Makombora ya Urusi yaua wawili Poland

Makombora ya Urusi yaua wawili Poland

Wakithubutu kujibu niite mbwa niko pale.

Wakijibu inamaanisha kuingia vitani na Urusi kitu ambacho hakuna kiongozi yeyote wa kimagharibi anaweza thubutu hata kukifikiria.
Na wasipo jibu basi tukubaliane wanamogopa Urusi.
Fatilia historia ya hao watu Poland,Urusi,Hungary utapata majibu Mkuu...
 
Russia imerusha kombora na kutua PolandView attachment 2418013
Two people died Tuesday afternoon after a projectile struck an area where grain was drying in Przewodów, a Polish village near the border with Ukraine, domestic media reported...
Vita havina akili

Dunia inaelekea kwenye wazimu wa karne soonest
 
Russia kawashika pabaya Biden kaanza kukwepesha lawama kwa Russia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20221116-084725~2.jpg
 
Hii inaweza kuwa declaration rasmi ya vita ya tatu ya dunia! Kombe la dunia huenda likasogezwa mbele na mfumo wa maisha wa dunia nzima ukaharibika. Tuombeni kwa juhudi zaidi!
Hakuna vita ya tatu kaka kua na Amani. Wao wenyewe wanaogopa maana ikitokea wote watafutika kwenye uso wa Dunia.
 
Russia imerusha kombora na kutua PolandView attachment 2418013
Two people died Tuesday afternoon after a projectile struck an area where grain was drying in Przewodów, a Polish village near the border with Ukraine, domestic media reported...
Kwani Poland ilitolewa NATO? Ninavyoelewa, hawa wana vifaa vyote vya kujikinga na hayo makombora sasa limesafiri toka Russia hadi Poland bila wao kujua hii haiko sawa mahali
 
Kufanya kosa sio kosa, kosa ni kurudia kosa. Nafikiri kwa sasa NATO wanaweza kutoa onyo kwa Russia kuhusu kilichotokea.

Na endapo Russia itarudia tena kufanya ilichofanya, basi mfululizo wa makombora utakaoangushwa Russia utakuwa hauna idadi na utaishangaza na kuitisha Dunia.
Haha ha kumbe ndo hivyo.
Basi si wangeiandika TU kwamba ukitupiga Mara ya kwanza tunakuonya ya pili tunakushughulikia.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Poland ndio Nchi ya kwanza kuwa na chuki na Urusi wao walitaka kupeleka vifaa na wanajeshi Ukraine bila kuzunguka zunguka USA ndio aliwaambia acheni hizo mambo basi wakaamua kurudisha vile vifaa vya kivita vilivyotumika enzi za Sovieti huko hao Poland ni washari balaa hakuna kitu kama hicho wafanyiwe harafu usikie watakaa kimya...na Mrusi nae anajua kuwa hawa wahuni kichwani hawapo vizuri uzuri Nchi zote kule wanafahamiana na waliwahi pigana sasa shida huku hatuna hata historia yeyote kila siku ni mwendo wa kudhania...
Wapoland unawapaisha TU mkuu. Wana nguvu lakini hata historia inaonesha Ni watu dhaifu.
Wanajitengenezea silaha na vingine vingi lakini kuijibu Urusi dhidi ya Hili huo uwongo

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Wasipofuata kipengele chao watakua wameiogopa Russia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635]
Hivi unajua madhara ya WW3 ikitokea.
Hutaweza tena kupata mfumo wa internet. Maana miundombinu yote itakuwa imeharibiwa na mionzi ya nyukilia. TAFSRI YAKE NI KWAMBA KAMA UTABAHATIKA KUWA HAI, HIYO SMARTFONE YAKO ITABAKI KUWA PAMBO TU
 
Wapoland unawapaisha TU mkuu. Wana nguvu lakini hata historia inaonesha Ni watu dhaifu.
Wanajitengenezea silaha na vingine vingi lakini kuijibu Urusi dhidi ya Hili huo uwongo

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Miaka ya 1939 kilikua na Polish Soviet War hiyo unayoiona huko Ukraine ilianzia hizi Nchi zingine walimega eneo linaitwa Kresy enzi za USSR wapoland walishinda ile battle wao ndio waligundua matumizi ya Red army radio messages ile battle waliibatiza kwa jina la Battle of Warsaw hao jamaa washapigana kama mara mbili ya kwanza nadhani ilikua miaka ya 1919 kwa hiyo ni watu wanaomaindiana sana ukiweza fatilia baadae akawaletea zegele Hungury ambae ni jirani yake kichapo alichokipata hapo hawaji kupigana tena ni kama sasa hivi akishindwa huko Ukraine na Ukraine wakafanikiwa kukomboa majimbo yao yote hakutakuja kuwa na vita ni heshima tuu hizi mambo hawajaanza jana wala juzi ni vile Historia tunapishana nayo Mkuu..
 
Confirmed

Ukraine ndo alirusha hilo kombora la kutungua makombora, bahati mbaya likadondokea Poland
Vp ni makombora mangapi ya air defence yamemiss target?Huwa yanaenda kutua wapi?Kwanini hatujawahi kusikia kuwa Kuna Kombora la Ukraine wakati wa interception limemiss target na kwenda kutua eneo fulani au kuleta Madhara fulani?
Kuna mengi hayako wazi kwenye vita hii,propaganda ndio zimetangulizwa mbele!
 
Mnaongea tu subirini vidole.
Nchi wanachama wa nato wote wamechachamaa

Skip links​

Skip to Content

LIVE​



LIVE UPDATESLIVE UPDATES,

Russia-Ukraine live: Explosions kill two in Poland​

Smoke rises over the city of Lviv, Ukraine, after Russian missile strikes.

Smoke rises over Lviv after Russian missile raids in the western Ukrainian city [Pavlo Palamarchuk/Reuters]
By Federica Marsi
Published On 15 Nov 202215 Nov 2022
Click here to share on social media
  • The US Defense Department says it is investigating unconfirmed reports that Russian missiles have hit Poland after an explosion killed two people in Przewodow, a village in the east of the country near the border with Ukraine.
  • Russia’s defence ministry has denied that its missiles hit the NATO member state.
Read more


  • 13m ago
    (21:05 GMT)

    Hungary calls defence council meeting over Poland missile reports​

    Hungary’s Prime Minister Viktor Orban has convened the national defence council over unconfirmed reports of Russian missiles striking Ukraine’s neighbour Poland.
    “In response to the stop in oil transfer through the Druzhba pipeline and the missile hitting territory of Poland, Prime Minister Viktor Orban has convened HU’s Defence Council for 8 pm (1900 GMT),” Orban’s spokesman Zoltan Kovacs said in a Tweet.



  • 13m ago
    (21:04 GMT)

    Oil flows on Druzhba pipeline suspended in parts of Eastern Europe​

    Oil supply to parts of Eastern and Central Europe via a section of the Druzhba pipeline has been temporarily suspended, according to oil pipeline operators in Hungary and Slovakia.
    The extent of the disruption was not immediately clear.
    Hungary’s MOL said its Ukrainian partner told the company a Russian rocket hit a power station close to the Belarus border, which provides electricity for a pump station, and this led to the stoppage.
    Slovakia’s Transpetrol confirmed the suspension as well, citing “technical reasons on the Ukrainian side” but did not specify a rocket strike.



  • 18m ago
    (20:59 GMT)

    Latvian government to meet, ‘be ready for further action’​

    The government of NATO member Latvia will hold an emergency meeting on Wednesday to assess the security situation following an explosion in Poland, Prime Minister Krisjanis Karins has said.
    “I have called an emergency government meeting to listen to the reports of the responsible ministries and institutions on the security situation in the region and to be ready for further action,” he tweeted.
    “Latvia and its NATO allies are ready for any situation to defend their citizens and territories,” Karins added.



  • 27m ago
    (20:51 GMT)

    Zelenskyy says Russian missiles hit Poland in ‘significant escalation’ of conflict​

    Ukraine’s President Volodymyr Zelenskyy has said Russian missiles hit Poland, a NATO country, in a “significant escalation” of the conflict.
    Zelenskyy did not provide evidence of the strikes. Polish authorities have not confirmed the cause of the blasts in Przewodow, near the border with Ukraine.
    “The longer Russia feels impunity, the more threats there will be to anyone within reach of Russian missiles. To fire missiles at NATO territory! This is a Russian missile attack on collective security! This is a very significant escalation. We must act,” Zelenskyy said, according to a text accompanying his nightly video address.



  • 39m ago
    (20:38 GMT)

    Explosions in Poland could mean war has spilled into NATO territory: AJ correspondent​

    Al Jazeera’s Jonah Hull, reporting from Kyiv, says reports that Russian missiles crossed into Poland would, if confirmed, “be the very first time that the conflict between Russia and Ukraine has directly spilled over onto NATO territory”.
    Hull added it was possible those missiles had “missed their targets, overshot their targets, or were pushed off course by Ukrainian air defences”.
    “But I think we need to be very, very careful about speculating along those lines until the details of the attack become clearer,” he said.

    Advertisement



  • 53m ago
    (20:25 GMT)

    ‘We are all part of the NATO family’: Belgium​

    Belgium has strongly condemned reports of a blast in Poland, saying NATO will stand united.
    “We are all part of the NATO family that is more than ever united and equipped to protect us all,” Belgian Prime Minister Alexander De Croo said in a tweet.





  • 1h ago
    (20:10 GMT)

    Russia denies its missiles struck Polish territory​

    Russia’s defence ministry has denied reports that Russian missiles hit Polish territory, describing them as “a deliberate provocation aimed at escalating the situation”.
    “No strikes on targets near the Ukrainian-Polish state border were made by Russian means of destruction,” it said in a statement.
    Wreckage reportedly found at the scene “has nothing to do with Russian weapons”, it added.



  • 1h ago
    (20:07 GMT)

    Missiles hitting Poland would be further escalation by Russia: Czech Republic​

    Russian missiles hitting Poland would be a further escalation by Russia, Czech Prime Minister Petr Fiala has said, adding strikes on Ukraine showed Moscow wanted to destroy that country.
    “If Poland confirms that the missiles also hit its territory, this will be a further escalation by Russia,” Fiala said on Twitter. “We stand firmly behind our EU and NATO ally.”



  • Sign up for Al Jazeera​

    Week in the Middle East​

    Catch up on our coverage of the region, all in one place.
    Sign up

    right-mark-icon.3a446adc.svg

    By signing up, you agree to our Privacy Policy


  • 1h ago
    (19:36 GMT)

    Pentagon ‘looking into’ reports Russian missiles hit inside Poland​

    The Pentagon has said it was unable to corroborate reports that two Russian missiles had landed inside NATO member Poland, but that it was investigating the claims.
    “We are aware of the press reports alleging that two Russian missiles have struck a location inside Poland or the Ukraine border,” Pentagon spokesman Pat Ryder said, adding that the Pentagon was was “looking into this further”.
    “I don’t want to speculate or get in hypotheticals. When it comes to our security commitments and Article Five, we’ve been crystal clear that we will defend every inch of NATO territory,” Ryder said.
    Article Five is the collective defence pact in NATO, stating that an attack on any member of the alliance is an attack on all members.


  • 1h ago
    (19:31 GMT)

    Estonia says reports of explosions in Poland ‘most concerning’​

    Estonia has expressed concern over reports of explosions in Poland, a NATO member.
    “Latest news from Poland is most concerning,” Estonia’s foreign ministry said on Twitter.
    “We are consulting closely with Poland and other Allies. Estonia is ready to defend every inch of NATO territory. We’re in full solidarity with our close ally Poland.”

    Advertisement




SOURCE: AL JAZEERA AND NEWS AGENCIES



  • AboutShow more
  • ConnectShow more
  • Our ChannelsShow more
  • Our NetworkShow more
Follow Al Jazeera English:
Al Jazeera Media Network logo

[emoji2398] 2022 Al Jazeera Media Network
Hawana lolote hao kenge [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Halafu pana mtu anasema Poland ni wanyonge kwa Russia,mbona sasa Russia anajihami kwa kukana.Kama yeye ni mbabe kweli akae kimya asuburie kuona watajibu nini Poland lakini kukimbilia kukana maana yake anaujua mziki utakaokuja na hawezi kuucheza.
Aliyekana ni Biden
 
Aliyekana ni kiwa Urusi haihusiki ni Biden
Russia’s defense ministry has denied allegations circulating that its missiles struck Poland on Tuesday, not long after a U.S. intelligence official said that Russian strikes killed two people in a possible escalation of Russia’s war in Ukraine.

“No strikes on targets near the Ukrainian-Polish state border were made by Russian means of destruction,” the ministry said in a statement on Telegram, adding that the related “statements of the Polish media and officials” are “a deliberate provocation aimed at escalating the situation.”

https://www.usnews.com/news/world-r...ia-denies-reports-of-missiles-striking-poland
 
Jamaa wa ajabu sana yan wanalazimishia hisia zao,wanafikiri vita vinaendeshwa kimihemuko ,hii ishu huwezi kurupuka bila kufanya uchunguzi kubaini muhusika nani haswa.yan pro russia wengine akili zao madudu ya chooni.Pro rusia wenye utash wametulia ila hawa bangi wanataka waone NATO mda huu wakikiwasha.
Tulieni mpigwe Spana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom