Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni nchi gani?Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda, amevunja mkutano kufuatia madai ya Injinia mmoja wilayani Monduli kuidai wilaya hiyo jambo lililofanya aumwe moyo na kufanyiwa oparesheni mara kadhaa.
View attachment 3001631
TanzaniaHii ni nchi gani?
Classmate wako amedanjaEbu ngoja kwanza mkuu....
Unasema kwamba....🤔
Nilichoelewa hapo ni kuwa baraza la madiwani ndiyo walipitisha makubaliano wa kujenga ila malipo wananchi wachangie, ila inaonekana wananchi waligoma na Halmashauri ikwa haijatenga bajeti ya hiyo kazi. Swali je nani alihusika kumruhusu kutekeleza tenda? Tatizo watu wetu uongo mwingi sanaMkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda, amevunja mkutano kufuatia madai ya Injinia mmoja wilayani Monduli kuidai wilaya hiyo jambo lililofanya aumwe moyo na kufanyiwa oparesheni mara kadhaa.
View attachment 3001631
Apia...🤥Classmate wako amedanja
😂Ebu ngoja kwanza mkuu....
Unasema kwamba....🤔
Inasikitisha sanaNilichoelewa hapo ni kuwa baraza la madiwani ndiyo walipitisha makubaliano wa kujenga ila malipo wananchi wachangie, ila inaonekana wananchi waligoma na Halmashauri ikwa haijatenga bajeti ya hiyo kazi. Swali je nani alihusika kumruhusu kutekeleza tenda? Tatizo watu wetu uongo mwingi sana
Hakiii yaaa komweeeApia...🤥
Acha chuki mkuuuzuri makonda anachoweza ni intimidations tu, ila workdone is equal to zero,BASHITE FAFAFAA
Humu JF kuna Majini,si kwa majibu haya!![emoji23][emoji23] Na mshaangao juu!!Apia...[emoji1781]
[emoji23][emoji23][emoji23]Hakiii yaaa komweee