Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
Tatizo lako huko kichwani umejaza mavi badala ya ubongo,hakuna sheria inayoweka ukomo wa thamani ya dhamana ili mradi iwe na thamani kubwa kuliko kiasi unachotaka kukopeshwa na hakuna taasisi inayokopesha mtu kwa sababu ana shida taasisi zote pamoja na serikali yenyewe hata kwenye ile mikopo inayotolewa kupitia halmashauri hawatoi mikopo kutatua shida zako sijui unadaiwa ada au mgonjwa sana unahitaji pesa ya kujitibu mikopo hutolewa kwa lengo la uzalishaji kwa wafanyabiashara au wajasiriamali kuongeza mitaji au uwekezaji wao na wengi wanachukua mikopo kwa kujifanya wafanyabiashara kumbe ana malengo yake mengine,hapo ndipo wanapokosea na hatimaye wanashindwa kurejesha mikopo waliyochukua na kuleta matatizo kama ya jamaa.shirikisha akili yako. Usikimbilie kujificha nyuma ya mikataba na miongozo mibovu inayotumiwa na wakopeshaji.
Hakuna sheria inayoruhusu uweke dhamana kubwa kwa mkopo mdogo. Dhamana inapaswa kukidhi deni na ikizidi iwe mara mbili. Sasa wangeweka assets na siyo nyumba za watu. Haiingii akilini unamtaka mtu asiyejua kitu aweke dhamana kubwa kwa mkopo mdogo kisha unakuja nduki kusema kuwa HAJUI MAANA YA DHAMANA... je ulichukua muda kumuelewesha kuhusu dhamana kabla haujamkopesha?
Msaidie na yeye basi ashinde kama wewe kama unaona ni rahisi,jamaa alipe hela za watu akimfuata Makonda nyumba imeondoka Mwenzake anapiga siasa tu.Sio stori za kutunga. Binafsi nimeshakuwa sehemu ya vita mara mbili na madalali wa taasisi uchwara na nikaishinda.
Hata bila makonda uwezekano wa kushinda ni mkubwa. Aweke zuio tu mahakamani. Huwezi uziwa nyumba ya M50 kwa M3 kama taasisi uliyokopa haina adhabu na riba zisizolipika. Haiingii akilini.Msaidie na yeye basi ashinde kama wewe kama unaona ni rahisi,jamaa alipe hela za watu akimfuata Makonda nyumba imeondoka Mwenzake anapiga siasa tu.
Safi sana Mheshimiwa Mwamba Mwenyewe Makonda. Kamata wote tupa ndani .maana haiwezekani mtu uuze nyumba ya millioni 50 kwa mkopo wa milioni 3,wakati mhusika akiendelea kufanya marejesho bila shida ya aina yoyote ile.huo ni uhuni na utapeli mkubwa sana ambao haupaswi kufumbiwa macho hata kidogo. Hata wewe unatetea ujinga na utapeli huu kwa kuwa tu hayajakukuta na kukupata.
umepanic dogo.Tatizo lako huko kichwani umejaza mavi badala ya ubongo,hakuna sheria inayoweka ukomo wa thamani ya dhamana ili mradi iwe na thamani kubwa kuliko kiasi unachotaka kukopeshwa na hakuna taasisi inayokopesha mtu kwa sababu ana shida taasisi zote pamoja na serikali yenyewe hata kwenye ile mikopo inayotolewa kupitia halmashauri hawatoi mikopo kutatua shida zako sijui unadaiwa ada au mgonjwa sana unahitaji pesa ya kujitibu mikopo hutolewa kwa lengo la uzalishaji kwa wafanyabiashara au wajasiriamali kuongeza mitaji au uwekezaji wao na wengi wanachukua mikopo kwa kujifanya wafanyabiashara kumbe ana malengo yake mengine,hapo ndipo wanapokosea na hatimaye wanashindwa kurejesha mikopo waliyochukua na kuleta matatizo kama ya jamaa.
Akae akijua tu huo mkopo asipoulipa hiyo nyumba imekwenda Makonda hana uwezo wa kumsaidia chochote zaidi ya kupiga siasa tu.
Hili lijamaa ni chizi. Sasa halitaki benki zilipwe madeni yao linataka nini? Mtu ukishindwa kulipa deni, hata kama ni la sh 100, nyumba uliyoweka dhamana ndiyo itakayouzwa kufidia deni. Hili limbumbumbu linafanya serikali ya Samia ichukiwe na wananchi.Bila Benki Kuu na Wizara ya Fedha kuongilia kati, naona mgomo mkubwa unanukia Arusha au Nchi Nzima kutoka kwa mawakala wa mabenki na taasisi za fedha wanaokusanya madeni mara baada ya Makonda kuanza kuwakamata baada ya kutimiza majukumu yao.
Hii itakuwa na athari kubwa kiuchumi kwa kuwa fedha za mabenki, ambazo kimsingi ni za wananchi, zinaweza zisilipwe, kwa kuwa wanaozikusanya wanakamatwa na Mkuu wa Mkoa, hivyo wakopaji watakuwa wanakula bata wakati mabenki yanafilisika.
Baada ya hapo fedha zetu zitakuwa salama katika mabenki?
Kakamata wangapi hadi sasa na uchumi umedorora kwa asilimia ngapi?Bila Benki Kuu na Wizara ya Fedha kuongilia kati, naona mgomo mkubwa unanukia Arusha au Nchi Nzima kutoka kwa mawakala wa mabenki na taasisi za fedha wanaokusanya madeni mara baada ya Makonda kuanza kuwakamata baada ya kutimiza majukumu yao.
Hii itakuwa na athari kubwa kiuchumi kwa kuwa fedha za mabenki, ambazo kimsingi ni za wananchi, zinaweza zisilipwe, kwa kuwa wanaozikusanya wanakamatwa na Mkuu wa Mkoa, hivyo wakopaji watakuwa wanakula bata wakati mabenki yanafilisika.
Baada ya hapo fedha zetu zitakuwa salama katika mabenki?
wewe ni mpumbavu nikikuona nakuweka rokapuBila Benki Kuu na Wizara ya Fedha kuongilia kati, naona mgomo mkubwa unanukia Arusha au Nchi Nzima kutoka kwa mawakala wa mabenki na taasisi za fedha wanaokusanya madeni mara baada ya Makonda kuanza kuwakamata baada ya kutimiza majukumu yao.
Hii itakuwa na athari kubwa kiuchumi kwa kuwa fedha za mabenki, ambazo kimsingi ni za wananchi, zinaweza zisilipwe, kwa kuwa wanaozikusanya wanakamatwa na Mkuu wa Mkoa, hivyo wakopaji watakuwa wanakula bata wakati mabenki yanafilisika.
Baada ya hapo fedha zetu zitakuwa salama katika mabenki?
Awali sikuwa najua kazi unayoifanya mjini; kumbe wewe ni tapeli!!Mikopo ina muda maalum wa kulipa, una mkataba wa mwaka mmoja umalize deni, sasa miaka mitatu imepita, unatakiwa rejesho la laki tano kila mwezi, wewe unapeleka elfu ishirini eti unadai bado unarejesha
Unajipa matumaini unaongea mambo ambayo hauyaishiKwa nini husemi Makonda for 2025 ππππ
Hakuna Kind of Sukima.gang watarudi madarakani tena labda Samia aamue kukoma watu wa Bara msio na akili.
Mimi Niko mpakani,navuka baoda tuu kama.wakati wa yule hamnaxo mwingine