Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazayuni wakifyekwa najisikia burdaaan
Hawa Magaidi walikuwa wamezoea kushangilia watoto wa Gaza kufa.Habari njema Sanaaaaaaa a
Hawa Magaidi walikuwa wamezoea kushangilia watoto wa Gaza kufa.
View: https://x.com/royalintel_/status/1858618218551578867?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Unafurahia binadamu wenzako kufa???Daaah rahaaaaaaa
Ukiwa unafurahia wenzako kufa nawewe likikukuta sina sababu yakuchukia ingawaje wote njia mojaUnafurahia binadamu wenzako kufa???
Hicho ndo kitu kinawatasa isreli na Netanyahu yeye anataka kumakiza vita kihuni yaani bila makibaliano rasmi ili siku akikaa akijiaikia anarusha ndege kwenda beiruti ....na mbaya zaidi kundelea na vita nako anaona inamkula sana kiuchumiMwaka Israel inatamani hata kukimbia vita. Wanaogopa tu aibu. Israel inatandikwa kisawa sawa.
Hilo neno ulilioongea Mimi hata siwezi kulitamaka mdomoni,, inaonekana wewe 100% uko ndio Tabia zako hivyo,,haf swala la kusema UN wako na gaza leta data ziko wapi??,, na swala lu kusema marekani na uingereza wako upande wa Israel,,hizo ndo great nations in the world, especially marekani.. christian will continue being great 👍.Angalia shoga hili yaani watu wanapamba ardhi yao wanaporwa unawaita magaidi ndiyo maana unaona Dunia UN wapo na Palestina isipokuwa mabasha zako Marekani na Uingereza.
Nani alidhani kwmba TEL Aviv itapenyeka....ila hii ni warning kwao kwmba Kila kitu kinawezekana....drones zinaweza kufanya yake....ballistics zinaweza na hata hypersonic zinaweza....Netapaka arudi mezani kuongea....ugomvi uishe arudi kortini kupambana na kesi zake....hata akikutwa na hatia watamfunga kistaarabu maana ni mwenzao....ila akizidi kukaza fuvu atalala sana kwny bankers maana maadui wanakusaka mpk raia zako nao washaanza kukuwinda maana inaonekana ww ni nuksi....kuna uwezekano Hawa Hizbollah Wana silaha nyingine mbaya zaidi ila wanakupa dozi kutokana na nyakati husika.....wao Israel walisema kuna estimation jamaa wakawa na makombora 150000....Sasa sidhani kama hata nusu ya hayo madude yametumika.....plus hujui supply anayopata bdo kutoka kwa Iran na pia hujui at some point kama na hata Russia nao ataanza kumpenyezea...Bibi sijui anafeli wapi kutafakari kwa akili ya kawaida.....Israel ni dude kubwa sana lenye maguvu na hawa wengine ni wadhaifu wasiokuwa na nguvu. Hivyo mtu mnyonge anapofanikiwa kumpiga hata kwa jiwe mwenye mabavu lazima ASHANGILIE SANA.
Pia Israel inapopiga Hizbullah kwa makombora mazito na kuwaua INAKUWA SIO HABARI ,lakini Hizbullah anapofanikiwa kurusha jiwe au yai viza na kupiga kichwani kwa Netanyahu HIYO NI HABARI KUBWA SANA DUNIA
Usiwe punguani wewe na utumwa wa akili umetawaliwa na hawa magaidi bado yameiba mali africa bado unataka fikra zao ndiyo zifuatwe duniani nzima jinga kabisa wewe yaani huoni watoto wa Gaza zaidi ya 16.000 wanauliwa Gaza huo kwako siyo Ugaidi? Wanapiga makombora mashule, hospital, kambi za wakimbizi kwako huo siyo ugaidi?Hilo neno ulilioongea Mimi hata siwezi kulitamaka mdomoni,, inaonekana wewe 100% uko ndio Tabia zako hivyo,,haf swala la kusema UN wako na gaza leta data ziko wapi??,, na swala lu kusema marekani na uingereza wako upande wa Israel,,hizo ndo great nations in the world, especially marekani.. christian will continue being great 👍.