Makonda akabidhi ofisi kwa RC Kunenge, adai ofisi hiyo ina majungu mengi

Makonda akabidhi ofisi kwa RC Kunenge, adai ofisi hiyo ina majungu mengi

Huyu aliyekuja aendeleze
KUPIMA TEZI DUME wanaume wa Dar
 
Tahadhari kwa mkuu wa mkoa ofisi ina wambea na majungu, kama hakuwa mmoja wa wambea na mpika majungu alishindwaje kuwaondoa wakati ana nyenzo zote? Yale majungu yaliyomuuwa aliyekuwa mkurugenzi wa jiji yalikuwa masufuria.
Aende, Kuna maisha baada ya ukuu wa mkoa alikuwa hajui hilo.
 
Waziri wa mambo ya ndani ajae huyo hivyo tusimalize maneno
Mmh mkuu ujio wa Balozi wa Marekani ndio mwisho wa Makonda katika teuzi kubwa za kitaifa.
Magufuli anahitaji Marekani kuliko anavyomwihitaji Makonda.
 
Serikali ndio itafute solution ya kupima na kutibu tezi dume bure na sio makonda.
 
RC mstaafu wa Dsm Paul Makonda amewataka watanzania wasisikitike mioyoni kwamba ataishije, wangeumia kama angekukuwa ameachwa na Yesu lakini maadam bado ana Yesu moyoni wasiwe na hofu.
Asema atafurahi akiona ile barabara waliyompa kardinali Pengo ataikuta imewekwa kibao cha Cardinal Pengo Road.

Ni jambo jema Paul Makonda amechagua fungu lililo bora, amen!

Maendeleo hayana vyama!
Hilo la Kua na Yesu ilitakiwa liwe moyoni mwake maana sie hatuwezi kujua kama anae Yesu ama laa
 
Makonda anastahili kupewa kazi nyingine ni mchapakazi.
Huyo ni mpiga domo. Siyo mchapa kazi. Projects zake zote alizopigia domo hakuna hata moja alofanikisha mpaka mwisho.

Hivi walimu wanapanda daladala bure ?Ombaomba wale kwenye foleni wamekwisha ?Wajane ?Wale watoto walikusanywa baba zao wawahudumie ?
 
stinking rubbish
Sikulaumu maana kila mtu huandika/kutoa mawazo kutokana na kile kilichotawala Kwenye kichwa chake.
Na ningeshangaa Sana kicha kilichojaa rubbish kisiandike Mambo ya rubbish "stinking rubbish"
 
Makonda wengi wanao mchukia Ni sawa wale watu wenye kuishi kwa chuki binafsi na watu wasiopenda kuona mtu kafanikiwa au anafanya mambo makubwa katika jamii.

Tobe honestly; Makonda Ni miongoni mwa vijana Wachache wanaoijielewa Tanzania ukiachilia mbali vijana kama kina bashe,Mimi, January makamba na wengine wachache,.
Yani unamchanganya Bashite na watu wanaojielewa.
Pathetic, mwambie alete vyeti, mbona hao wenzake wana vyeti
 
Tukio liko mubashara Clouds tv karibu.

Up dates;

Makonda anasema alikuwa hafanyi kazi kwa kukurupuka maamuzi yake mengi aliwashirikisha RAS Kunenge na RPC Mambosasa

Makonda anasema baada ya kustaafu ataendelea na maisha yake ya kawaida huko nyumbani kwake kigamboni na milango iko wazi kwa yoyote yule atakayehitaji ushauri wake.

Kadhalika amemtaka RC Kunenge na RAS mpya kuwa makini sana na watumishi kwani ofisi hiyo imejaa wapiga majungu

Makonda amemkabidhi Kunenge Ilani ya uchaguzi na amemtaka asimwangushe katika kuitekeleza.

Maendeleo hayana vyama!
Bora wenye majungu kuliko wanafiki
 
Maisha Ni Safari Ndefu Na Utumishi Wa Kuteuliwa Ni Kupokezana Vijiti.

Tutamkumbuka Mh.Makonda Kwa Kulipa Nidhamu Jiji La Dar...
1.Kutupunguzia Vibaka Na Wakabaji
2.Kutupunguzia Wazururaji
3.Kutupunguzia Wavuta Unga,Bange Na Shisha.
4.Kulihimiza Jiji Kuwa Safi.
5.Kuwa Karibu Na Kina mama Wenye Matatizo Ya Kudhulumiwa Haki Zao.
6.Kuwa Karibu Na VIJANA WENZAKE Na Kushiriki kuwainua kwa UKARIBU.
6.Ukaribu Na Wasanii Na Urolemodel Kwa Wengi.
7.Ukaribu Wake Na Wananchi na uharaka Wake Wa Kutoa Maamuzi.
8.Ukaribu Wake Kwa Wanamichezo.
9.Ukaribu Wake Kwa Viongozi Wa DINI Dar es salaam.
10.Ulezi Wake Wa Vikundi Vya Michezo Vya Vijana Wa Mitaani.
11.Ukaribu Wake na SHIRIKISHO La vyuo vikuu Dar.
12.Ukaribu Wake Na Tahliso
13.Utetezi Wake Wa Haraka Kwa Vijana WENZAKE Kupata MIKOPO kutoka Bodi Ya MIKOPO Ya Elimu ya Juu HESLB.
14.HAKIKA NI MENGI MAZURI.

Braavoo Komredi Makonda,Dar Itakukumbuka kwa Yako Mengi Mazuri.

Hasta La Victoria,aluta continua!!
Umesahau lile la Lisu
 
RC mstaafu wa Dsm Paul Makonda amewataka watanzania wasisikitike mioyoni kwamba ataishije, wangeumia kama angekukuwa ameachwa na Yesu lakini maadam bado ana Yesu moyoni wasiwe na hofu.

Asema atafurahi akiona ile barabara waliyompa kardinali Pengo ataikuta imewekwa kibao cha Cardinal Pengo Road.

Ni jambo jema Paul Makonda amechagua fungu lililo bora, amen!

Maendeleo hayana vyama!
Sentensi tata hii,,, anamzungumizia yesu yupi? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Ajiandae kugombea serikali za mitaa,kumbe kajenga Kigamboni.
Kanunua nyumba moja ya serikali pande za ma saki nadhani ilikuwa kwenye matengenezo makubwa utasikia vijana wa Lumumba tataambiwa wivu wa kike, takukuru tunawasubilia.
 
Makonda wengi wanao mchukia Ni sawa wale watu wenye kuishi kwa chuki binafsi na watu wasiopenda kuona mtu kafanikiwa au anafanya mambo makubwa katika jamii.

Tobe honestly; Makonda Ni miongoni mwa vijana Wachache wanaoijielewa Tanzania ukiachilia mbali vijana kama kina bashe,Mimi, January makamba na wengine wachache,.
Hivi kikomo cha ujana ni miaka mingapi? Maana huyo January ana 46
 
Tukio liko mubashara Clouds tv karibu.

Up dates;

Makonda anasema alikuwa hafanyi kazi kwa kukurupuka maamuzi yake mengi aliwashirikisha RAS Kunenge na RPC Mambosasa

Makonda anasema baada ya kustaafu ataendelea na maisha yake ya kawaida huko nyumbani kwake kigamboni na milango iko wazi kwa yoyote yule atakayehitaji ushauri wake.

Kadhalika amemtaka RC Kunenge na RAS mpya kuwa makini sana na watumishi kwani ofisi hiyo imejaa wapiga majungu

Makonda amemkabidhi Kunenge Ilani ya uchaguzi na amemtaka asimwangushe katika kuitekeleza.

Maendeleo hayana vyama!
Sasa Sam anamtahadharisha kuwa kuna majungu ili halo aye alikuwa ofisi hio hio? Huu si ndio unafiki n uongo?
 
"Asilimia 70 ya huu mkoa ni wambea, na wanapenda umbea kuliko chochote kile, msikubali wakawatenganisha wewe na RAS
wako.wanapiga majungu sana hawa msiwaone hivi, wanamjua mtu kuliko anavyojijua yeye". Aliyekuwa RC Dar es Salaam-Paul Makonda

NB: MAKONDA tuache wana DSM na mkoa wetu.
 
Back
Top Bottom