Makonda akasirika na kuvunja mkutano

Makonda akasirika na kuvunja mkutano

Nilichoelewa hapo ni kuwa baraza la madiwani ndiyo walipitisha makubaliano wa kujenga ila malipo wananchi wachangie, ila inaonekana wananchi waligoma na Halmashauri ikwa haijatenga bajeti ya hiyo kazi. Swali je nani alihusika kumruhusu kutekeleza tenda? Tatizo watu wetu uongo mwingi sana
Kwahiyo sababu ya Makonda kuvunjwa mkutano ni Nini?
 
Hii ndiyo inalingana na hoja iliyopo?

Mbona haya mambo yanamiaka mmne sasa? Mbona huendi mahakani mkuu

Hivi hujui kwa katiba yetu hii ya hovyo, hairuhusu mtu yeyote kufungua kesi ya jinai dhidi ya yeyote, isipokuwa DPP? Kwa katiba yetu hii ilivyo, hata kama jitu likaja hapo kwako likamwua mwanao huku ukiwepo, na hilo jambazi ukalitambua kwa jina na sura, bado DPP asipotaka kulifungulia kesi, wewe huna cha kufanya, zaidi ya kupiga kelele tu!! Ndiyo maana hili shetani, chini ya mwavuli wa "Wasiojulikana", lilisimamia mauaji mengi likiwa na uhakika wa kutoshtakiwa kwa sababu ushetani aliokuwa anaoufanya ulikuwa na baraka za mkuu wa Serikali.
 
Serikali inaongozwa kwa sheria, kanuni na taratibu. Huyo injinia kaambiwa alete nyaraka lakini hana. Atalipwa kwa ushahidi gani. Wakati anajenga nani alimuambia ajenge. Mkandarasi kabla ya kuanza ujenzi unatakiwa uwe na nyaraka zote zinazohusu ujenzi huo Yeye hana. Mkurugenzi atamlipa kwa ushahidi gani. Mkurugenzi yuko sawa kwa asilimia 100.
KWANI HAKUJENGA?
 
Hivi hujui kwa katiba yetu hii ya hovyo, hairuhusu mtu yeyote kufungua kesi ya jinai dhidi ya yeyote, isipokuwa DPP? Kwa katiba yetu hii ilivyo, hata kama jitu likaja hapo kwako likamwua mwanao huku ukiwepo, na hilo jambazi ukalitambua kwa jina na sura, bado DPP asipotaka kulifungulia kesi, wewe huna cha kufanya, zaidi ya kupiga kelele tu!! Ndiyo maana hili shetani, chini ya mwavuli wa "Wasiojulikana", lilisimamia mauaji mengi likiwa na uhakika wa kutoshtakiwa kwa sababu ushetani aliokuwa anaoufanya ulikuwa na baraka za mkuu wa Serikali.
Rubbish behind keyboards
 
Hii ndiyo inalingana na hoja iliyopo?

Mbona haya mambo yanamiaka minne sasa? Mbona huendi mahakani mkuu
Unajuwa suala la jinai ni nani mwenye jukumu la kwenda Mahakamani? Usijibu tu kishabiki kwa kuwa wewe ni mfuasi wa Makonda.

Jamhuri ndiyo yenye jukumu la kufungua mashtaka ya jinai
 
Ni suala la muda tu. Huyu mhalifu mwenye bahati lazima atakuja kabiliana na HAKIMU baada ya utawala wa Samia kwa tuhuma hizi:-
1. Kuuawa kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS, GBP, Yusuf Manji
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji


USHAHID? AU NI MAAMUZI TU SIKU HIZI UNAAMUA KUMCHUKIA MTU NA KUMSINGIZIA? HAYO YOTE KAYAFANYA MBOWE.
 
Unajuwa suala la jinai ni nani mwenye jukumu la kwenda Mahakamani? Usijibu tu kishabiki kwa kuwa wewe ni mfuasi wa Makonda.

Jamhuri ndiyo yenye jukumu la kufungua mashtaka ya jinai

Aliyetendewa ndo anaenda kufungua mashtaka. We ukiibiwa unasubiri Jamhuri ije fungua mashtaka? Huo ni uongo.
 
Back
Top Bottom