Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh mkuu ujio wa Balozi wa Marekani ndio mwisho wa Makonda katika teuzi kubwa za kitaifa.Waziri wa mambo ya ndani ajae huyo hivyo tusimalize maneno
Siku akipewa teuzi nawambia atatoa tamko zito sana hadi watu tutazima data mwezi mzimahahaha😂 na huwa anawapatia mno, siku wakimkamata
Eti anasema watu wa ofisini wana majungu,kwani ni uongo hana hips kumshinda Nandy na Jide?Aende zake hana mpya piga chini ata akigombea udiwani wa kolomije.
Hilo la Kua na Yesu ilitakiwa liwe moyoni mwake maana sie hatuwezi kujua kama anae Yesu ama laaRC mstaafu wa Dsm Paul Makonda amewataka watanzania wasisikitike mioyoni kwamba ataishije, wangeumia kama angekukuwa ameachwa na Yesu lakini maadam bado ana Yesu moyoni wasiwe na hofu.
Asema atafurahi akiona ile barabara waliyompa kardinali Pengo ataikuta imewekwa kibao cha Cardinal Pengo Road.
Ni jambo jema Paul Makonda amechagua fungu lililo bora, amen!
Maendeleo hayana vyama!
Huyo ni mpiga domo. Siyo mchapa kazi. Projects zake zote alizopigia domo hakuna hata moja alofanikisha mpaka mwisho.Makonda anastahili kupewa kazi nyingine ni mchapakazi.
Sikulaumu maana kila mtu huandika/kutoa mawazo kutokana na kile kilichotawala Kwenye kichwa chake.stinking rubbish
Yani unamchanganya Bashite na watu wanaojielewa.Makonda wengi wanao mchukia Ni sawa wale watu wenye kuishi kwa chuki binafsi na watu wasiopenda kuona mtu kafanikiwa au anafanya mambo makubwa katika jamii.
Tobe honestly; Makonda Ni miongoni mwa vijana Wachache wanaoijielewa Tanzania ukiachilia mbali vijana kama kina bashe,Mimi, January makamba na wengine wachache,.
Bora wenye majungu kuliko wanafikiTukio liko mubashara Clouds tv karibu.
Up dates;
Makonda anasema alikuwa hafanyi kazi kwa kukurupuka maamuzi yake mengi aliwashirikisha RAS Kunenge na RPC Mambosasa
Makonda anasema baada ya kustaafu ataendelea na maisha yake ya kawaida huko nyumbani kwake kigamboni na milango iko wazi kwa yoyote yule atakayehitaji ushauri wake.
Kadhalika amemtaka RC Kunenge na RAS mpya kuwa makini sana na watumishi kwani ofisi hiyo imejaa wapiga majungu
Makonda amemkabidhi Kunenge Ilani ya uchaguzi na amemtaka asimwangushe katika kuitekeleza.
Maendeleo hayana vyama!
Umesahau lile la LisuMaisha Ni Safari Ndefu Na Utumishi Wa Kuteuliwa Ni Kupokezana Vijiti.
Tutamkumbuka Mh.Makonda Kwa Kulipa Nidhamu Jiji La Dar...
1.Kutupunguzia Vibaka Na Wakabaji
2.Kutupunguzia Wazururaji
3.Kutupunguzia Wavuta Unga,Bange Na Shisha.
4.Kulihimiza Jiji Kuwa Safi.
5.Kuwa Karibu Na Kina mama Wenye Matatizo Ya Kudhulumiwa Haki Zao.
6.Kuwa Karibu Na VIJANA WENZAKE Na Kushiriki kuwainua kwa UKARIBU.
6.Ukaribu Na Wasanii Na Urolemodel Kwa Wengi.
7.Ukaribu Wake Na Wananchi na uharaka Wake Wa Kutoa Maamuzi.
8.Ukaribu Wake Kwa Wanamichezo.
9.Ukaribu Wake Kwa Viongozi Wa DINI Dar es salaam.
10.Ulezi Wake Wa Vikundi Vya Michezo Vya Vijana Wa Mitaani.
11.Ukaribu Wake na SHIRIKISHO La vyuo vikuu Dar.
12.Ukaribu Wake Na Tahliso
13.Utetezi Wake Wa Haraka Kwa Vijana WENZAKE Kupata MIKOPO kutoka Bodi Ya MIKOPO Ya Elimu ya Juu HESLB.
14.HAKIKA NI MENGI MAZURI.
Braavoo Komredi Makonda,Dar Itakukumbuka kwa Yako Mengi Mazuri.
Hasta La Victoria,aluta continua!!
Sentensi tata hii,,, anamzungumizia yesu yupi? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]RC mstaafu wa Dsm Paul Makonda amewataka watanzania wasisikitike mioyoni kwamba ataishije, wangeumia kama angekukuwa ameachwa na Yesu lakini maadam bado ana Yesu moyoni wasiwe na hofu.
Asema atafurahi akiona ile barabara waliyompa kardinali Pengo ataikuta imewekwa kibao cha Cardinal Pengo Road.
Ni jambo jema Paul Makonda amechagua fungu lililo bora, amen!
Maendeleo hayana vyama!
Kanunua nyumba moja ya serikali pande za ma saki nadhani ilikuwa kwenye matengenezo makubwa utasikia vijana wa Lumumba tataambiwa wivu wa kike, takukuru tunawasubilia.Ajiandae kugombea serikali za mitaa,kumbe kajenga Kigamboni.
Hivi kikomo cha ujana ni miaka mingapi? Maana huyo January ana 46Makonda wengi wanao mchukia Ni sawa wale watu wenye kuishi kwa chuki binafsi na watu wasiopenda kuona mtu kafanikiwa au anafanya mambo makubwa katika jamii.
Tobe honestly; Makonda Ni miongoni mwa vijana Wachache wanaoijielewa Tanzania ukiachilia mbali vijana kama kina bashe,Mimi, January makamba na wengine wachache,.
Sasa Sam anamtahadharisha kuwa kuna majungu ili halo aye alikuwa ofisi hio hio? Huu si ndio unafiki n uongo?Tukio liko mubashara Clouds tv karibu.
Up dates;
Makonda anasema alikuwa hafanyi kazi kwa kukurupuka maamuzi yake mengi aliwashirikisha RAS Kunenge na RPC Mambosasa
Makonda anasema baada ya kustaafu ataendelea na maisha yake ya kawaida huko nyumbani kwake kigamboni na milango iko wazi kwa yoyote yule atakayehitaji ushauri wake.
Kadhalika amemtaka RC Kunenge na RAS mpya kuwa makini sana na watumishi kwani ofisi hiyo imejaa wapiga majungu
Makonda amemkabidhi Kunenge Ilani ya uchaguzi na amemtaka asimwangushe katika kuitekeleza.
Maendeleo hayana vyama!