Kiukweli Paul Makonda mimi mwenyewe kwenye ishu ya kuwaua wengine sikubaliani nae lakini hili nampa kongoleHapana hizo taasisi ni matapeli,kweli bashite ana ujinga mwingi,ila katika hili yupo sawa,
Kuna comment chini nimemtusi,ngojea nikaifute baada ya kusikiliza iyo clip
Fanyeni chap Makonda baba wa upendo namwombea hii operation ije na mafanikio. Tumechoka na uhuni wa hizi taasisiWaliouziwa nyumba kupitia mkopo kausha damu na Kampuni ya Heritage financing limited y iliko Arusha tukutane kwa makonda Kesho saa 4 asubuhi. Tuna jambo letu
Paul Makonda atawanyoosha nyie wala riba kubwa kubwaUlitaka wauze sidiria zako
Huyu ndio Kiongozi sasa. Mkopo wa milioni tatu na mkopaji analipa unaenda kuuza nyumba ya milioni hamsini? Tia ndani!!!Bila Benki Kuu na Wizara ya Fedha kuongilia kati, naona mgomo mkubwa unanukia Arusha au Nchi Nzima kutoka kwa mawakala wa mabenki na taasisi za fedha wanaokusanya madeni mara baada ya Makonda kuanza kuwakamata baada ya kutimiza majukumu yao.
Hii itakuwa na athari kubwa kiuchumi kwa kuwa fedha za mabenki, ambazo kimsingi ni za wananchi, zinaweza zisilipwe, kwa kuwa wanaozikusanya wanakamatwa na Mkuu wa Mkoa, hivyo wakopaji watakuwa wanakula bata wakati mabenki yanafilisika.
Baada ya hapo fedha zetu zitakuwa salama katika mabenki?
Jaribu kutumua akili kidogo. Hizi ni acquisition ambazo zinatakiwa kuwa treated with utmost care. Huwezi kuamuru watu wawekwe ndani kabla ya hata ya kusikiliza pande zote. Wajinga wajinga kama wewe ndiyo mnafanya nchi izidi kudidia kwenye matatizo.Kiongozi yote yakifanyikia ofisini unazani kutakua na umuhimu wa vyombo vya habari? Na lazima yapo mengi tu yanafanyikia uko ofisini na baadhi tu kama haya yanayokea kwenye mitandao. Tanzania kubwa hii na matatizo ya hivi yapo mengi tu. La muhimu ni mifumo tu iimaliswe ya kuweza kushughulikia matatizo kama hayo.
huo ujumbe ungeugeuza kisha ukaanza kujitafakari , kwamba Makonda awashike wakusanya madeni yao bila sababu za msingi , umeandika ujumbe mzuri ila unakuhusu wewe na mnaompinga Makonda , hata Msukuma haez mshika mkusanya madeni bila sababu ya ziada , WAJINGA MSIOPENDA KUMENG'ENYA MAMBO MPO WENGI SANA , MKISOMA HABARI INASEMA MAKONDA AKAMATA WAKUSANYA MADENI BASI MNAIMEZA KAMA ILIVYO NA HAMTAK KUMENG'ENYA ZAID KUUJUWA UKWEL , HASA WENGI WENU MNAENDESHWA NA CHUKI DHIDI YA MAKONDAElimu mbovu imekuwa ni disaster kwa nchi yetu. Watu wengi hamwezi kutafakari mambo kwa upana na urefu. Pole sana kwa ufinyu wako wa kutafakari kwa sababu wanaoona Makonda ni shujaa mko wengi na siyo kosa lenu, bali mfumo wa elimu.
Sawa dada mkubwa mwenye akili.Jaribu kutumua akili kidogo. Hizi ni acquisition ambazo zinatakiwa kuwa treated with utmost care. Huwezi kuamuru watu wawekwe ndani kabla ya hata ya kusikiliza pande zote. Wajinga wajinga kama wewe ndiyo mnafanya nchi izidi kudidia kwenye matatizo.
hiyo ndiyo mikopo ya kausha damu ipigwe marufukuTatizo ni wewe mkopeshaji ulikuwa na nia ya kukopesha au kujipatia nyumba? Hili linapimwa kwa
1. Kiwango cha riba
2. Uwezo wa mtu unayemkopesha, Anakopesheka?
3. Taratibu za kumfilisi. Una vibali vyote? Umevipata kwa njia halali?
Sasa kwa dhamana ya M50, na mkopo wa M3. Kuna tatizo. Lazima huyu mtu hana capacity ila ana dhamana, hakopesheki. Kwanini ulimkopesha? Baada ya kumkopesha akashindwa, vibali vya kufilisi umevipataje maana mahakamani kupewa hichi kibali zikifatwa taratibu zote si rahisi.
Ni kweli ndo maana mabank hawapendi kufilisi, wanapenda ulipe. Microfinance uchwara wanapenda ushindwe kulipa ili nyumba ya M50 iuzwe M10, upewe M7 watu wakaiuze M40 huko baadae.
Kuna miongozo mkuu, mambo kama haya unaweza kuta hata mke ajui kama nyumba ya M50 imekopewa na mume M3 na kuna mafomu kibao ya kujaza ili nyumba iwe mali halali ya taasisi ya fedha na waweze kuiuza.
Hakuna mtu analeta M50, hapo itauzwa 10 au 15. Unadhani wakusanya madeni wanapigia wapi pesa? Kwa akili ya kawaida nyumba ya M50 kwa mkopo wa M3 kuuzwa haiingii akilini unless liriba ni likubwa mno.
Kwelihiyo ndiyo mikopo ya kausha damu ipigwe marufuku
Iuzwe ikatwe 3M chenchi arudishiwe. Dawa ya deni ni kulipa tuHata kama ndio umuuzie nyumba kisa deni la millions 3........wakati nyumba yake ina thamani ya million 50...........usimuonee kwa kuwa kakopa... . Mbona wale watu waliokopa takribani bilioni 800 na wakaenda mpaka mahakamani na wakawashinda kesi mbona hamkuuza hata vijiko vyao vya chai ?? Huonevu huo
Kwa kauli hii yupo tayari hata kufaView attachment 2985167
Jamaa ni tapeli sana aka con man.
Hao hao wananchi anaojionesha kuwapigania anawajaza upepo alafu baadae anakimbilia Gran Melia Hotel kusikilizia na lile li landrover lake!
Kwa wasiomfahamu vizuri... Hakuna alichowahi kuanzisha kikafikia mwisho mzuri!
Mpaka inafikia kuuzwa hao hawataki 3m. Itakuwa riba ilikuwa kubwa deni halilipiki ila kwa ilipofikia hapo watachukua hiyo hiyo tatu yaishe. Tena pengine kwa awamu.Iuzwe ikatwe 3M chenchi arudishiwe. Dawa ya deni ni kulipa tu
Umekopa lipa! Au tafuta hizo mi3 sehemu nyingine sio kufilisi bank. Ukipewa pesa rudisha ili apewe mwingine, kila mtu akipewa pesa Akakaa nazo bank zitafilisikaUmepost upupu gani yani mtu anadaiwa miliion 3 unamuuzia Nyumba? Hizi Demokrasia zinatumika vibaya watu kama hawa ni wakunyonga tu.
#Mama yupo Kazini.Bila Benki Kuu na Wizara ya Fedha kuongilia kati, naona mgomo mkubwa unanukia Arusha au Nchi Nzima kutoka kwa mawakala wa mabenki na taasisi za fedha wanaokusanya madeni mara baada ya Makonda kuanza kuwakamata baada ya kutimiza majukumu yao.
Hii itakuwa na athari kubwa kiuchumi kwa kuwa fedha za mabenki, ambazo kimsingi ni za wananchi, zinaweza zisilipwe, kwa kuwa wanaozikusanya wanakamatwa na Mkuu wa Mkoa, hivyo wakopaji watakuwa wanakula bata wakati mabenki yanafilisika.
Baada ya hapo fedha zetu zitakuwa salama katika mabenki?
Makonda atashindwa tuHuyu ndio Kiongozi sasa. Mkopo wa milioni tatu na mkopaji analipa unaenda kuuza nyumba ya milioni hamsini? Tia ndani!!!
Mpaka inafikia kuuzwa hao hawataki 3m. Itakuwa riba ilikuwa kubwa deni halilipiki ila kwa ilipofikia hapo watachukua hiyo hiyo tatu yaishe. Tena pengine kwa awamu.
Kuna madeni yakuuza nyumba ila sio Million tatu ! sehemu kama Arusha CC kiwanja cha millioni tatu utakipata mtoni sembuse Nyumba ?Umekopa lipa! Au tafuta hizo mi3 sehemu nyingine sio kufilisi bank. Ukipewa pesa rudisha ili apewe mwingine, kila mtu akipewa pesa Akakaa nazo bank zitafilisika
Bank haifanyagi huu ujinga. Taratibu za kuweka dhamana ya nyumba bank ili ukopeshwe ni ngumu kidogo na wapo makini na uwezo wa mkopaji hata kama ana dhamana, unless huo uongozi uwe wa kijinga. Bank hizi zinazojielewa ikishafikia kuwa inauza nyumba si rahisi kupona, itauzika, hata uende kwa waziri mkuu.Umekopa lipa! Au tafuta hizo mi3 sehemu nyingine sio kufilisi bank. Ukipewa pesa rudisha ili apewe mwingine, kila mtu akipewa pesa Akakaa nazo bank zitafilisika