Makonda akasirika na kuvunja mkutano

Makonda akasirika na kuvunja mkutano

Aliyetendewa ndo anaenda kufungua mashtaka. We ukiibiwa unasubiri Jamhuri ije fungua mashtaka? Huo ni uongo.
Acha kuongea uongo. Ni DPP tu ndio anaruhusiwa kufungua mashtaka. Hiyo process nyingine ni ndefu na bado DPP ana mamlaka ya kuifuta.
 
Acha kuongea uongo. Ni DPP tu ndio anaruhusiwa kufungua mashtaka. Hiyo process nyingine ni ndefu na bado DPP ana mamlaka ya kuifuta.
wewe ndo muongo unajichanganya. yaani wewe upigwe au uibiwe kisha usuburi DPP aje akufungulie kesi??????????? wwewe huna akili. kama nihivyo kesi zingekuwa chache sana maana juzi tu hapa kuna jamaa yangu kapiga mtu aliyepigwa kaenda fungua kesi hakumsubiri DPP aje
 
wewe ndo muongo unajichanganya. yaani wewe upigwe au uibiwe kisha usuburi DPP aje akufungulie kesi??????????? wwewe huna akili. kama nihivyo kesi zingekuwa chache sana maana juzi tu hapa kuna jamaa yangu kapiga mtu aliyepigwa kaenda fungua kesi hakumsubiri DPP aje
Hujui kitu kwenye duru ya Katiba, Sheria na mashtaka kaa kimya. Unambishia econonist ambaye anakupa ukweli
 
Aliyetendewa ndo anaenda kufungua mashtaka. We ukiibiwa unasubiri Jamhuri ije fungua mashtaka? Huo ni uongo.
Pole mburura, ila waweza jifunza toka JF kujua tofauti ya civil case na criminal case preocedures
 
Hujui kitu kwenye duru ya Katiba, Sheria na mashtaka kaa kimya. Unambishia econonist ambaye anakupa ukweli
Hujui kitu kwenye duru za sheria. Unamkubalia mwanaume kila anachotaka. Lazima uumie. Mi nakupa ukweli dogo kuwa makini utaharibikiwa
 
Pole mburura, ila waweza jifunza toka JF kujua tofauti ya civil case na criminal case preocedures
Division 5 aka vilaza mna shida sana. So umeshika hizo terms ukaona tayari you know? Basi subirieni mpaka DDP akifungua kesi. Achen makelele. Siyo mtu mkimshindwa mnamtafutia sababu.
 
Back
Top Bottom