Makonda alishindwa kuisambaratisha CHADEMA kipindi cha Magufuli. Je, awamu hii ana lipi jipya?

Makonda alishindwa kuisambaratisha CHADEMA kipindi cha Magufuli. Je, awamu hii ana lipi jipya?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Bashite akiwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam aliandamwa na kashfa nyingi za kuteka watu, kuanzia wanasiasa, wana harakati, wafanyabiashara wakubwa na hata wanamuziki.

Ubalozi wa Marekani ulimtaja kwamba ni mtu hatari zaidi nchini Tanzania kwa uhai wa wasio na hatia. Wakamuondolea hadhi ya yeye na jamaa zake wote kuingia USA 🇺🇸.

Makonda akiwa na kikosi chake maalum alivamia Station za radio na TV za Clouds.

Makonda alifanya hujuma zote za waziwazi na za sirini ili kuiangamiza Chadema lakini akashindwa.

Alikuwa na facilities zote na backup personal ya rais ambaye pia alikuwa ni Msukuma mwenzie na mwenyekiti wa CCM lakini wakaangukia pua.

Je, safari hii ameteuliwa akiwa na jipya gani tena? Tutarajie kuibuka kwa Martin baharini zikiwa ndani ya viroba? Au tutarajie kuibuka kwa wimbi la watu kupotezwa na watu wasiojulikana? Au ndio tujiandae na taarifa za watu kutekwa?

All in all hamna mwenye nguvu kuzidi mapenzi ya Mungu
 
Ukiambiwa uwataje aliowateka na kuwaua HUWEZI kutaja hata mmoja. Clouds FM wenyewe waliishawahi kutoa statement yao na humu JF imo kwamba HAWAJAWAHI kuvamiwa na mtu yeyote seuse Makonda. Lakini wewe umeng'ang'ania wamevamiwa wamevamiwa!

Ninyi ndio mlimdanganya yule jamaa afunguwe kesi eti kadhulumiwa gari mwisho wa siku kamkimbia hadi Wakili wake! Ahahahahaha!!!
 
Bashite akiwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam aliandamwa na kashfa nyingi za kuteka watu, kuanzia wanasiasa, wana harakati, wafanyabiashara wakubwa na hata wanamuziki.

Ubalozi wa Marekani ulimtaja kwamba ni mtu hatari zaidi nchini Tanzania kwa uhai wa wasio na hatia. Wakamuondolea hadhi ya yeye na jamaa zake wote kuingia USA [emoji631].

Makonda akiwa na kikosi chake maalum alivamia Station za radio na TV za Clouds.

Makonda alifanya hujuma zote za waziwazi na za sirini ili kuiangamiza Chadema lakini akashindwa.

Alikuwa na facilities zote na backup personal ya rais ambaye pia alikuwa ni Msukuma mwenzie na mwenyekiti wa CCM lakini wakaangukia pua.

Je, safari hii ameteuliwa akiwa na jipya gani tena? Tutarajie kuibuka kwa Martin baharini zikiwa ndani ya viroba? Au tutarajie kuibuka kwa wimbi la watu kupotezwa na watu wasiojulikana? Au ndio tujiandae na taarifa za watu kutekwa?

All in all hamna mwenye nguvu kuzidi mapenzi ya Mungu
Kipindi cha Magufuli chadema ilibaki na wabunge wangapi?
 
Makonda alifanya hujuma zote za waziwazi na za sirini ili kuiangamiza Chadema lakini akashindwa.
Kuna mahali katika mtandao wa x akihusishwa na Ben Saanane

soma maoni ya Godbless Lema kwa rais Samia hapa chini

Mh Rais nakusalimu. Wewe ni Rais wa Nchi , ikiwa utaongezewa na urais wa Taifa kama Marekani halafu utajiri wako ukawa mkubwa kama wa Elon Musk na Jeff Bezos , ukapata na fursa ya kujenga nyumba ya kisasa ktk sayari ya Mars ambako bomu la nyukilia haliwezi kuathiri.Pia watoto wako wote wakamiliki majengo mengi kama ulivyo mji wa Paris na New York na kisha wakawa wamiliki wa share za mabenki makubwa duniani , unafikiri haya yanatosha kuitwa mafanikio kama kuishi kwako kunaongeza huzuni ktk maisha ya watu ?

Maisha yanapita kwa kasi sana , unajua ni juzi tu Magufuli , Mkapa na Nyerere walikuwepo kabisa na walikuwa na wapambe wengi sana.Jihadhari sana na wapambe na chawa nafikiri wao kwa sasa wanaweza kuwa mlango wa jehanamu kuliko dhambi nyingine yoyote , wako ambtious na lunch , school fees za watoto wao kwa gharama yoyoye ile na urban lifestlye kuliko wema .

Jitahidi usiumize watu kwa sababu ya uchaguzi.Heshima ya binadamu ni wema na upendo vinginevyo maisha ni illusion tu.Kila mara ukiona unatoka ktk mstari wa haki jiulize swali moja tu, then what ?

Nakutakia kazi njema na hongera kwa Katibu wa uenezi mpya.Lakini familia ya Ben Saanane bado wanamsubiri ndugu yao.Tafakari ikiwa wewe ndio ungekuwa unamsubiri mwanao mpendwa Abdul kwa kipindi kirefu hivi.

Ubarikiwe na Mungu Mama
 
Bashite akiwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam aliandamwa na kashfa nyingi za kuteka watu, kuanzia wanasiasa, wana harakati, wafanyabiashara wakubwa na hata wanamuziki.

Ubalozi wa Marekani ulimtaja kwamba ni mtu hatari zaidi nchini Tanzania kwa uhai wa wasio na hatia. Wakamuondolea hadhi ya yeye na jamaa zake wote kuingia USA [emoji631].

Makonda akiwa na kikosi chake maalum alivamia Station za radio na TV za Clouds.

Makonda alifanya hujuma zote za waziwazi na za sirini ili kuiangamiza Chadema lakini akashindwa.

Alikuwa na facilities zote na backup personal ya rais ambaye pia alikuwa ni Msukuma mwenzie na mwenyekiti wa CCM lakini wakaangukia pua.

Je, safari hii ameteuliwa akiwa na jipya gani tena? Tutarajie kuibuka kwa Martin baharini zikiwa ndani ya viroba? Au tutarajie kuibuka kwa wimbi la watu kupotezwa na watu wasiojulikana? Au ndio tujiandae na taarifa za watu kutekwa?

All in all hamna mwenye nguvu kuzidi mapenzi ya Mungu
Hakika Makonda ni mzimu unaowatesa sana,poleni sana,mnataka kuziba tundu la panya kwa mkate?,mtaweza?
 
Bashite akiwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam aliandamwa na kashfa nyingi za kuteka watu, kuanzia wanasiasa, wana harakati, wafanyabiashara wakubwa na hata wanamuziki.

Ubalozi wa Marekani ulimtaja kwamba ni mtu hatari zaidi nchini Tanzania kwa uhai wa wasio na hatia. Wakamuondolea hadhi ya yeye na jamaa zake wote kuingia USA [emoji631].

Makonda akiwa na kikosi chake maalum alivamia Station za radio na TV za Clouds.

Makonda alifanya hujuma zote za waziwazi na za sirini ili kuiangamiza Chadema lakini akashindwa.

Alikuwa na facilities zote na backup personal ya rais ambaye pia alikuwa ni Msukuma mwenzie na mwenyekiti wa CCM lakini wakaangukia pua.

Je, safari hii ameteuliwa akiwa na jipya gani tena? Tutarajie kuibuka kwa Martin baharini zikiwa ndani ya viroba? Au tutarajie kuibuka kwa wimbi la watu kupotezwa na watu wasiojulikana? Au ndio tujiandae na taarifa za watu kutekwa?

All in all hamna mwenye nguvu kuzidi mapenzi ya Mungu
Tuhuma hizi siku mngeweza kuzithibitisha tungeliwaona wa maana, kwasasa nyie ni taka taka
 
Ukiambiwa uwataje aliowateka na kuwaua HUWEZI kutaja hata mmoja. Clouds FM wenyewe waliishawahi kutoa statement yao na humu JF imo kwamba HAWAJAWAHI kuvamiwa na mtu yeyote seuse Makonda. Lakini wewe umeng'ang'ania wamevamiwa wamevamiwa!

Ninyi ndio mlimdanganya yule jamaa afunguwe kesi eti kadhulumiwa gari mwisho wa siku kamkimbia hadi Wakili wake! Ahahahahaha!!!
Acha upumbavu ww, hilo suala la kuvamiwa kwa clouds kwani lilikuwa Siri? Ama unadhani hatujui nguvu iliyotumika kuwafanya clouds wakiri kuwa hawakuvamiwa.

Naona unadhani ule uhayawani uliokuwa unafanywa na Makonda kwa backup ya Magufuli tumesahau.
 
Acha upumbavu ww, hilo suala la kuvamiwa kwa clouds kwani lilikuwa Siri? Ama unadhani hatujui nguvu iliyotumika kuwafanya clouds wakiri kuwa hawakuvamiwa.

Naona unadhani ule uhayawani uliokuwa unafanywa na Makonda kwa backup ya Magufuli tumesahau.
Kwahiyo unawasaidia Clouds FM kulia wakati wenyewe hawalii? Huo unaitwa uchawi! Ahahahahaha!!!
 
Bashite akiwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam aliandamwa na kashfa nyingi za kuteka watu, kuanzia wanasiasa, wana harakati, wafanyabiashara wakubwa na hata wanamuziki.

Ubalozi wa Marekani ulimtaja kwamba ni mtu hatari zaidi nchini Tanzania kwa uhai wa wasio na hatia. Wakamuondolea hadhi ya yeye na jamaa zake wote kuingia USA 🇺🇸.

Makonda akiwa na kikosi chake maalum alivamia Station za radio na TV za Clouds.

Makonda alifanya hujuma zote za waziwazi na za sirini ili kuiangamiza Chadema lakini akashindwa.

Alikuwa na facilities zote na backup personal ya rais ambaye pia alikuwa ni Msukuma mwenzie na mwenyekiti wa CCM lakini wakaangukia pua.

Je, safari hii ameteuliwa akiwa na jipya gani tena? Tutarajie kuibuka kwa Martin baharini zikiwa ndani ya viroba? Au tutarajie kuibuka kwa wimbi la watu kupotezwa na watu wasiojulikana? Au ndio tujiandae na taarifa za watu kutekwa?

All in all hamna mwenye nguvu kuzidi mapenzi ya Mungu
Na safari hii , atajua hajui,
 
..Makonda ajisafishe na hizi tuhuma mbaya, vinginevyo anakwenda kumchafua Mama, na Ccm.
 
Huenda Mama akamkabidhi Makonda Rungu lile lile alilokabidhiwa na JPM!
 
Back
Top Bottom