Pre GE2025 Makonda aikacha Kigamboni kugombea Arusha mjini

Pre GE2025 Makonda aikacha Kigamboni kugombea Arusha mjini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Habari zikufikie kwamba Paul Makonda amebadili gia angani sasa sio Kigamboni tena bali Arusha.

Makonda hawezi kugombea willaya aliyozaliwa maana kwenye kampeni itamletea shida, wapinzani wake wakifukua makaburi kumleta mwenye jina lake.

Kila anachikifanya Makonda pale Arusha ni maandaluzi ya kampeni za ubunge jimboni humo.
 
Habari zikufikie kwamba Paul Makonda amebadili gia angani sasa sio Kigamboni tena bali Arusha,
Makonda hawezi kugombea willaya aliyozaliwa maana kwenye kampeni itamletea shida,wapinzani wake wakifukua makaburi kumleta mwenye jina lake .

Kila anachikifanya Makonda pale Arusha ni maandaluzi ya kampeni za ubunge jimboni humo
Kufa kwa nyani miti yote huteleza. Mokonda hanasifa hata kidogo kuwa mbunge wa hapa Arusha
 
Back
Top Bottom