Kwani ile ya masaki ni makazi yake binafsi? Apartment za Mwanza,na hostels zinasemekana niza baba yake wa kufikia a.k.a Yesu a.k.a jemedali a.k.a mzalendo namba moja.Kasema mwenyewe atakuwa anaishi Kigamboni. Huko Masaki labda atapangisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ile ya masaki ni makazi yake binafsi? Apartment za Mwanza,na hostels zinasemekana niza baba yake wa kufikia a.k.a Yesu a.k.a jemedali a.k.a mzalendo namba moja.Kasema mwenyewe atakuwa anaishi Kigamboni. Huko Masaki labda atapangisha.
Mbona unanifokea kwani nimekula chako?Mnataka awaeleze mala ngapi ndo muelewe kwamba hana account ya tweeter!
Kiukweli huwa harembi.Na watu wengi wa Dar humchukia sababu huwa anawapa za uzo
Yaani wewe ndio umepotea kabisa, kwa taarifa yako Kunenge kapendekezwa na Makonda kuwa RC, hutaki achaMakonda ndie alieandaa vyombo vya habari katika kukabidhiana huku, na ukitizama vizuri kilichotokea nikama huyu Mkuu wa Mkoa mpya hakukitaka na hata maneno Ya Mkuu wa Mkoa yameonesha kuwa hamkubali makonda pamoja kuwa kampongeza Lakini Kama wewe ni mdadisi utagundua kuwa Mkuu wa Mkoa mpya alikuwa anahitaji shughuli kuisha haraka ndio Maana hata issue ya Picha Mkuu wa Mkoa kakataa kupiga Picha kakataa kiujanja janja na makonda alihitaji Picha zipigwe Lakini Mkuu wa Mkoa katoa nje kisayansi kasema Siku ingne na maswali Kwa Mkuu wa Mkoa kakataa kawa anasema Siku nyingne kukihitaji swali mtu yoyote karibu inaonesha hali ya makonda iko tete kanyoka.
Watesi wake hapa wanapita tu huku wanasonya.Maisha Ni Safari Ndefu Na Utumishi Wa Kuteuliwa Ni Kupokezana Vijiti.
Tutamkumbuka Mh.Makonda Kwa Kulipa Nidhamu Jiji La Dar...
1.Kutupunguzia Vibaka Na Wakabaji
2.Kutupunguzia Wazururaji
3.Kutupunguzia Wavuta Unga,Bange Na Shisha.
4.Kulihimiza Jiji Kuwa Safi.
5.Kuwa Karibu Na Kina mama Wenye Matatizo Ya Kudhulumiwa Haki Zao.
6.Kuwa Karibu Na VIJANA WENZAKE Na Kushiriki kuwainua kwa UKARIBU.
6.Ukaribu Na Wasanii Na Urolemodel Kwa Wengi.
7.Ukaribu Wake Na Wananchi na uharaka Wake Wa Kutoa Maamuzi.
8.Ukaribu Wake Kwa Wanamichezo.
9.Ukaribu Wake Kwa Viongozi Wa DINI Dar es salaam.
10.Ulezi Wake Wa Vikundi Vya Michezo Vya Vijana Wa Mitaani.
11.Ukaribu Wake na SHIRIKISHO La vyuo vikuu Dar.
12.Ukaribu Wake Na Tahliso
13.Utetezi Wake Wa Haraka Kwa Vijana WENZAKE Kupata MIKOPO kutoka Bodi Ya MIKOPO Ya Elimu ya Juu HESLB.
14.HAKIKA NI MENGI MAZURI.
Braavoo Komredi Makonda,Dar Itakukumbuka kwa Yako Mengi Mazuri.
Hasta La Victoria,aluta continua!!
Na siku hiyo inakuja amini hivyoSiku akipewa teuzi nawambia atatoa tamko zito sana hadi watu tutazima data mwezi mzima
Mtabakia na wimbo huohuo wa vyeti mwenzenu anachanja mbuga, patheticYani unamchanganya Bashite na watu wanaojielewa.
Pathetic, mwambie alete vyeti, mbona hao wenzake wana vyeti
🤣🤣🙈Anaenda kulea mwanae,mbona hajasema anamplelekea mwenye mtoto aliyetoa mbegu za kupandikiza?
Halafu huyu pimbi ma hips anapenda wanaume wa Dar tutiwe vidole vya assh0le
Kaulizwa na journalist anajutia nn haja maliza kukifanya.
Eti anasema upimaji wa tezi dume kata kwa kata. Nyumba hadi nyumba.
Yaani siku zote khanith ni khanith tu. Yaani hilo kaliona ni la maana
AiseeeChama cha wanaume wanakikao jioni kujadili kama huyu bwana ana sifa za kuwa mwanachama, maana wanaosema hips na wengine eti umbea, hizo sifa zote 2 hazipo kwenye kundi la sifa zinazo mtamhulisha mwanachama wa chama cha wanaume .
NakaziaChama cha wanaume wanakikao jioni kujadili kama huyu bwana ana sifa za kuwa mwanachama, maana wanaosema hips na wengine eti umbea, hizo sifa zote 2 hazipo kwenye kundi la sifa zinazo mtamhulisha mwanachama wa chama cha wanaume .
Eti jobless [emoji86][emoji86]Alitaka kushinda hapo akiulizwa maswali, ni jobless so akataka awaponze wenzake wapo kazini kuwapotezea muda. RC Kunenge yupo vizuri sana, kudoz kwake.