye Aljazeera walikuwa wakisema amekufa mpalestina mmoja wa occupied West Bank.Makombora yote hayo asife mtu, acha utoto basi!
Acha uoga tuliza wenge mbona kama umedata netanyahu is loadingWanajisahaulisha. Marekani hatokubali kuingia vita hii, hatokubali Mashariki ya kati iwe na vya nchi nyingi mana interest zake zitavurugwa. Israel bila msaada wa Marekani ni bure kabisa. Wafia dini wamepanic. Israel amechokoza Iran, ameingia anga yake na kushambulia pigo lilomuua kiongozi wa Hamas. Leo tena kaingia kuipiga Lebanon, lazima Iran ichukue hatua
Kwani myahudi keshapigwa mara ngapi ?Hatimaye iran
kaingia kwenye mfumo sikilizia milio ya myahudi Sasa
Taja kiongozi wa Israel aliyekufa jana kwenye hivyo vibarutiKwani myahudi keshapigwa mara ngapi ?
Taja kiongozi wa Israel aliyouliwa Jana kwenye hivyo vibaruti🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Afu we football unaonekana umeumia zaid baba pole ndio ukubwa uwe mvumilivu wenzio uko taifa teule usiku wa Leo umekuwa mkubwa kwao awakulala saiii ndio wanachungulia nje kwa kunyata. Jana umejitaidi sana kupangua makombora ya irani wenzio wengi walikukimbia jn pole baba Leo utawaona ohh nyasi tu ongela. Umepambania jamaa zako. Sijui nawao walijua watalengwa!!!
Nitaje ili iwejeTaja kiongozi wa Israel aliyekufa jana kwenye hivyo vibaruti
Lengo la iran lilikua lipi. Hilo ndio la kuzingatiwaTaja kiongozi wa Israel aliyouliwa Jana kwenye hivyo vibaruti🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kumbe umeandika hapa Ili iwejeNitaje ili iweje
Jibu swali kiongozi Gani wa Israel kafa Jana maana tumechoka kuona viongozi wa kobazi kufa Kila siku 🤣🤣🤣🤣🤣Lengo la iran lilikua lipi. Hilo ndio la kuzingatiwa
Iran anajivunia nyukilia, sasa ngoja tuone kama kweli ataitumia? Au na vinu vya nyukilia vimekaliwa na Wayahudi?Hatimaye iran
kaingia kwenye mfumo sikilizia milio ya myahudi Sasa
Israeli ndio mmiliki wa USA na wote wanalinda hivyo hukuwa unalijua Hilo umechelewa Sana pole, si unaona meli vita ziko tu hapo zinasibiri order ya Nyau ni kama tu Security Guard uli unaowalipaKha! Eti imefanya makusudi. Iron mavi sio kwa Iran, bila US Israel hana uwezo wa kukabiliana na Iran huo ndio ukweli.
Wewe uliiona hiyo nyukiliaIran anajivunia nyukilia, sasa ngoja tuone kama kweli ataitumia? Au na vinu vya nyukilia vimekaliwa na Wayahudi?
Hawa wataalamu ukikutana nao road wanasumbuka kweli kutoa tairi ya ist humu sasa..Unawasikia wataalamu wa mabomu wa Jf mkuu!
Mkishashiba mnakuja kutudanganya hapa raia wa USA anaetekwa na kupigwa mabomu umewahi sikia wapi?Israeli ndio mmiliki wa USA na wote wanalinda hivyo hukuwa unalijua Hilo umechelewa Sana pole, si unaona meli vita ziko tu hapo zinasibiri order ya Nyau ni kama tu Security Guard uli unaowalipa
Mifumo ya ulizi ni kama imemsusia NetanyahuHuoni makombora hayo yakitunguliwa au una mihemko ya kidini
Ndiomaana sitakagi kujadili nawatu kama nyie, hani macho yako yanaona kabisa makombora yakitunguliwa nabado unaleta ushabiki mandazi apaMifumo ya ulizi ni kama imemsusia Netanyahu
Nikama vile mfumo wa ulizin ulimsusia naetanyshuNdiomaana sitakagi kujadili nawatu kama nyie, hani macho yako yanaona kabisa makombora yakitunguliwa nabado unaleta ushabiki mandazi apa