Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Netakuma tenaHuu ni mwaka wa kuforce.
Netapusi siku hizi halali ndani, analala kwenye Mahandaki tena kwa kuhama hama.
mwanaaume uwa awalii jomba ukiona picha mpalestini analia jua ao kinamama wanalilia watoto wao lkn sio wanajesh kulialia nako Hezbullah ivyoivyo wanajesh uwa awalii jomba, ktk hii Dunia seem pekea Wanajesh wanalia ni apo Israel tu tukiiita wajesh wale wamama tu ndio mana wamekimbilia kutoa Wanajesh wao lebanon walikua wanakufa ovyo na vilio ovyo. We umesikia wapi Wajeda wanalia!!!!kwaiyo hamna kulia tena kuhusu kupiga majengo ya kiraia sijui kina mama sijui watoto hakuna tena si ndio?