Makonda akabidhi ofisi kwa RC Kunenge, adai ofisi hiyo ina majungu mengi

Makonda akabidhi ofisi kwa RC Kunenge, adai ofisi hiyo ina majungu mengi

Aache umbea yeye mwenyewe ni mmbea ndio maana jiji limemshida akatamani kwenda kulima huko Gezaulole lahaulah wajumbe wakamwimbia rudi huko huko ulikotoka 🤣🤣
Wakuu Shalom naona mubashara hapa RC Matata Bwana Makonda akidai kua anafurahia sana kwenda kumtunza Mwanae na kwamba hajapoteza lolote na amedai70% ya wananchi wa Dar ni wambea uzi tayari ntazidi kuwajuza[emoji23]
 
Wakuu Shalom naona mubashara hapa RC Matata Bwana Makonda akidai kua anafurahia sana kwenda kumtunza Mwanae na kwamba hajapoteza lolote na amedai70% ya wananchi wa Dar ni wambea uzi tayari ntazidi kuwajuza[emoji23]
Jamani mbona anatufokea. Wambeya Tena. Inaonyeshwa TBC mubashara?
 
Tukio liko mubashara Clouds tv karibu.

Up dates;

Makonda anasema alikuwa hafanyi kazi kwa kukurupuka maamuzi yake mengi aliwashirikisha RAS Kunenge na RPC Mambosasa

Makonda anasema baada ya kustaafu ataendelea na maisha yake ya kawaida huko nyumbani kwake kigamboni na milango iko wazi kwa yoyote yule atakayehitaji ushauri wake.

Kadhalika amemtaka RC Kunenge na RAS mpya kuwa makini sana na watumishi kwani ofisi hiyo imejaa wapiga majungu

Makonda amemkabidhi Kunenge Ilani ya uchaguzi na amemtaka asimwangushe katika kuitekeleza.

Maendeleo hayana vyama!
Naaam, heri Asemaye Ukweli. Hongera Komredi Makonda, tuendelee Kulijenga Taifa! Braavooo.
 
Akatunze hilo broiler lake.
Makonda ndie alieandaa vyombo vya habari katika kukabidhiana huku, na ukitizama vizuri kilichotokea nikama huyu Mkuu wa Mkoa mpya hakukitaka na hata maneno Ya Mkuu wa Mkoa yameonesha kuwa hamkubali makonda pamoja kuwa kampongeza Lakini Kama wewe ni mdadisi utagundua kuwa Mkuu wa Mkoa mpya alikuwa anahitaji shughuli kuisha haraka ndio Maana hata issue ya Picha Mkuu wa Mkoa kakataa kupiga Picha kakataa kiujanja janja na makonda alihitaji Picha zipigwe Lakini Mkuu wa Mkoa katoa nje kisayansi kasema Siku ingne na maswali Kwa Mkuu wa Mkoa kakataa kawa anasema Siku nyingne kukihitaji swali mtu yoyote karibu inaonesha hali ya makonda iko tete kanyoka.
 
Ndo tatizo ss watz hatupendi kuambiwa za uso, sasa yy wakat mwingine anawapa za uso wakat mmwingineanajisafisha sasa saivi wanaongea mabaya tu yake.
Hahaha😂 na huwa anawapatia mno, siku wakimkamata.
 
Makonda ndie alieandaa vyombo vya habari katika kukabidhiana huku, na ukitizama vizur kilichotokea nikama huyu Mkuu wa Mkoa mpya hakukitaka na hata maneno Ya Mkuu wa Mkoa yameonesha kuwa hamkubali makonda pamoja kuwa kampongeza Lakini Kama wewe ni mdadisi utagundua kuwa Mkuu wa Mkoa mpya alikuwa anahitaji shughuli kuisha haraka ndio Maana hata issue ya Picha Mkuu wa Mkoa kakataa kupiga Picha kakataa kiujanja janja na makonda alihitaji Picha zipigwe Lakini Mkuu wa Mkoa katoa nje kisayansi kasema Siku ingne na maswali Kwa Mkuu wa Mkoa kakataa kawa anasema Siku nyingne kukihitaji swali mtu yoyote karibu inaonesha hali ya makonda iko tete kanyoka

Alitaka kushinda hapo akiulizwa maswali, ni jobless so akataka awaponze wenzake wapo kazini kuwapotezea muda. RC Kunenge yupo vizuri sana, kudoz kwake.
 
RC mstaafu wa Dsm Paul Makonda amewataka watanzania wasisikitike mioyoni kwamba ataishije, wangeumia kama angekukuwa ameachwa na Yesu lakini maadam bado ana Yesu moyoni wasiwe na hofu.

Asema atafurahi akiona ile barabara waliyompa kardinali Pengo ataikuta imewekwa kibao cha Cardinal Pengo Road.

Ni jambo jema Paul Makonda amechagua fungu lililo bora, amen!

Maendeleo hayana vyama!
 
RC mstaafu wa Dsm Paul Makonda amewataka watanzania wasisikitike mioyoni kwamba ataishije, wangeumia kama angekukuwa ameachwa na Yesu lakini maadam bado ana Yesu moyoni wasiwe na hofu.

Asema atafurahi akiona ile barabara waliyompa kardinali Pengo ataikuta imewekwa kibao cha Cardinal Pengo Road.

Ni jambo jema Paul Makonda amechagua fungu lililo bora, amen!

Maendeleo hayana vyama!
Yesu leo ndio ana mkumbuka Yesu? Kipindi akiondoa roho za watu, na kuchongea watu kwenye kazi zao hakujua pia Mungu huwa patilizawasio mcha?
 
[emoji16][emoji16][emoji16] fala we
Alitaka kushinda hapo akiulizwa maswali, ni jobless so akataka awaponze wenzake wapo kazini kuwapotezea muda. RC Kunenge yupo vizuri sana, kudoz kwake.
 
Huyo Yesu ambaye hajamuacha ni Yesu yupi?

huyo dogo anataka kuanzisha ligi naona
RC mstaafu wa Dsm Paul Makonda amewataka watanzania wasisikitike mioyoni kwamba ataishije, wangeumia kama angekukuwa ameachwa na Yesu lakini maadam bado ana Yesu moyoni wasiwe na hofu.

Asema atafurahi akiona ile barabara waliyompa kardinali Pengo ataikuta imewekwa kibao cha Cardinal Pengo Road.

Ni jambo jema Paul Makonda amechagua fungu lililo bora, amen!

Maendeleo hayana vyama!
 
Back
Top Bottom