Makombora ya Urusi yaua wawili Poland

Makombora ya Urusi yaua wawili Poland

Mwanachama wa Nato kapigwa mashine hadharani..., nato wakijibu kwa moto itakuwa ni sawa na kujinyonga! Wakinyamaza au wakilaani au wakija na vikwazo vyao uchwara itakuwa waeiogopa Urusi jambo ambalo ni kweli wanaiogopa Urusi kweri-kweri.

Je, wakijibu itakuwaje?
Wakijibu makombora yao mengi yatadunguliwa kwa usahihi wa hali ya juu huku wao wakijibiwa kwa moto mkali ambao utaondoka na miji yao mingi pamoja na mamilioni ya raia wenye hatia na wasiokuwa na hatia.

Kikubwa tu ni kwamba watakaa vikao vingi vya umoja wa kinamama bila kuthubutu ujinga!
 
[emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635]
Screenshot_20221115-230849~2.jpg
 
,[emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635]
Screenshot_20221115-231236~2.jpg

There are no preparations for a draft in Belarus, the defense ministry in Minsk said on Tuesday, denying allegations made by the media in Kiev citing the Ukrainian military. Belarus has increased the police presence along the border with Ukraine, however, citing a possible threat of sabotage from its southern neighbor.

The publication of contracts for printing blank draft forms “was interpreted by laymen as connected with mobilization,” the defense ministry said in a statement. “This is not true.”

Such contracts are routine and their posting is mandated by transparency laws, the military said, adding, “There can be no other interpretations or insinuations in this regard.”

The reaction from Minsk comes after Kiev claimed on Monday that a mobilization in Belarus may be imminent. Ukraine has “obtained information that the military commissariat of Belarus’s Brest Oblast has issued a call for tenders to print 50,000 call-up notices before 31 December,” the Ukrainian General Staff said as part of their daily briefing posted on Facebook.
 
NATO article 5.
mwana kulitafuta mwana kulipata.
Ha ha hii hawawezi kuitumia dhidi ya Urusi LabdA dhidi ya Libya au Iraq Kama wangeigusa NATO.
Russia Ni giant wa Ulaya militarily.
Kama NATO walishindwa kutekeleza operation dhidi ya Iran baada ya bamkubwa wao US kusagwa vizuri pale Erbil Iraq itakuwa Russia?

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom