Makonda akabidhi ofisi kwa RC Kunenge, adai ofisi hiyo ina majungu mengi

Makonda akabidhi ofisi kwa RC Kunenge, adai ofisi hiyo ina majungu mengi

Ajiandae kugombea serikali za mitaa,kumbe kajenga Kigamboni.
Alipofanya ziara ya kukagua miradi inayosimamiwa na Serikali ya CCM Mkoani DSM, alisikika akitamka kuwa Hana Nyumba Kigamboni, bali dereva wake ndiye alikuwa akijenga kule. Mara Paap, Mstaafu kawa mkazi wa Kigamboni.

Waongo wengi hawana kumbukumbu!
 
dooh...yuko na yesu?yesu wa wapi uyo anabariki kunyma uhur wa kuishi?
 
Makonda ni msanii asiyejielewa, ameitwa akabidhi funguo yeye kakabidhi maneno ya kimajungu kama anaimba taarabu
 
Kwani ile ya masaki ni makazi yake binafsi? Apartment za Mwanza,na hostels zinasemekana niza baba yake wa kufikia a.k.a Yesu a.k.a jemedali a.k.a mzalendo namba moja.
Masaki ni nyumba ya serikali yaani mkuu wa mkoa yoyote wa Dar anapewa nyumba kukaa pale, Huyu Bashite kabla ya madaraka alikuwa anakaa Sinza
 
ni kweli hana Brain ila mkuu kuna watu humchukia tu bila hata sababu, kuna siku humu nilimuuliza mtu kwanini hampendi jamaa hakunipa sababu
An mihemko ya kijinga na anafanya siasa za chuki ikiwamo kujaribu kakna haki ya kuishi ya watu wengine. Tukio la Lissu intelijensia inasema ndio alikuwa Coordinator.
 
An mihemko ya kijinga na anafanya siasa za chuki ikiwamo kujaribu kakna haki ya kuishi ya watu wengine. Tukio la Lissu intelijensia inasema ndio alikuwa Coordinator.

katika mambo kama hayo ni kweli ana kwama,kingine huwa ni mropokaji mkubwa kwa mfano jana amesema anachosikitika ni kutowapima tezi deme wanaume wa Dar nyumba hadi nyumba
 
Tunajua atapata cheo kingine ila hili alilopitia na maoni ya watu,nadhani atakuwa amejifunza kitu kikubwa sana
Kwa ushamba alionao sidhani hata kama anajifunza. Mwenye akili angenyamaza angalau upepo uvume kwanza
 
katika mambo kama hayo ni kweli ana kwama,kingine huwa ni mropokaji mkubwa kwa mfano jana amesema anachosikitika ni kutowapima tezi deme wanaume wa Dar nyumba hadi nyumba
Mjiandae Kupimwa sasa, maana kaacha hand over kwa kunenge 😀😀😀
 
Dada mi nina amini huyu jamaa Jiwe hawezi kumuacha atampa cheo tena unaweza shangaa akarudishwa hapo hapo. We hujuulizi amekaa na funguo za ofisi wiki mbili tangu apigwe chini unadhani angekua mtu wa kawaida angepata wapi hiyo power.
amekaa na funguo kwasababu alikua haamini kama power imeisha saizi hadi marafiki wote watamkibia
 
Makonda Kijana Makini Mwenye Uthubutu Wa Kutenda Mema KWA anaowaongoza....
Kila la heri kwake,Aaaamin.
 
Back
Top Bottom