Makombora ya Urusi yaua wawili Poland

Makombora ya Urusi yaua wawili Poland

Ripoti za uwezekano wa makombora ya Urusi kulipua kijiji cha Poland yaiamsha NATO.

Watu wawili waliuwawa katika mlipuko huko Przewodow, kijiji cha mashariki mwa Poland karibu na mpaka wa Ukraine. Poland wamesema washirika wa NATO wanachunguza ripoti endapo mlipuko huo ulitokana na makombora ya Urusi.

Shirika la habari la Associated Press hapo awali lilimnukuu afisa mkuu wa Kijasusi wa Marekani akisema mlipuko huo ulitokana na makombora ya Urusi kuvuka hadi Poland.

Wizara ya Ulinzi ya Urusi imekanusha ripoti kwamba makombora ya Urusi yamepiga eneo la Poland, na kuyataja kama "uchochezi wa makusudi unaolenga kuichafua urusi"

Poland ni mshirika wa NATO. Je NATO akiingilia kati itayokea vita ya tatu ya dunia?
 
Huyu War Monger wenu amebaki anatapatapa tu damu za watoto wachanga, wajawazito,Wazee wasio na hatia za Waukraine hazitamwacha salama.

Naimani kwa uchokozi huu hata ndg zake Korea North, China, Iran, uganda wataanza kumtenga
Akijisapoti mwenyewe inatosha
 
No Action Talks Only wapo wapi sasa?
Kwa hiyo kwa akili yako ulitaka kuona reaction yao muda huu tu,baada ya tukio kutokea?!!Wewe subiria nadhani sasa putin ameyakanyaga,sehemu walipokuwa wanapataka.Kwanza amesha jichokea ndio aanze tena kupambana na wazee wa kazi mbona balaaa!!
 
Kwa hiyo kwa akili yako ulitaka kuona reaction yao muda huu tu,baada ya tukio kutokea?!!Wewe subiria nadhani sasa putin ameyakanyaga,sehemu walipokuwa wanapataka.Kwanza amesha jichokea ndio aanze tena kupambana na wazee wa kazi mbona balaaa!!
Mnajifariji?
 
Waafrika wanashabikia upumbavu wa mrusi Sasa nawaonya wale wote wanaoshabikia ujinga wa Rusia kuwa hakuna sehemu Russia atakubali kupigana na NATO na kesho utawaona wakiwa Brussels wakiharibu kuweka mambo sawa.
No Action Talks Only
 
Kwa hiyo kwa akili yako ulitaka kuona reaction yao muda huu tu,baada ya tukio kutokea?!!Wewe subiria nadhani sasa putin ameyakanyaga,sehemu walipokuwa wanapataka.Kwanza amesha jichokea ndio aanze tena kupambana na wazee wa kazi mbona balaaa!!
Tusubiri mpaka lini kupata majibu [emoji16][emoji23][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom