Makonda alikuwa sahihi sana kwao

Makonda alikuwa sahihi sana kwao

Mto Songwe

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2023
Posts
6,683
Reaction score
14,060
Kwa aina ya uongozi wa CCM hasa kipindi hiki cha awamu ya sita Makonda alikuwa sahihi sana katika nafasi ya uenezi.

Bila shaka aliitendea nafasi hili hata wapinzani naamini wanafahamu kabisa.

Sijajua kwa sababu gani kaondoshwa na yupi ataletwa kuzimba pengo.

Aliifufua CCM wenda kuliko hata mwenyekiti wake wa chama hasa katika kundi la Watanzania wengi wajinga, Makonda ilikuwa rahisi zaidi kuwachota kitu ambacho ni faida kwa CCM.

Kuelekea uchaguzi watahitaji mwenezi wa kuendana na kasi ijayo.

Yote kwa yote mambo yao CCM nawaachia wenyewe.
 
Kwa aina ya uongozi wa CCM hasa kipindi hiki cha awamu ya sita Makonda alikuwa sahihi sana katika nafasi ya uenezi.

Bila shaka aliitendea nafasi hili hata wapinzani naamini wanafahamu kabisa.

Sijajua kwa sababu gani kaondoshwa na yupi ataletwa kuzimba pengo.

Aliifufua CCM wenda kuliko hata mwenyekiti wake wa chama hasa katika kundi la Watanzania wengi wajinga, Makonda ilikuwa rahisi zaidi kuwachota kitu ambacho ni faida kwa CCM.

Kuelekea uchaguzi watahitaji mwenezi wa kuendana na kasi ijayo.

Yote kwa yote mambo yao CCM nawaachia wenyewe.
Nape atafaa
 
Kwa aina ya uongozi wa CCM hasa kipindi hiki cha awamu ya sita Makonda alikuwa sahihi sana katika nafasi ya uenezi.

Bila shaka aliitendea nafasi hili hata wapinzani naamini wanafahamu kabisa.

Sijajua kwa sababu gani kaondoshwa na yupi ataletwa kuzimba pengo.

Aliifufua CCM wenda kuliko hata mwenyekiti wake wa chama hasa katika kundi la Watanzania wengi wajinga, Makonda ilikuwa rahisi zaidi kuwachota kitu ambacho ni faida kwa CCM.

Kuelekea uchaguzi watahitaji mwenezi wa kuendana na kasi ijayo.

Yote kwa yote mambo yao CCM nawaachia wenyewe.
MRUDISHE KTK HIYO NAFASI MKUU KAMA ANAFAA Kumbuka waliompa UENEZI waliamini atafanya vizuri kama unavyodhani wewe
Uchunguzi wa chini kwa chini umebaini hastahiri kuwa ktk nafasi hiyo kwani ni Mropokaji na Ana kauli za kukera viongozi wenzake
Kumbuka KM Nchimbi alionya juu ya kuwadharirisha watendaji wa Serikali ktk ziara za makonda.
 
Yaani GSM hapa na MoDewji hapa, halafu Makonda abaki.....aaaahh wapi brother, mmoja alimteka, mwingine akamdhulumu nyumba
 
Kwa aina ya uongozi wa CCM hasa kipindi hiki cha awamu ya sita Makonda alikuwa sahihi sana katika nafasi ya uenezi.

Bila shaka aliitendea nafasi hili hata wapinzani naamini wanafahamu kabisa.

Sijajua kwa sababu gani kaondoshwa na yupi ataletwa kuzimba pengo.

Aliifufua CCM wenda kuliko hata mwenyekiti wake wa chama hasa katika kundi la Watanzania wengi wajinga, Makonda ilikuwa rahisi zaidi kuwachota kitu ambacho ni faida kwa CCM.

Kuelekea uchaguzi watahitaji mwenezi wa kuendana na kasi ijayo.

Yote kwa yote mambo yao CCM nawaachia wenyewe.
Makonda ni populist. Aliendekeza show binafsi kwenye majukumu ya kitaifa!
 
Kwa aina ya uongozi wa CCM hasa kipindi hiki cha awamu ya sita Makonda alikuwa sahihi sana katika nafasi ya uenezi.

Bila shaka aliitendea nafasi hili hata wapinzani naamini wanafahamu kabisa.

Sijajua kwa sababu gani kaondoshwa na yupi ataletwa kuzimba pengo.

Aliifufua CCM wenda kuliko hata mwenyekiti wake wa chama hasa katika kundi la Watanzania wengi wajinga, Makonda ilikuwa rahisi zaidi kuwachota kitu ambacho ni faida kwa CCM.

Kuelekea uchaguzi watahitaji mwenezi wa kuendana na kasi ijayo.

Yote kwa yote mambo yao CCM nawaachia wenyewe.
CCM ina watu wa kutosha....

na huu ndio uzuri wa kujenga taasisi makini juu ya misingi madhubuti ya kitaasisi..

ukijenga taaasisi juu ya msingi wa mtu fulani moja au wawili,

kwanza, utakua na hofu ya kufanya mabadiliko na hutakua ukijiamini,

Lakini pili, unaweza kufanya mabadiliko na ukawa unatetemeka wewe mwenyewe na taasisi yako..

Tazama kinachotokea hivi sasa,
mabadiliko wanafanya ccm, wanaotetemeka kwa hofu, kuweweseka na kubabaika ni wasio wana ccm....
 
Yote kwa yote mambo yao CCM nawaachia wenyewe.
Ni jambo jema umefanya.

20240319_163514.jpg


KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Back
Top Bottom