Makonda akabidhi ofisi kwa RC Kunenge, adai ofisi hiyo ina majungu mengi

Makonda akabidhi ofisi kwa RC Kunenge, adai ofisi hiyo ina majungu mengi

Kasema mwenyewe atakuwa anaishi Kigamboni. Huko Masaki labda atapangisha.
Kwani ile ya masaki ni makazi yake binafsi? Apartment za Mwanza,na hostels zinasemekana niza baba yake wa kufikia a.k.a Yesu a.k.a jemedali a.k.a mzalendo namba moja.
 
Dar mmepata uhuru kamili, yule mchonganishi wenu ametupwa mtaani.

"Ole wenu mitaa na vilivyomo maana yule aliyekuwa akituchongea huku ametupwa kwenu akiwa na hasira nyingi sana"
 
Makonda ndie alieandaa vyombo vya habari katika kukabidhiana huku, na ukitizama vizuri kilichotokea nikama huyu Mkuu wa Mkoa mpya hakukitaka na hata maneno Ya Mkuu wa Mkoa yameonesha kuwa hamkubali makonda pamoja kuwa kampongeza Lakini Kama wewe ni mdadisi utagundua kuwa Mkuu wa Mkoa mpya alikuwa anahitaji shughuli kuisha haraka ndio Maana hata issue ya Picha Mkuu wa Mkoa kakataa kupiga Picha kakataa kiujanja janja na makonda alihitaji Picha zipigwe Lakini Mkuu wa Mkoa katoa nje kisayansi kasema Siku ingne na maswali Kwa Mkuu wa Mkoa kakataa kawa anasema Siku nyingne kukihitaji swali mtu yoyote karibu inaonesha hali ya makonda iko tete kanyoka.
Yaani wewe ndio umepotea kabisa, kwa taarifa yako Kunenge kapendekezwa na Makonda kuwa RC, hutaki acha
 
Maisha Ni Safari Ndefu Na Utumishi Wa Kuteuliwa Ni Kupokezana Vijiti.

Tutamkumbuka Mh.Makonda Kwa Kulipa Nidhamu Jiji La Dar...
1.Kutupunguzia Vibaka Na Wakabaji
2.Kutupunguzia Wazururaji
3.Kutupunguzia Wavuta Unga,Bange Na Shisha.
4.Kulihimiza Jiji Kuwa Safi.
5.Kuwa Karibu Na Kina mama Wenye Matatizo Ya Kudhulumiwa Haki Zao.
6.Kuwa Karibu Na VIJANA WENZAKE Na Kushiriki kuwainua kwa UKARIBU.
6.Ukaribu Na Wasanii Na Urolemodel Kwa Wengi.
7.Ukaribu Wake Na Wananchi na uharaka Wake Wa Kutoa Maamuzi.
8.Ukaribu Wake Kwa Wanamichezo.
9.Ukaribu Wake Kwa Viongozi Wa DINI Dar es salaam.
10.Ulezi Wake Wa Vikundi Vya Michezo Vya Vijana Wa Mitaani.
11.Ukaribu Wake na SHIRIKISHO La vyuo vikuu Dar.
12.Ukaribu Wake Na Tahliso
13.Utetezi Wake Wa Haraka Kwa Vijana WENZAKE Kupata MIKOPO kutoka Bodi Ya MIKOPO Ya Elimu ya Juu HESLB.
14.HAKIKA NI MENGI MAZURI.

Braavoo Komredi Makonda,Dar Itakukumbuka kwa Yako Mengi Mazuri.

Hasta La Victoria,aluta continua!!
Watesi wake hapa wanapita tu huku wanasonya.
 
Mh Makonda unaondoka katika majukumu yako ya mkuu wa mkoa wa Dsm lakini tukwambie tu umeacha alama katika mkoa wetu wa dsm tunakuombea kila kheri.
 
Anasuburi huruma ya anaemtuma kufanya Yale yasiyompendeza Mungu. Huyo Yesu sio Yule alietufia msalabani
 
Tunashukuru kukabidhi ofisi wambea wamefurahi sanaa
 
Halafu huyu pimbi ma hips anapenda wanaume wa Dar tutiwe vidole vya assh0le

Kaulizwa na journalist anajutia nn haja maliza kukifanya.
Eti anasema upimaji wa tezi dume kata kwa kata. Nyumba hadi nyumba.
Yaani siku zote khanith ni khanith tu. Yaani hilo kaliona ni la maana

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Chama cha wanaume wanakikao jioni kujadili kama huyu bwana ana sifa za kuwa mwanachama, maana wanaosema hips na wengine eti umbea, hizo sifa zote 2 hazipo kwenye kundi la sifa zinazo mtamhulisha mwanachama wa chama cha wanaume .
 
Chama cha wanaume wanakikao jioni kujadili kama huyu bwana ana sifa za kuwa mwanachama, maana wanaosema hips na wengine eti umbea, hizo sifa zote 2 hazipo kwenye kundi la sifa zinazo mtamhulisha mwanachama wa chama cha wanaume .
Aiseee
 
Chama cha wanaume wanakikao jioni kujadili kama huyu bwana ana sifa za kuwa mwanachama, maana wanaosema hips na wengine eti umbea, hizo sifa zote 2 hazipo kwenye kundi la sifa zinazo mtamhulisha mwanachama wa chama cha wanaume .
Nakazia
 
Back
Top Bottom