Makonda alipata wapi Hela za kununua ng'ombe 400 ambazo nyama yake iligawiwa bure kwa Walaji?

Makonda alipata wapi Hela za kununua ng'ombe 400 ambazo nyama yake iligawiwa bure kwa Walaji?

Nafahamu kwa Mada za Nyama choma ya Makonda kule Arusha ziko nyingi sana humu JF, % kubwa za mada hizo zikiwa ni za kusifia, hili la kusifia chakula cha Bure si geni kwa Wabongo kutokana na dhiki kali inayowakabili, Watani zangu Wangoni wana msemo mmoja kuhusu njaa, nanukuu, "NJALA LIKOKO LIKOMA NA MUHABHI" Mwisho wa kunukuu, Kwa tafsiri ya kiswahili wanamaanisha kwamba Njaa ni kama Fisi inaua hata Mchawi, Kama nakosea Ndumbaro au Jenista Mhagama wanaweza kunisahihisha.

Kwa bei ya Vijijini kabisa ng'ombe mmoja mkubwa wa kuchinja hawezi kuwa chini ya sh laki 7 za kitanzania, sasa kwa hesabu za shule ya msingi au Kayumba.com ng'ombe 400 wanagharimu mil 280, Hela hizi si ndogo na kwa kadri ya vipato vya halali vya Wakuu wa Mikoa wa Tanzania, haiwezekani Mkuu wa Mkoa kulisha watu ambao kwao wameacha ugali na dagaa kwa gharama hii, hana hela hizo.

Ikumbukwe kwamba hiyo mil 280 ni gharama ya ng'ombe tu, haihusu Wachinjaji, Wachomaji, Majiko, viungo na gharama zingine, Makonda ametoa wapi hela za kugharamia mchakato huu wa kugawa bure mitaani?

Mnaweza kushangaa kwamba labda inakuwaje tunahoji masuala ya chakula tu, na mkaona kama ni kitu kidogo, ni hivi, tukiacha kuhoji zilikotoka hela hizi tutakuwa tunakosea sana, Mkuu wa Mkoa hana hela hizo na wala hakuna mtu wa kumchangia vitita hivyo kwa hiyari, Zingatia neno hiyari.

Je Makonda alipata wapi mamilioni ya hela ya kuyatumbua kirahisi namna hii tena bila sababu yoyote ya msingi, Kama ni ziara Rais anatembea Nchi nzima, Ni wapi kwingine walifanya hivyo, huko hakuna Wakuu wa Mikoa?

Naomba Kuwasilisha.
Aliagiza
Halmashauri ziliagizwa kuchangia kila Halmashauri ilichangia ng'ombe 1 , kondoo 9, mbuzi 8
Bado mashirika kama NCAA , TANAPA pia yaliagizwa , NGOs na CBOs pia
 
Nafahamu kwa Mada za Nyama choma ya Makonda kule Arusha ziko nyingi sana humu JF, % kubwa za mada hizo zikiwa ni za kusifia, hili la kusifia chakula cha Bure si geni kwa Wabongo kutokana na dhiki kali inayowakabili, Watani zangu Wangoni wana msemo mmoja kuhusu njaa, nanukuu, "NJALA LIKOKO LIKOMA NA MUHABHI" Mwisho wa kunukuu, Kwa tafsiri ya kiswahili wanamaanisha kwamba Njaa ni kama Fisi inaua hata Mchawi, Kama nakosea Ndumbaro au Jenista Mhagama wanaweza kunisahihisha.

Kwa bei ya Vijijini kabisa ng'ombe mmoja mkubwa wa kuchinja hawezi kuwa chini ya sh laki 7 za kitanzania, sasa kwa hesabu za shule ya msingi au Kayumba.com ng'ombe 400 wanagharimu mil 280, Hela hizi si ndogo na kwa kadri ya vipato vya halali vya Wakuu wa Mikoa wa Tanzania, haiwezekani Mkuu wa Mkoa kulisha watu ambao kwao wameacha ugali na dagaa kwa gharama hii, hana hela hizo.

Ikumbukwe kwamba hiyo mil 280 ni gharama ya ng'ombe tu, haihusu Wachinjaji, Wachomaji, Majiko, viungo na gharama zingine, Makonda ametoa wapi hela za kugharamia mchakato huu wa kugawa bure mitaani?

Mnaweza kushangaa kwamba labda inakuwaje tunahoji masuala ya chakula tu, na mkaona kama ni kitu kidogo, ni hivi, tukiacha kuhoji zilikotoka hela hizi tutakuwa tunakosea sana, Mkuu wa Mkoa hana hela hizo na wala hakuna mtu wa kumchangia vitita hivyo kwa hiyari, Zingatia neno hiyari.

Je Makonda alipata wapi mamilioni ya hela ya kuyatumbua kirahisi namna hii tena bila sababu yoyote ya msingi, Kama ni ziara Rais anatembea Nchi nzima, Ni wapi kwingine walifanya hivyo, huko hakuna Wakuu wa Mikoa?

Naomba Kuwasilisha.
Kodi unayolipa ni nyingi sana na sidhani kama lipo kosa ikitumika katika tafrija maalum zinazoandaliwa na mkuu wa mkoa.
 
Nafahamu kwa Mada za Nyama choma ya Makonda kule Arusha ziko nyingi sana humu JF, % kubwa za mada hizo zikiwa ni za kusifia, hili la kusifia chakula cha Bure si geni kwa Wabongo kutokana na dhiki kali inayowakabili, Watani zangu Wangoni wana msemo mmoja kuhusu njaa, nanukuu, "NJALA LIKOKO LIKOMA NA MUHABHI" Mwisho wa kunukuu, Kwa tafsiri ya kiswahili wanamaanisha kwamba Njaa ni kama Fisi inaua hata Mchawi, Kama nakosea Ndumbaro au Jenista Mhagama wanaweza kunisahihisha.

Kwa bei ya Vijijini kabisa ng'ombe mmoja mkubwa wa kuchinja hawezi kuwa chini ya sh laki 7 za kitanzania, sasa kwa hesabu za shule ya msingi au Kayumba.com ng'ombe 400 wanagharimu mil 280, Hela hizi si ndogo na kwa kadri ya vipato vya halali vya Wakuu wa Mikoa wa Tanzania, haiwezekani Mkuu wa Mkoa kulisha watu ambao kwao wameacha ugali na dagaa kwa gharama hii, hana hela hizo.

Ikumbukwe kwamba hiyo mil 280 ni gharama ya ng'ombe tu, haihusu Wachinjaji, Wachomaji, Majiko, viungo na gharama zingine, Makonda ametoa wapi hela za kugharamia mchakato huu wa kugawa bure mitaani?

Mnaweza kushangaa kwamba labda inakuwaje tunahoji masuala ya chakula tu, na mkaona kama ni kitu kidogo, ni hivi, tukiacha kuhoji zilikotoka hela hizi tutakuwa tunakosea sana, Mkuu wa Mkoa hana hela hizo na wala hakuna mtu wa kumchangia vitita hivyo kwa hiyari, Zingatia neno hiyari.

Je Makonda alipata wapi mamilioni ya hela ya kuyatumbua kirahisi namna hii tena bila sababu yoyote ya msingi, Kama ni ziara Rais anatembea Nchi nzima, Ni wapi kwingine walifanya hivyo, huko hakuna Wakuu wa Mikoa?

Naomba Kuwasilisha.
Ulikuwepo? Ulikula?

Ikiwa ulishiba achana na maswali. Tafuta hela usiulize wenzio wanapata wapi, uliza wanakozitoa uelekezwe ufuate
 
Nafahamu kwa Mada za Nyama choma ya Makonda kule Arusha ziko nyingi sana humu JF, % kubwa za mada hizo zikiwa ni za kusifia, hili la kusifia chakula cha Bure si geni kwa Wabongo kutokana na dhiki kali inayowakabili, Watani zangu Wangoni wana msemo mmoja kuhusu njaa, nanukuu, "NJALA LIKOKO LIKOMA NA MUHABHI" Mwisho wa kunukuu, Kwa tafsiri ya kiswahili wanamaanisha kwamba Njaa ni kama Fisi inaua hata Mchawi, Kama nakosea Ndumbaro au Jenista Mhagama wanaweza kunisahihisha.

Kwa bei ya Vijijini kabisa ng'ombe mmoja mkubwa wa kuchinja hawezi kuwa chini ya sh laki 7 za kitanzania, sasa kwa hesabu za shule ya msingi au Kayumba.com ng'ombe 400 wanagharimu mil 280, Hela hizi si ndogo na kwa kadri ya vipato vya halali vya Wakuu wa Mikoa wa Tanzania, haiwezekani Mkuu wa Mkoa kulisha watu ambao kwao wameacha ugali na dagaa kwa gharama hii, hana hela hizo.

Ikumbukwe kwamba hiyo mil 280 ni gharama ya ng'ombe tu, haihusu Wachinjaji, Wachomaji, Majiko, viungo na gharama zingine, Makonda ametoa wapi hela za kugharamia mchakato huu wa kugawa bure mitaani?

Mnaweza kushangaa kwamba labda inakuwaje tunahoji masuala ya chakula tu, na mkaona kama ni kitu kidogo, ni hivi, tukiacha kuhoji zilikotoka hela hizi tutakuwa tunakosea sana, Mkuu wa Mkoa hana hela hizo na wala hakuna mtu wa kumchangia vitita hivyo kwa hiyari, Zingatia neno hiyari.

Je Makonda alipata wapi mamilioni ya hela ya kuyatumbua kirahisi namna hii tena bila sababu yoyote ya msingi, Kama ni ziara Rais anatembea Nchi nzima, Ni wapi kwingine walifanya hivyo, huko hakuna Wakuu wa Mikoa?

Naomba Kuwasilisha.
Kalia kuuliza alipata wapi hela wakati watu wanatumia hela
 
Nafahamu kwa Mada za Nyama choma ya Makonda kule Arusha ziko nyingi sana humu JF, % kubwa za mada hizo zikiwa ni za kusifia, hili la kusifia chakula cha Bure si geni kwa Wabongo kutokana na dhiki kali inayowakabili, Watani zangu Wangoni wana msemo mmoja kuhusu njaa, nanukuu, "NJALA LIKOKO LIKOMA NA MUHABHI" Mwisho wa kunukuu, Kwa tafsiri ya kiswahili wanamaanisha kwamba Njaa ni kama Fisi inaua hata Mchawi, Kama nakosea Ndumbaro au Jenista Mhagama wanaweza kunisahihisha.

Kwa bei ya Vijijini kabisa ng'ombe mmoja mkubwa wa kuchinja hawezi kuwa chini ya sh laki 7 za kitanzania, sasa kwa hesabu za shule ya msingi au Kayumba.com ng'ombe 400 wanagharimu mil 280, Hela hizi si ndogo na kwa kadri ya vipato vya halali vya Wakuu wa Mikoa wa Tanzania, haiwezekani Mkuu wa Mkoa kulisha watu ambao kwao wameacha ugali na dagaa kwa gharama hii, hana hela hizo.

Ikumbukwe kwamba hiyo mil 280 ni gharama ya ng'ombe tu, haihusu Wachinjaji, Wachomaji, Majiko, viungo na gharama zingine, Makonda ametoa wapi hela za kugharamia mchakato huu wa kugawa bure mitaani?

Mnaweza kushangaa kwamba labda inakuwaje tunahoji masuala ya chakula tu, na mkaona kama ni kitu kidogo, ni hivi, tukiacha kuhoji zilikotoka hela hizi tutakuwa tunakosea sana, Mkuu wa Mkoa hana hela hizo na wala hakuna mtu wa kumchangia vitita hivyo kwa hiyari, Zingatia neno hiyari.

Je Makonda alipata wapi mamilioni ya hela ya kuyatumbua kirahisi namna hii tena bila sababu yoyote ya msingi, Kama ni ziara Rais anatembea Nchi nzima, Ni wapi kwingine walifanya hivyo, huko hakuna Wakuu wa Mikoa?

Naomba Kuwasilisha.
Jumla yotye inaweza kufika 300 million.
Sasa kweli millioni 300 haziwezi kukusanywa na matajiri tuu.
Mo , Gsm na Bakhressa hawa na wengine wanaweza changa mara moja tuu.
 
Nafahamu kwa Mada za Nyama choma ya Makonda kule Arusha ziko nyingi sana humu JF, % kubwa za mada hizo zikiwa ni za kusifia, hili la kusifia chakula cha Bure si geni kwa Wabongo kutokana na dhiki kali inayowakabili, Watani zangu Wangoni wana msemo mmoja kuhusu njaa, nanukuu, "NJALA LIKOKO LIKOMA NA MUHABHI" Mwisho wa kunukuu, Kwa tafsiri ya kiswahili wanamaanisha kwamba Njaa ni kama Fisi inaua hata Mchawi, Kama nakosea Ndumbaro au Jenista Mhagama wanaweza kunisahihisha.

Kwa bei ya Vijijini kabisa ng'ombe mmoja mkubwa wa kuchinja hawezi kuwa chini ya sh laki 7 za kitanzania, sasa kwa hesabu za shule ya msingi au Kayumba.com ng'ombe 400 wanagharimu mil 280, Hela hizi si ndogo na kwa kadri ya vipato vya halali vya Wakuu wa Mikoa wa Tanzania, haiwezekani Mkuu wa Mkoa kulisha watu ambao kwao wameacha ugali na dagaa kwa gharama hii, hana hela hizo.

Ikumbukwe kwamba hiyo mil 280 ni gharama ya ng'ombe tu, haihusu Wachinjaji, Wachomaji, Majiko, viungo na gharama zingine, Makonda ametoa wapi hela za kugharamia mchakato huu wa kugawa bure mitaani?

Mnaweza kushangaa kwamba labda inakuwaje tunahoji masuala ya chakula tu, na mkaona kama ni kitu kidogo, ni hivi, tukiacha kuhoji zilikotoka hela hizi tutakuwa tunakosea sana, Mkuu wa Mkoa hana hela hizo na wala hakuna mtu wa kumchangia vitita hivyo kwa hiyari, Zingatia neno hiyari.

Je Makonda alipata wapi mamilioni ya hela ya kuyatumbua kirahisi namna hii tena bila sababu yoyote ya msingi, Kama ni ziara Rais anatembea Nchi nzima, Ni wapi kwingine walifanya hivyo, huko hakuna Wakuu wa Mikoa?

Naomba Kuwasilisha.
Cc
BODI ya ligi
 
Nafahamu kwa Mada za Nyama choma ya Makonda kule Arusha ziko nyingi sana humu JF, % kubwa za mada hizo zikiwa ni za kusifia, hili la kusifia chakula cha Bure si geni kwa Wabongo kutokana na dhiki kali inayowakabili, Watani zangu Wangoni wana msemo mmoja kuhusu njaa, nanukuu, "NJALA LIKOKO LIKOMA NA MUHABHI" Mwisho wa kunukuu, Kwa tafsiri ya kiswahili wanamaanisha kwamba Njaa ni kama Fisi inaua hata Mchawi, Kama nakosea Ndumbaro au Jenista Mhagama wanaweza kunisahihisha.

Kwa bei ya Vijijini kabisa ng'ombe mmoja mkubwa wa kuchinja hawezi kuwa chini ya sh laki 7 za kitanzania, sasa kwa hesabu za shule ya msingi au Kayumba.com ng'ombe 400 wanagharimu mil 280, Hela hizi si ndogo na kwa kadri ya vipato vya halali vya Wakuu wa Mikoa wa Tanzania, haiwezekani Mkuu wa Mkoa kulisha watu ambao kwao wameacha ugali na dagaa kwa gharama hii, hana hela hizo.

Ikumbukwe kwamba hiyo mil 280 ni gharama ya ng'ombe tu, haihusu Wachinjaji, Wachomaji, Majiko, viungo na gharama zingine, Makonda ametoa wapi hela za kugharamia mchakato huu wa kugawa bure mitaani?

Mnaweza kushangaa kwamba labda inakuwaje tunahoji masuala ya chakula tu, na mkaona kama ni kitu kidogo, ni hivi, tukiacha kuhoji zilikotoka hela hizi tutakuwa tunakosea sana, Mkuu wa Mkoa hana hela hizo na wala hakuna mtu wa kumchangia vitita hivyo kwa hiyari, Zingatia neno hiyari.

Je Makonda alipata wapi mamilioni ya hela ya kuyatumbua kirahisi namna hii tena bila sababu yoyote ya msingi, Kama ni ziara Rais anatembea Nchi nzima, Ni wapi kwingine walifanya hivyo, huko hakuna Wakuu wa Mikoa?

Naomba Kuwasilisha.
Ngoja waje BODI ya ligi
 
Nafahamu kwa Mada za Nyama choma ya Makonda kule Arusha ziko nyingi sana humu JF, % kubwa za mada hizo zikiwa ni za kusifia, hili la kusifia chakula cha Bure si geni kwa Wabongo kutokana na dhiki kali inayowakabili, Watani zangu Wangoni wana msemo mmoja kuhusu njaa, nanukuu, "NJALA LIKOKO LIKOMA NA MUHABHI" Mwisho wa kunukuu, Kwa tafsiri ya kiswahili wanamaanisha kwamba Njaa ni kama Fisi inaua hata Mchawi, Kama nakosea Ndumbaro au Jenista Mhagama wanaweza kunisahihisha.

Kwa bei ya Vijijini kabisa ng'ombe mmoja mkubwa wa kuchinja hawezi kuwa chini ya sh laki 7 za kitanzania, sasa kwa hesabu za shule ya msingi au Kayumba.com ng'ombe 400 wanagharimu mil 280, Hela hizi si ndogo na kwa kadri ya vipato vya halali vya Wakuu wa Mikoa wa Tanzania, haiwezekani Mkuu wa Mkoa kulisha watu ambao kwao wameacha ugali na dagaa kwa gharama hii, hana hela hizo.

Ikumbukwe kwamba hiyo mil 280 ni gharama ya ng'ombe tu, haihusu Wachinjaji, Wachomaji, Majiko, viungo na gharama zingine, Makonda ametoa wapi hela za kugharamia mchakato huu wa kugawa bure mitaani?

Mnaweza kushangaa kwamba labda inakuwaje tunahoji masuala ya chakula tu, na mkaona kama ni kitu kidogo, ni hivi, tukiacha kuhoji zilikotoka hela hizi tutakuwa tunakosea sana, Mkuu wa Mkoa hana hela hizo na wala hakuna mtu wa kumchangia vitita hivyo kwa hiyari, Zingatia neno hiyari.

Je Makonda alipata wapi mamilioni ya hela ya kuyatumbua kirahisi namna hii tena bila sababu yoyote ya msingi, Kama ni ziara Rais anatembea Nchi nzima, Ni wapi kwingine walifanya hivyo, huko hakuna Wakuu wa Mikoa?

Naomba Kuwasilisha.
🤣🤣🤣 bongo bhana uspende kuadthiwa ivi unajua ng'ombe 400? Aiseee kwa kukumbuka pale Arusha meat ng'ombe zliletwa 80 kondoo na mbuz 70 na nyumbu kazaa hyo 400 maneno tu
 
Back
Top Bottom