Makonda alipata wapi Hela za kununua ng'ombe 400 ambazo nyama yake iligawiwa bure kwa Walaji?

Makonda alipata wapi Hela za kununua ng'ombe 400 ambazo nyama yake iligawiwa bure kwa Walaji?

Nyama tulinunua 5,000 kwa nusu kg!
Hakuna nyama ya Bure Arusha,iliyotolewa na makonda
Waambie waache Ujinga.Kwanza watu wa Arusha kula nyama choma ni Desturi yao na wala hawahitaji Msukumu kutoka Kolomije Awape nyama za Bure.Na Pia nyama zao hazikuwa na Viwango tunavyohitaji So wengi tuliendelea kula nyama zetu ambazo hazina viungo,zina moshi wa mkaa,zinaiva taratibu na zinakuwa na ladha fulani ya mchanganyiko wa damu na nyama.
 
Nafahamu kwa Mada za Nyama choma ya Makonda kule Arusha ziko nyingi sana humu JF, % kubwa za mada hizo zikiwa ni za kusifia, hili la kusifia chakula cha Bure si geni kwa Wabongo kutokana na dhiki kali inayowakabili, Watani zangu Wangoni wana msemo mmoja kuhusu njaa, nanukuu, "NJALA LIKOKO LIKOMA NA MUHABHI" Mwisho wa kunukuu, Kwa tafsiri ya kiswahili wanamaanisha kwamba Njaa ni kama Fisi inaua hata Mchawi, Kama nakosea Ndumbaro au Jenista Mhagama wanaweza kunisahihisha.

Kwa bei ya Vijijini kabisa ng'ombe mmoja mkubwa wa kuchinja hawezi kuwa chini ya sh laki 7 za kitanzania, sasa kwa hesabu za shule ya msingi au Kayumba.com ng'ombe 400 wanagharimu mil 280, Hela hizi si ndogo na kwa kadri ya vipato vya halali vya Wakuu wa Mikoa wa Tanzania, haiwezekani Mkuu wa Mkoa kulisha watu ambao kwao wameacha ugali na dagaa kwa gharama hii, hana hela hizo.

Ikumbukwe kwamba hiyo mil 280 ni gharama ya ng'ombe tu, haihusu Wachinjaji, Wachomaji, Majiko, viungo na gharama zingine, Makonda ametoa wapi hela za kugharamia mchakato huu wa kugawa bure mitaani?

Mnaweza kushangaa kwamba labda inakuwaje tunahoji masuala ya chakula tu, na mkaona kama ni kitu kidogo, ni hivi, tukiacha kuhoji zilikotoka hela hizi tutakuwa tunakosea sana, Mkuu wa Mkoa hana hela hizo na wala hakuna mtu wa kumchangia vitita hivyo kwa hiyari, Zingatia neno hiyari.

Je Makonda alipata wapi mamilioni ya hela ya kuyatumbua kirahisi namna hii tena bila sababu yoyote ya msingi, Kama ni ziara Rais anatembea Nchi nzima, Ni wapi kwingine walifanya hivyo, huko hakuna Wakuu wa Mikoa?

Naomba Kuwasilisha.
Mkuu CCM NI MACHIZI HIZO PESA ZIMECHOTWA HALMASHAURI YA ARUSHA
 
Nafahamu kwa Mada za Nyama choma ya Makonda kule Arusha ziko nyingi sana humu JF, % kubwa za mada hizo zikiwa ni za kusifia, hili la kusifia chakula cha Bure si geni kwa Wabongo kutokana na dhiki kali inayowakabili, Watani zangu Wangoni wana msemo mmoja kuhusu njaa, nanukuu, "NJALA LIKOKO LIKOMA NA MUHABHI" Mwisho wa kunukuu, Kwa tafsiri ya kiswahili wanamaanisha kwamba Njaa ni kama Fisi inaua hata Mchawi, Kama nakosea Ndumbaro au Jenista Mhagama wanaweza kunisahihisha.

Kwa bei ya Vijijini kabisa ng'ombe mmoja mkubwa wa kuchinja hawezi kuwa chini ya sh laki 7 za kitanzania, sasa kwa hesabu za shule ya msingi au Kayumba.com ng'ombe 400 wanagharimu mil 280, Hela hizi si ndogo na kwa kadri ya vipato vya halali vya Wakuu wa Mikoa wa Tanzania, haiwezekani Mkuu wa Mkoa kulisha watu ambao kwao wameacha ugali na dagaa kwa gharama hii, hana hela hizo.

Ikumbukwe kwamba hiyo mil 280 ni gharama ya ng'ombe tu, haihusu Wachinjaji, Wachomaji, Majiko, viungo na gharama zingine, Makonda ametoa wapi hela za kugharamia mchakato huu wa kugawa bure mitaani?

Mnaweza kushangaa kwamba labda inakuwaje tunahoji masuala ya chakula tu, na mkaona kama ni kitu kidogo, ni hivi, tukiacha kuhoji zilikotoka hela hizi tutakuwa tunakosea sana, Mkuu wa Mkoa hana hela hizo na wala hakuna mtu wa kumchangia vitita hivyo kwa hiyari, Zingatia neno hiyari.

Je Makonda alipata wapi mamilioni ya hela ya kuyatumbua kirahisi namna hii tena bila sababu yoyote ya msingi, Kama ni ziara Rais anatembea Nchi nzima, Ni wapi kwingine walifanya hivyo, huko hakuna Wakuu wa Mikoa?

Naomba Kuwasilisha.
Hawa ndio waliiba zile hela Gambo alisema.

Viongozi majizi na wahuni wasio na maana kama Hawa sijui wanafanya nini kwenye madaraka.
 
Nafahamu kwa Mada za Nyama choma ya Makonda kule Arusha ziko nyingi sana humu JF, % kubwa za mada hizo zikiwa ni za kusifia, hili la kusifia chakula cha Bure si geni kwa Wabongo kutokana na dhiki kali inayowakabili, Watani zangu Wangoni wana msemo mmoja kuhusu njaa, nanukuu, "NJALA LIKOKO LIKOMA NA MUHABHI" Mwisho wa kunukuu, Kwa tafsiri ya kiswahili wanamaanisha kwamba Njaa ni kama Fisi inaua hata Mchawi, Kama nakosea Ndumbaro au Jenista Mhagama wanaweza kunisahihisha.

Kwa bei ya Vijijini kabisa ng'ombe mmoja mkubwa wa kuchinja hawezi kuwa chini ya sh laki 7 za kitanzania, sasa kwa hesabu za shule ya msingi au Kayumba.com ng'ombe 400 wanagharimu mil 280, Hela hizi si ndogo na kwa kadri ya vipato vya halali vya Wakuu wa Mikoa wa Tanzania, haiwezekani Mkuu wa Mkoa kulisha watu ambao kwao wameacha ugali na dagaa kwa gharama hii, hana hela hizo.

Ikumbukwe kwamba hiyo mil 280 ni gharama ya ng'ombe tu, haihusu Wachinjaji, Wachomaji, Majiko, viungo na gharama zingine, Makonda ametoa wapi hela za kugharamia mchakato huu wa kugawa bure mitaani?

Mnaweza kushangaa kwamba labda inakuwaje tunahoji masuala ya chakula tu, na mkaona kama ni kitu kidogo, ni hivi, tukiacha kuhoji zilikotoka hela hizi tutakuwa tunakosea sana, Mkuu wa Mkoa hana hela hizo na wala hakuna mtu wa kumchangia vitita hivyo kwa hiyari, Zingatia neno hiyari.

Je Makonda alipata wapi mamilioni ya hela ya kuyatumbua kirahisi namna hii tena bila sababu yoyote ya msingi, Kama ni ziara Rais anatembea Nchi nzima, Ni wapi kwingine walifanya hivyo, huko hakuna Wakuu wa Mikoa?

Naomba Kuwasilisha.
Huyu ndo mmpe uenyekiti Chadema, hiyo tone tone na ombaomba zitaisha kabisa, siyo kuja kulialia humu eti katoa wapi hela.
 
Back
Top Bottom