Apumzike kwa amani.Wakuu Shalom naona mubashara hapa RC Matata Bwana Makonda akidai kua anafurahia sana kwenda kumtunza Mwanae na kwamba hajapoteza lolote na amedai70% ya wananchi wa Dar ni wambea uzi tayari ntazidi kuwajuza[emoji23]
===
ATASHIRIKI KIKAMILIFU KWENYE KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU, 2020
Ukishakuwa mstaafu unarudi kwa wanakijiji wenzako…, tutakaa na wananchi wenzetu tutakuwa tunashauriana namna ya kufanya mambo ya pale
Nafahamu kwamba upo mchakato unaoendelea katika ngazi ya Wilaya, mkoa na ngazi ya taifa. Lakini kazi yetu kama wanaCCM, ambalo hili haliwezi kufichika, na hili RC ulitegemee sana. Nitapiga debe mtaa kwa mtaa, kata kwa kata, tarafa kwa tarafa, wilaya mpaka mkoa kuhakikisha kwamaba Dkt. John Pombe Magufuli anaibuka kidedea kwenye mkoa huu wa Dar es Salaam, wabunge wanashinda wa Chama cha Mapinduzi.
Sasa hivi mimi ni raia lakini lakini kadi yangu ya CCM haijapotea. Nasubiria wakati tu. Kama ni kuniona tegemeeni kipindi cha kampeni nikiungana na Mwenyekiti wangu wa Mkoa na Mwenyekiti wangu wa Wilalya ya Kigamboni tukisaka kura kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa tarehe 28 Oktoba 2020 wa Rais, Wabunge na Madiwani.
UPIMAJI WA TEZI DUME: ENEO ANALOSIKITIKA KUONDOKA MADARAKANI BILA KULITEKELEZA
Eneo moja ambalo bado ambalo nalikumbuka na sijalifanya kwakweli, na moyo wangu unaweza kuwa unajuta na kujisikia vibaya, ni suala la tezi dume kaya kwa kaya. Nilitamani sana kulifanya, lakini kwasababu ya ratiba na muingiliano wa mambo mengi, tumekwama.
Kansa ya tezi dume inatesa sana watu. Ukipita kwenye idara ya afya utaona takwimu watu wengi wanavyopata shida. Shida kubwa sana. Ndoto yangu ilikuwa ni kuanzisha utaratibu wa kupita kaya kwa kaya kupima, kwasababu watu wanaaminii wakienda hospitali au sehemu Fulani itakuwa ni aibu. Lakini nilitamani niwafuate wananchi kwenye makazi yao.
Laiti ningelipata nafasi, ningefurahi sana kwamba kila kaya tungepima tezi dume. Na watu wanafikiri tezi dume ni kwa wanaume tu, la hasha! Hata wanawake wanapata tezi dume. Si ugonjwa wa aibu, si ugonjwa wa jinsia moja, lakini ni ugonjwa hatari unaoua Watanzania wengi.
Wakuu Shalom naona mubashara hapa RC Matata Bwana Makonda akidai kua anafurahia sana kwenda kumtunza Mwanae na kwamba hajapoteza lolote na amedai70% ya wananchi wa Dar ni wambea uzi tayari ntazidi kuwajuza[emoji23]
===
ATASHIRIKI KIKAMILIFU KWENYE KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU, 2020
Ukishakuwa mstaafu unarudi kwa wanakijiji wenzako…, tutakaa na wananchi wenzetu tutakuwa tunashauriana namna ya kufanya mambo ya pale
Nafahamu kwamba upo mchakato unaoendelea katika ngazi ya Wilaya, mkoa na ngazi ya taifa. Lakini kazi yetu kama wanaCCM, ambalo hili haliwezi kufichika, na hili RC ulitegemee sana. Nitapiga debe mtaa kwa mtaa, kata kwa kata, tarafa kwa tarafa, wilaya mpaka mkoa kuhakikisha kwamaba Dkt. John Pombe Magufuli anaibuka kidedea kwenye mkoa huu wa Dar es Salaam, wabunge wanashinda wa Chama cha Mapinduzi.
Sasa hivi mimi ni raia lakini lakini kadi yangu ya CCM haijapotea. Nasubiria wakati tu. Kama ni kuniona tegemeeni kipindi cha kampeni nikiungana na Mwenyekiti wangu wa Mkoa na Mwenyekiti wangu wa Wilalya ya Kigamboni tukisaka kura kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa tarehe 28 Oktoba 2020 wa Rais, Wabunge na Madiwani.
UPIMAJI WA TEZI DUME: ENEO ANALOSIKITIKA KUONDOKA MADARAKANI BILA KULITEKELEZA
Eneo moja ambalo bado ambalo nalikumbuka na sijalifanya kwakweli, na moyo wangu unaweza kuwa unajuta na kujisikia vibaya, ni suala la tezi dume kaya kwa kaya. Nilitamani sana kulifanya, lakini kwasababu ya ratiba na muingiliano wa mambo mengi, tumekwama.
Kansa ya tezi dume inatesa sana watu. Ukipita kwenye idara ya afya utaona takwimu watu wengi wanavyopata shida. Shida kubwa sana. Ndoto yangu ilikuwa ni kuanzisha utaratibu wa kupita kaya kwa kaya kupima, kwasababu watu wanaaminii wakienda hospitali au sehemu Fulani itakuwa ni aibu. Lakini nilitamani niwafuate wananchi kwenye makazi yao.
Laiti ningelipata nafasi, ningefurahi sana kwamba kila kaya tungepima tezi dume. Na watu wanafikiri tezi dume ni kwa wanaume tu, la hasha! Hata wanawake wanapata tezi dume. Si ugonjwa wa aibu, si ugonjwa wa jinsia moja, lakini ni ugonjwa hatari unaoua Watanzania wengi.
Tukio liko mubashara Clouds tv karibu.
Up dates;
Makonda anasema alikuwa hafanyi kazi kwa kukurupuka maamuzi yake mengi aliwashirikisha RAS Kunenge na RPC Mambosasa
Makonda anasema baada ya kustaafu ataendelea na maisha yake ya kawaida huko nyumbani kwake kigamboni na milango iko wazi kwa yoyote yule atakayehitaji ushauri wake.
Kadhalika amemtaka RC Kunenge na RAS mpya kuwa makini sana na watumishi kwani ofisi hiyo imejaa wapiga majungu
Makonda amemkabidhi Kunenge Ilani ya uchaguzi na amemtaka asimwangushe katika kuitekeleza.
Maendeleo hayana vyama!
Mwambieni asisahau kukabidhi na BIO ya Twitter inatuchanganya
Hii ndo inadhihirisha Dar ni Jiji linaloshikiria roho ya Nchi ofisi imekbidhiwa utadhani Laizer anatoa madini kwa serikali tukio live kabisa..
1.Mh Rais Magufuli
2.Mh Samia Suluhu
3.Mh Kassim Majaliwa
4.Rc wa Dar
Aende zake hana mpya piga chini ata akigombea udiwani wa kolomije.
Hips boy
na watu wengi wa Dar humchukia sababu huwa anawapa za uzo
Ajiandae kugombea serikali za mitaa,kumbe kajenga Kigamboni.
Akatunze hilo broiler lake.