Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Putin ni msenge acha wampakate wamtie kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo kwenye mapango mda huuWazee wa we will defend every inch of NATO member waje tuone hii imekaaje.
Tunataka Ku drag uwanja wa vita hadi EnglandTaarifa zina ripoti makombira mawili yaliyolengwa Ukraine/Cruise missiles yameangukia Ardhi ya Poland na Kuua raia wawili wa Poland ambao walikua hawajashika hata manati.
Naona Blood Monger/war Monger bado ana hamu na damu za watu baada ya tukio hilo baraza la usalama la Poland wakiongozwa na waziri Mkuu Ndg Duda wamekutana kwa Dharura kujadili sintofahamu hiyo huku pia viongozi mbalimbali wa vyombo vya usalama wakizuru eneo la tukio.
Inaweza kuwa War Monger aka mzee wa special operation anataka kuanzisha operation nyingine Poland.
Tukumbuke Poland ni member wa Nato na Rusia kufanya hivyo ameviolate article No 5 ya NATO.
Wale Pro Russia wa Tanzania mtueleze tena kama Putin alisaini mkataba wowote na Poland kama mlivyokuja na hoja nyepesi za Ukraine.
Ndg yenu anazeeka vibaya.
Wasipofuata kipengele chao watakua wameiogopa Russia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635]Naomba viongozi wa nato watumie busara katika hili ili kuepusha third world war maana wakisema wafuate kipengele cha article three cha nato kama sheria za uamedi na uajemi word war is around the corner
Hawawezi kuamua chochote. Putin ataendelea kuipiga kwa pozi Ukraine mpaka itakaa sawa after all hao wayukreini wengi wana asili ya urusi hawezi kuwaumiza ndugu zake.Hapa sasa ndio nataka nione maamuzi ya Nato.
Ngoja tuone maana Nato kauli yao hatakiwi mwanachama wao kushambuliwa.Hawawezi kuamua chochote. Putin ataendelea kuipiga kwa pozi Ukraine mpaka itakaa sawa after all hao wayukreini wengi wana asili ya urusi hawezi kuwaumiza ndugu zake.
Unawajua Poland au unawasikia mkuu?Hawawezi kuamua chochote. Putin ataendelea kuipiga kwa pozi Ukraine mpaka itakaa sawa after all hao wayukreini wengi wana asili ya urusi hawezi kuwaumiza ndugu zake.
Unaota ww, em amka hapo ulipolala. WC lipo kama kawaida. Na wala usitegemee ety kutakuwa na WW3.Hii inaweza kuwa declaration rasmi ya vita ya tatu ya dunia! Kombe la dunia huenda likasogezwa mbele na mfumo wa maisha wa dunia nzima ukaharibika. Tuombeni kwa juhudi zaidi!
Naijua Poland hawana ubavu kwa RussiaUnawajua Poland au unawasikia mkuu?
No Action Talks Only wapo wapi sasa?