Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahhaahhaha daaaah mwamba akatokomea na manawi kweli sasa alienda kunawa au kunywa mbele ya safari kweli ilikua shida.... Anastasia21 bora tulivyotulia zetu Golden Rose mama tungeenda kuaibika tuAlafu
Kabisa hubby ilikua a fun momentHahahhaahhaha daaaah mwamba akatokomea na manawi kweli sasa alienda kunawa au kunywa mbele ya safari kweli ilikua shida.... Anastasia21 bora tulivyotulia zetu Golden Rose mama tungeenda kuaibika tu
HehehehhehehehehZe baptist yuko wapi?yeye alikuwa mchomaji
tumekuwa mafala sana nowdays... hata maji yasipotoka tunalia lia eti Mheshimiwa Makonda tusaidieArusha mmekuwa wajingawajinga sana baada ya bashite kuwa mkuu wa mkoa hapo
Watakuwa wamekula manyumbu ya Tanapa hao.Mkuu,
ofisi ya mkuu wa mkoa haina bajeti ya kuwezesha manunuzi ya ng’ombe wote hao, kinachofanyika ni kuwaconsult wadau wake wa maendeleo, ambao kwa mkoa wa Arusha kuna kampuni za utalii na wafanyabiashara wakubwa wa madini.
Anaandaa tu proposal yake anaiwasilisha kwao.
Anapata fedha nyingi mpaka kuvuka lengo.