Hii ni very minor case, walichomfanyia huyo baba ni kinyume. And walio mkopesha si benki ni saccos.View attachment 2985133
Bila Benki Kuu na Wizara ya Fedha kuongilia kati, naona mgomo mkubwa unanukia Arusha au Nchi Nzima kutoka kwa mawakala wa mabenki na taasisi za fedha wanaokusanya madeni mara baada ya Makonda kuanza kuwakamata baada ya kutimiza majukumu yao.
Hii itakuwa na athari kubwa kiuchumi kwa kuwa fedha za mabenki, ambazo kimsingi ni za wananchi, zinaweza zisilipwe, kwa kuwa wanaozikusanya wanakamatwa na Mkuu wa Mkoa, hivyo wakopaji watakuwa wanakula bata wakati mabenki yanafilisika.
Baada ya hapo fedha zetu zitakuwa salama katika mabenki?
Unajua riba ni ngapi? Au ulitaka deni la milioni tatu lililodhaminiwa na nyumba lilipweje?Hata kama ndio umuuzie nyumba kisa deni la millions 3........wakati nyumba yake ina thamani ya million 50...........usimuonee kwa kuwa kakopa... . Mbona wale watu waliokopa takribani bilioni 800 na wakaenda mpaka mahakamani na wakawashinda kesi mbona hamkuuza hata vijiko vyao vya chai ?? Huonevu huo
Riba shilingi ngapi ? Unaanzaje kuuza nyumba ya milioni 50 kwa Deni la Millioni 3? Unauzaje nyumba ya mtu wakati bado mtu anaendelea kurejesha pesa yako? Huo ni uhuni na uonezi mkubwa sana. Sasa utapeli huo ndio mwisho wake chini ya uongozi wa Mwamba MakondaUnajua riba ni ngapi? Au ulitaka deni la milioni tatu lililodhaminiwa na nyumba lilipweje?
Riba shilingi ngapi ? Unaanzaje kuuza nyumba ya milioni 50 kwa Deni la Millioni 3? Unauzaje nyumba ya mtu wakati bado mtu anaendelea kurejesha pesa yako? Huo ni uhuni na uonezi mkubwa sana. Sasa utapeli huo ndio mwisho wake chini ya uongozi wa MwambaUnajua riba ni ngapi? Au ulitaka deni la milioni tatu lililodhaminiwa na nyumba lilipweje?
Hapa unataka kusema...
Watu waendelee kuonewa kisa wewe unamchukia Makonda...
Ebu weka wazi riba ni trillion ngapi?Unajua riba ni ngapi? Au ulitaka deni la milioni tatu lililodhaminiwa na nyumba lilipweje?
Braza utakuwa shule huna au?? Hata kama riba iweje ......million 3.......na kashaanza kurejesha mkopo ndio huuze nyumba yake ? Kweli? Hivi kama angekuwa ni ndugu yako huyu jamaa ungeongea hiki ulicho ongea? Kapotea Ben saanane hata wengine hamumufahamu ila katetewa na kira mtu....HAKI.... ni jambo la kira mtu lisibague wala kuwa la aina fulani kisa linaenda kwa mtu fulani hawe wa juu au chini.......mungu akubarikiUnajua riba ni ngapi? Au ulitaka deni la milioni tatu lililodhaminiwa na nyumba lilipweje?
Lakini hamuoni kuwa tatizo ni serikali yenyewe kufumbia macho vi-saccos ku operate kwa mtindo huo? Hili analofanya Makonda la kusema tia watu ndani ni uhuni. Nchi haindeshwa kwa viongozi kutoa amri kuwa watu wawekwe ndani.Hii ni very minor case, walichomfanyia huyo baba ni kinyume. And walio mkopesha si benki ni saccos.
Hii haimaanishi wote wanafanya hivyo, au wote watakamatwa kama unavyodai
Naomba kuuliza hvi kumtupa mtu ndani kuna impact gani katika kutatua tatizo??? Hvi ukimuweka mtu ndani ndo umekuwa umemkomoa na kutatua hilo tatizo?????Safi sana Mheshimiwa Mwamba Mwenyewe Makonda. Kamata wote tupa ndani .maana haiwezekani mtu uuze nyumba ya millioni 50 kwa mkopo wa milioni 3,wakati mhusika akiendelea kufanya marejesho bila shida ya aina yoyote ile.huo ni uhuni na utapeli mkubwa sana ambao haupaswi kufumbiwa macho hata kidogo. Hata wewe unatetea ujinga na utapeli huu kwa kuwa tu hayajakukuta na kukupata.
Haya mambo yanahitaji yafanyike kwa kufuata taratibu na sheria. Hivi huoni kama ni kweli nyumba ya kiasi hicho imeuzwa kwa sababu ya milioni 3 basi kama nchi tuna shida kubwa kabisa na suhuhisho siyo kuweka watu ndani? BTW huuze = uuze, kira = kila, hawe = awe,Braza utakuwa shule huna au?? Hata kama riba iweje ......million 3.......na kashaanza kurejesha mkopo ndio huuze nyumba yake ? Kweli? Hivi kama angekuwa ni ndugu yako huyu jamaa ungeongea hiki ulicho ongea? Kapotea Ben saanane hata wengine hamumufahamu ila katetewa na kira mtu....HAKI.... ni jambo la kira mtu lisibague wala kuwa la aina fulani kisa linaenda kwa mtu fulani hawe wa juu au chini.......mungu akubariki
Riba shilingi ngapi ? Unaanzaje kuuza nyumba ya milioni 50 kwa Deni la Millioni 3? Unauzaje nyumba ya mtu wakati bado mtu anaendelea kurejesha pesa yako? Huo ni uhuni na uonezi mkubwa sana. Sasa utapeli huo ndio mwisho wake chini ya uongozi wa Mwamba Makonda
Mikopo ina muda maalum wa kulipa, una mkataba wa mwaka mmoja umalize deni, sasa miaka mitatu imepita, unatakiwa rejesho la laki tano kila mwezi, wewe unapeleka elfu ishirini eti unadai bado unarejeshaNaomba kuuliza hvi kumtupa mtu ndani kuna impact gani katika kutatua tatizo??? Hvi ukimuweka mtu ndani ndo umekuwa umemkomoa na kutatua hilo tatizo?????
Komando kipensi ndani ya Arusha, tutasikia mengi sana πππ