Makombora yatua Tel Aviv

Makombora yatua Tel Aviv

Usiwe punguani wewe na utumwa wa akili umetawaliwa na hawa magaidi bado yameiba mali africa bado unataka fikra zao ndiyo zifuatwe duniani nzima jinga kabisa wewe yaani huoni watoto wa Gaza zaidi ya 16.000 wanauliwa Gaza?

Soma hiii.



Weka ushahidi wa ugaidi wa Palestina.
Unaposema watoto wanauliwa gaza,,,hujui kuwa mwanza wa haya ni Palestina(Hamas) walishambulia Israel na kuwa watu 1200 kule isreal October 7,,,je huu sio ugaidi,na je hao 1200 waliouliwa hamna watoto au sio watu???,,tumia akili yako vizuri kufikilia haf unipe majibu.
 
Usiwe punguani wewe na utumwa wa akili umetawaliwa na hawa magaidi bado yameiba mali africa bado unataka fikra zao ndiyo zifuatwe duniani nzima jinga kabisa wewe yaani huoni watoto wa Gaza zaidi ya 16.000 wanauliwa Gaza huo kwako siyo Ugaidi? Wanapiga makombora mashule, hospital, kambi za wakimbizi kwako huo siyo ugaidi?

Soma hiii.



Weka ushahidi wa ugaidi wa Palestina.
Unaposema watoto wanauliwa gaza,hujui kuwa mwanzo wa haya yote ni Palestina(Hamas) walishambulia Israel na kuua watu 1200 kule isreal October 7.,je huu sio ugaidi???,na je hao 1200 waliouliwa hamna watoto au sio watu???,,tumia akili yako vizuri kufikilia haf unipe majibu.
 
Usiwe punguani wewe na utumwa wa akili umetawaliwa na hawa magaidi bado yameiba mali africa bado unataka fikra zao ndiyo zifuatwe duniani nzima jinga kabisa wewe yaani huoni watoto wa Gaza zaidi ya 16.000 wanauliwa Gaza huo kwako siyo Ugaidi? Wanapiga makombora mashule, hospital, kambi za wakimbizi kwako huo siyo ugaidi?

Soma hiii.



Weka ushahidi wa ugaidi wa Palestina.

Marekani na Uingreza wanataka watu wawe mashoga vipi na wewe naona unakubaliana nao.
Unaposema watoto wanauliwa gaza,hujui kuwa mwanzo wa haya yote ni Palestina(Hamas) walishambulia Israel na kuua watu 1200 kule isreal October 7.,je huu sio ugaidi???,na je hao 1200 waliouliwa hamna watoto au sio watu???,,tumia akili yako vizuri kufikilia haf unipe majibu.
 
Unaposema watoto wanauliwa gaza,hujui kuwa mwanzo wa haya yote ni Palestina(Hamas) walishambulia Israel na kuua watu 1200 kule isreal October 7.,je huu sio ugaidi???,na je hao 1200 waliouliwa hamna watoto au sio watu???,,tumia akili yako vizuri kufikilia haf unipe majibu.
Ndiyo maana nakuita punguani wewe yaani mgogoro wa Palestina na Israel umeanza Oct 7?

Israel wameanza kuwauwa Wapalestina toka mwaka 1948 baada ya kupora ardhi yao wewe hujui chochote shabiki mandazi huu mgogoro umeujulia JF..

Unajua toka 1948 mpaka leo Wapelstina wangapi wameuliwa na Israel?

Unajua kuna wafungwa wangapi wapo jela Israel bila kupelekwa mahakamani?

Weka ushahidi wa Ugaidi wa Palestina.

Mahakama ya kimataifa ya uhalifu imeishawatia hatiani Israel kwa uhalifu wa kivita wewe upo Uyole unapinga.
 
Usiwe punguani wewe na utumwa wa akili umetawaliwa na hawa magaidi bado yameiba mali africa bado unataka fikra zao ndiyo zifuatwe duniani nzima jinga kabisa wewe yaani huoni watoto wa Gaza zaidi ya 16.000 wanauliwa Gaza huo kwako siyo Ugaidi? Wanapiga makombora mashule, hospital, kambi za wakimbizi kwako huo siyo ugaidi?

Soma hiii.



Weka ushahidi wa ugaidi wa Palestina.

Marekani na Uingreza wanataka watu wawe mashoga vipi na wewe naona unakubalian

Ndiyo maana nakuita punguani wewe yaani mgogoro wa Palestina na Israel umeanza Oct 7?

Israel wameanza kuwauwa Wapalestina toka mwaka 1948 baada ya kupora ardhi yao wewe hujui chochote shabiki mandazi huu mgogoro umeujulia JF..

Unaja toka 1948 mpaka leo Wapelstina wangapi wameuliwa na Israel?

Unajua kuna wafungwa wangapi wapo jela Israel bila kupelekwa mahakamani?
Mkuu najua kuwa vita ya Israel na Palestine imeanza zamani,Ila tunapoongelea to what is going on currently ni matokeo ya shambulio la Hamas dhidi ya Israel October 7,je wasingelipua yote haya yangeendelea??, na pili kuhusu swala la ushoga TRUMP ambaye ndio president elect wa marekani Yuko against it kwa asilimia 100% ,so I wonder why you are saying that chief,, kuhusu uingereza sijui maana I don't support uingereza na I care less kuhusiana na siasa zao.
 
Mkuu najua kuwa vita ya Israel na Palestine imeanza zamani,Ila tunapoongelea to what is going on currently ni matokeo ya shambulio la Hamas dhidi ya Israel October 7,je wasingelipua yote haya yangeendelea??, na pili kuhusu swala la ushoga TRUMP ambaye ndio president elect wa marekani Yuko against it kwa asilimia 100% ,so I wonder why you are saying that chief,, kuhusu uingereza sijui maana I don't support uingereza na I care less kuhusiana na siasa zao.
Hujui lolote wewe.
 
I know much , that's why I speak with fatty, unlike you young man
Ungekuwa unajua usingekuja na hoja ya kipuuzi eti vita vimeanza Oct 7 nakupa darsa na wenzako wenye akili kama zako…
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>

The Palestinian Central Bureau of Statistics released a report Sunday marking the 76th anniversary of the Nakba (Great Catastrophe) indicating that since 1948, approximately 134,000 Palestinians and Arabs have been killed both inside and outside Palestine.

The bureau’s report details the grim statistics of death, detention, settlement construction and land confiscation in Palestine coinciding with the anniversary of May 15, 1948.

Bofya hapa chini…


Palestinian Central Bureau of Statistics releases report detailing grim statistics of death, detention, settlement construction and land confiscation in Palesti… Israel's occupation: 76 years of Palestinian tragedy
 
Ungekuwa unajua usingekuja na hoja ya kipuuzi eti vita vimeanza Oct 7 nakupa darsa na wenzako wenye akili kama zako…


The Palestinian Central Bureau of Statistics released a report Sunday marking the 76th anniversary of the Nakba (Great Catastrophe) indicating that since 1948, approximately 134,000 Palestinians and Arabs have been killed both inside and outside Palestine.

The bureau’s report details the grim statistics of death, detention, settlement construction and land confiscation in Palestine coinciding with the anniversary of May 15, 1948.

Bofya hapa chini…


Palestinian Central Bureau of Statistics releases report detailing grim statistics of death, detention, settlement construction and land confiscation in Palesti… Israel's occupation: 76 years of Palestinian tragedy
Nimesema mwanzo wa hicho unachosema mauaji wa watoto wa Palestine ni shambulio la Hamas dhidi ya Israel October 7 na kuua watu wa Israel 1200,,lakini Sijasema vita imeanza October 7,,nielewe vizuri mkuu
 
Unaposema watoto wanauliwa gaza,,,hujui kuwa mwanza wa haya ni Palestina(Hamas) walishambulia Israel na kuwa watu 1200 kule isreal October 7,,,je huu sio ugaidi,na je hao 1200 waliouliwa hamna watoto au sio watu???,,tumia akili yako vizuri kufikilia haf unipe majibu.
Kabla ya kuandika kuhusu Oct. 7 unafahamu ardhi Israel aliyopewa na UN baada ya kuokotwa okotwa kote duniani na kwenda kutupwa pale mwaka 48 na Kila Leo Huwa unasikia kuhusu Israel wanavyobomoa makazi ya palestina na kuongeza makazi yao Tena wakiwaua wapalestina unadhani kinachofanywa ni sawa Kwa miaka yote au halikuhusu ila mwenye haki akiamua kutetea haki yake ndio gaidi,ukiwa kafiri ni sehemu ya mzigo katika maisha
 
Kabla ya kuandika kuhusu Oct. 7 unafahamu ardhi Israel aliyopewa na UN baada ya kuokotwa okotwa kote duniani na kwenda kutupwa pale mwaka 48 na Kila Leo Huwa unasikia kuhusu Israel wanavyobomoa makazi ya palestina na kuongeza makazi yao Tena wakiwaua wapalestina unadhani kinachofanywa ni sawa Kwa miaka yote au halikuhusu ila mwenye haki akiamua kutetea haki yake ndio gaidi,ukiwa kafiri ni sehemu ya mzigo katika maisha
Ni heri kuwa kafiri kuliko kuwa mfuasi wa mudi
 
Vita ni strategy na sio nguvu. Hizbollah kazifikia karibu kambi zote na ameanza kuzirudia rudia, jaman tunaongea kama masikhara lakin hizbollah anapiga vitu muhimu sana na ndio amewapa ahueni hamas, zile ndege zikichunwa tu kidogo haziruki mpaka waagize vifaa. Ambae hata hangalii kwa umakini atasema resistance wana loose
Mbona unaongea pumba kuna ndege ata moja ya Israel iliyo pigwa na bomb?
 
Jibu swali bomu limepiga ilo jengo ni Kambi ya jeshi?
ISRAEL ndio anaongoza kupiga maeneo ya kiraia kwaiyo iyo bamba tu bamba vita mpya kutoka
Hezbullah aiwezekani ata kwa sheria z UN ikiwa adui analengq maeneo ya kiraia naww unayo Haki ya kupigq kama kayeye baadae itakujakujulika nani mwalifu zaid. Kwasasa tegemea vita vitapelekwa walipo mashoga.
 
ISRAEL ndio anaongoza kupiga maeneo ya kiraia kwaiyo iyo bamba tu bamba vita mpya kutoka
Hezbullah aiwezekani ata kwa sheria z UN ikiwa adui analengq maeneo ya kiraia naww unayo Haki ya kupigq kama kayeye baadae itakujakujulika nani mwalifu zaid. Kwasasa tegemea vita vitapelekwa walipo mashoga.
kwaiyo hamna kulia tena kuhusu kupiga majengo ya kiraia sijui kina mama sijui watoto hakuna tena si ndio?
 
Hezbollah wanaomba ceazefire wewe unaongelea bomu la mamilioni kuua mwanamke mmoja
⚡️Israeli media: 5 soldiers were injured, 2 of them seriously, when a military site was targeted by a drone launched from Lebanon this morning.
 
Back
Top Bottom