Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio akina nani?Kwanza atuonyeshe walipo akina Azory, Saanane na wengineo.
Badala ya kuwashupalia polisi wawakamate wezi unachangisha fedha za kununua ng'ombe wengine ili wezi waje wawaibe tena, alichotakiwa ni kumuagiza RPC, OCD na wengineo wawasake weziNimemwona makonda akichangisha fedha kupata hela za kumnunulia mwanamke aliyeibiwa ngombe tisa, nimelia kwa upendo mkuu sambamba na mama aliyechangiwa fedha, safi sana. Makonda anatatua shida za msingi za wananchi, huyu ni kaka yetu wa taifa
kwamba wafungwe wezi alafu anatafaidika na nini? Huyo mama au mahakama zetu sikuhz zimebadil sheria mwiz alipeBadala ya kuwashupalia polisi wawakamate wezi unachangisha fedha za kununua ng'ombe wengine ili wezi waje wawaibe tena, alichotakiwa ni kumuagiza RPC, OCD na wengineo wawasake wezi
Hongera kwa kupata kaka wa taifa.Nimemwona makonda akichangisha fedha kupata hela za kumnunulia mwanamke aliyeibiwa ngombe tisa, nimelia kwa upendo mkuu sambamba na mama aliyechangiwa fedha, safi sana. Makonda anatatua shida za msingi za wananchi, huyu ni kaka yetu wa taifa
Hayo machozi uliyolia yapo wapi??hizo ni dalili za UCHOKO kulialia kwa vitu cheapNimemwona makonda akichangisha fedha kupata hela za kumnunulia mwanamke aliyeibiwa ngombe tisa, nimelia kwa upendo mkuu sambamba na mama aliyechangiwa fedha, safi sana. Makonda anatatua shida za msingi za wananchi, huyu ni kaka yetu wa taifa
Mwizi ni miaka 7 ndanikwamba wafungwe wezi alafu anatafaidika na nini? Huyo mama au mahakama zetu sikuhz zimebadil sheria mwiz alipe
Mungu mwema sana, advertise ya Makonda si mchezo,sipati picha akiwa primeNimemwona makonda akichangisha fedha kupata hela za kumnunulia mwanamke aliyeibiwa ngombe tisa, nimelia kwa upendo mkuu sambamba na mama aliyechangiwa fedha, safi sana. Makonda anatatua shida za msingi za wananchi, huyu ni kaka yetu wa taifa
POLISI walishiriki wizi wa hizo ng'ombe,acha tumchangie mnyonge mwenzetuBadala ya kuwashupalia polisi wawakamate wezi unachangisha fedha za kununua ng'ombe wengine ili wezi waje wawaibe tena, alichotakiwa ni kumuagiza RPC, OCD na wengineo wawasake wezi
Mkuu si uchawa hii ndio akili ya watanzania wengi na wala cake ya taifa wanalijua hili ndio maana mtu anatembea na v8 full a.c eti akikaribia kuingia mjini anapanda lory au bodaboda na watu eti wanaona alichofanya ni kitendo cha kishujaa na yuko na wanyonge.Uchawa ni ugonjwa.
waliuliwa na michepukoKwanza atuonyeshe walipo akina Azory, Saanane na wengineo.
Nimemwona makonda akichangisha fedha kupata hela za kumnunulia mwanamke aliyeibiwa ngombe tisa, nimelia kwa upendo mkuu sambamba na mama aliyechangiwa fedha, safi sana. Makonda anatatua shida za msingi za wananchi, huyu ni kaka yetu wa taifa
Tena hauna tiba!Uchawa ni ugonjwa.
Khaaaaaaa..kaka wa taifa awe na makalio makubwa kama kina dada? Hilo hatukubali hata tuwekee bastola kichwani.[emoji1787]