Makombora ya Urusi yaua wawili Poland

Makombora ya Urusi yaua wawili Poland

green rajab

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
12,387
Reaction score
39,119
Russia imerusha kombora na kutua Poland
Screenshot_20221115-221604~2.jpg

Two people died Tuesday afternoon after a projectile struck an area where grain was drying in Przewodów, a Polish village near the border with Ukraine, domestic media reported.

Polish Prime Minister Mateusz Morawiecki has called an emergency meeting of the country’s top national security and defence officials, according to government spokesman Piotr Mueller.

Mueller did not immediately confirm the information on the missile strike but said the meeting was held due to a “crisis situation”.

A senior US intelligence official confirmed to AP that Russian missiles crossed into Poland….

Continue Reading


News Source: Russian missiles cross into Poland, killing two near Ukraine border
 
Taarifa zina ripoti makombira mawili yaliyolengwa Ukraine/Cruise missiles yameangukia Ardhi ya Poland na Kuua raia wawili wa Poland ambao walikua hawajashika hata manati.

Naona Blood Monger/war Monger bado ana hamu na damu za watu baada ya tukio hilo baraza la usalama la Poland wakiongozwa na waziri Mkuu Ndg Duda wamekutana kwa Dharura kujadili sintofahamu hiyo huku pia viongozi mbalimbali wa vyombo vya usalama wakizuru eneo la tukio.

Inaweza kuwa War Monger aka mzee wa special operation anataka kuanzisha operation nyingine Poland.

Tukumbuke Poland ni member wa Nato na Rusia kufanya hivyo ameviolate article No 5 ya NATO.

Wale Pro Russia wa Tanzania mtueleze tena kama Putin alisaini mkataba wowote na Poland kama mlivyokuja na hoja nyepesi za Ukraine.

Ndg yenu anazeeka vibaya.
 
Huyu War Monger wenu amebaki anatapatapa tu damu za watoto wachanga, wajawazito,Wazee wasio na hatia za Waukraine hazitamwacha salama.

Naimani kwa uchokozi huu hata ndg zake Korea North, China, Iran, uganda wataanza kumtenga
 
Taarifa zina ripoti makombira mawili yaliyolengwa Ukraine/Cruise missiles yameangukia Ardhi ya Poland na Kuua raia wawili wa Poland ambao walikua hawajashika hata manati.

Naona Blood Monger/war Monger bado ana hamu na damu za watu baada ya tukio hilo baraza la usalama la Poland wakiongozwa na waziri Mkuu Ndg Duda wamekutana kwa Dharura kujadili sintofahamu hiyo huku pia viongozi mbalimbali wa vyombo vya usalama wakizuru eneo la tukio.

Inaweza kuwa War Monger aka mzee wa special operation anataka kuanzisha operation nyingine Poland.

Tukumbuke Poland ni member wa Nato na Rusia kufanya hivyo ameviolate article No 5 ya NATO.

Wale Pro Russia wa Tanzania mtueleze tena kama Putin alisaini mkataba wowote na Poland kama mlivyokuja na hoja nyepesi za Ukraine.

Ndg yenu anazeeka vibaya.
Tunasuburia majibu yenu wananyeto
 
Qummanin[emoji2959] kanunua kesi mpya! Hujuma zinaanza kuwatafuna ndani kwa ndani kimya kimya! Mturuki wa kibada
 
Taarifa zina ripoti makombira mawili yaliyolengwa Ukraine/Cruise missiles yameangukia Ardhi ya Poland na Kuua raia wawili wa Poland ambao walikua hawajashika hata manati.

Naona Blood Monger/war Monger bado ana hamu na damu za watu baada ya tukio hilo baraza la usalama la Poland wakiongozwa na waziri Mkuu Ndg Duda wamekutana kwa Dharura kujadili sintofahamu hiyo huku pia viongozi mbalimbali wa vyombo vya usalama wakizuru eneo la tukio.

Inaweza kuwa War Monger aka mzee wa special operation anataka kuanzisha operation nyingine Poland.

Tukumbuke Poland ni member wa Nato na Rusia kufanya hivyo ameviolate article No 5 ya NATO.

Wale Pro Russia wa Tanzania mtueleze tena kama Putin alisaini mkataba wowote na Poland kama mlivyokuja na hoja nyepesi za Ukraine.

Ndg yenu anazeeka vibaya.
😂😂😂😂😂 Sawa tutaona hao wadau wa Nato watafanya swala gani
 
Back
Top Bottom