Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Hakuna uhusiano wowote, acha upuuzi, angekuwa na huo uhusiano asingepata hizi shida anazopewa na akina GSM/Kubenea, hadi anakimbilia polisi na polisi wanamkwepa, Mother hana uhusiano na yeyoteUnaujua kwa undani uhusiano wa Bi Mkubwa na Makonda?.
Ofcoz 😃😃 hii ipo wazi kabisaYeye itakuwa alikata kamba kabisa akaenda kula mbali zaidi
Usiongee usilolijua.Hakuna uhusiano wowote, acha upuuzi, angekuwa na huo uhusiano asingepata hizi shida anazopewa na akina GSM/Kubenea, hadi anakimbilia polisi na polisi wanamkwepa, Mother hana uhusiano na yeyote
Wewe ndiyo hujui kitu, huyo Makonda wako kwa sasa anatapatapa tu, labda anakutisha wewe kwamba eti ana ulinzi wa Samia, hana ulinzi wowote, GSM ni juzi tu walienda Dubai kumuunga mkono Samia, wamerudi tu wameanzisha moto kwa huyo tahira, jumlisha 1 na 1Usiongee usilolijua.
Mimi na wewe tukubali tu hatujui yanayoendelea nyuma ya pazia, ni speculations tu. Makonda ndiye aliyempigia debe SSH wakati wa bunge maalum la katiba, ndiye aliyeongea na JPM na kumjengea ushawishi mpaka akamchukua kama running mate wake.Wewe ndiyo hujui kitu, huyo Makonda wako kwa sasa anatapatapa tu, labda anakutisha wewe kwamba eti ana ulinzi wa Samia, hana ulinzi wowote, GSM ni juzi tu walienda Dubai kumuunga mkono Samia, wamerudi tu wameanzisha moto kwa huyo tahira, jumlisha 1 na 1
Hahaha, lini? Samia kateuliwa 2015, kipindi hicho Bashite bado alikuwa anafunga kamba viatu vya RizMimi na wewe tukubali tu hatujui yanayoendelea nyuma ya pazia, ni speculations tu. Makonda ndiye aliyempigia debe SSH wakati wa bunge maalum la katiba, ndiye aliyeongea na JPM na kumjengea ushawishi mpaka akamchukua kama running mate wake.
Hio hoja hata GSM mtaji wake kautoa wapi haina mashiko hoja ni umiliki wa nyumba basi. Nani mmiliki kesi iamue over.Makonda alitumia Madaraka yake vibaya sana ya ukuu wa mkoa, Anapaswa kufunguliwa mashtaka ya uhujumu Uchumi na utakatishaji fedha
Ni vyema ikafanyika tathmini ya Mali zake Kimehasabu na kodi alizolipa TRA pamoja na Chanzo chake halisi cha mshahara vilinganishwe
Makonda na vijana baadhi walijigeuza wafalme wakati wa utawala wa giza, Walipora chochote na kutisha wafanyabiashara
Mishahara ya wakuu wa Mikoa inajulikana kisheria na sio siri kabisa, Hakuna mkuu wa mkoa anayelipwa pesa kufikia Milioni kumi yaani kwa mwaka ni Milioni mia moja ishirini, Na kwa miaka mitano ni Milioni mia sita
Makonda hajafanya ukuu wa mkoa kwa miaka mitano, Na hata angefanya hiyo kazi hakuna mkuu wa mkoa analipwa mshahara wa Milioni kumi
Kimehasabu Makonda hana uwezo wa Kumiliki Mali alizokuwa nazo kuanzia magari ya kupora ya kifahari na nyumba za kupora za wafanyabiashara
Karma ni mbaya sana, Makonda alilalamikiwa hapa JF kuwa anajenga hekalu huko Mwanza kwao, Anamiliki magari ya watu kwa kutapeli na vitisho vikubwa
Ghorofa linaloonekana kwa sasa analosema la kwake, Kiuhalisia hana uwezo huo hata kidogo wa Kumiliki kwa kazi yake ya ukuu wa Mikoa chini ya miaka minne
Anajitapa eti mdogo wake baada ya kumaliza kusimamia ghorofa lake Mwanza akaanza kusimamia ghorofa alilopora kwa mfanyabiashara GSM lenye thamani ya zaidi ya bilioni moja
Ni muda muafaka kwa Makonda kurudisha Mali kwa wahusika,
Kazi iendelee
Pia soma: Video: Makonda yamkuta makubwa, Ghalib wa GSM adai nyumba yake
Amini hilo ni kweliHahaha, lini? Samia kateuliwa 2015, kipindi hicho Bashite bado alikuwa anafunga kamba viatu vya Riz
Makonda alikuwepo bunge maalum la katiba la mwaka 2013, baadae akawa kiongozi wa CCM vijana ndipo alipomsemea mbovu mzee Lowassa na akaonekana ni jasiri akapewa ukuu wa wilaya ya Kinondoni.Hahaha, lini? Samia kateuliwa 2015, kipindi hicho Bashite bado alikuwa anafunga kamba viatu vya Riz
Nayajua yote hayo Chief, nipo kwenye siasa za CCM kitambo, baadaye jina lake likapenyezwa kwa Jiwe, jiwe kwa ukabila wake akambeba mazima, Wasukuma dhaifu kwa hilo, nishawahi kuwa na bosi msukuma, baada ya hapo kilichofuata wote tunajua! Makonda ni alama mbaya sana kwa utawala wa JPMMakonda alikuwepo bunge maalum la katiba la mwaka 2013, baadae akawa kiongozi wa CCM vijana ndipo alipomsemea mbovu mzee Lowassa na akaonekana ni jasiri akapewa ukuu wa wilaya ya Kinondoni.
Naona kama vile una chuki binafsi mpaka unaisahau historia.
Taabu kweli kweli, wakishaanza kusalimiana asubuhi kwa kisukuma na wakaanza kumteta mtu asiye wa kabila lao, basi udhaifu huanzia hapo.Nayajua yote hayo Chief, nipo kwenye siasa za CCM kitambo, baadaye jina lake likapenyezwa kwa Jiwe, jiwe kwa ukabila wake akambeba mazima, Wasukuma dhaifu kwa hilo, nishawahi kuwa na bosi msukuma, baada ya hapo kilichofuata wote tunajua! Makonda ni alama mbaya sana kwa utawala wa JPM
Makonda alikuwepo bunge maalum la katiba la mwaka 2013, baadae akawa kiongozi wa CCM vijana ndipo alipomsemea mbovu mzee Lowassa na akaonekana ni jasiri akapewa ukuu wa wilaya ya Kinondoni.
Naona kama vile una chuki binafsi mpaka unaisahau historia.
Ni nani angekaa hapo asipore?
Ni wewe mtoa mada?
Hapa tupo pamoja Chief, 60% ya wakurugenzi wa halmashauri kipindi cha Magu walikuwa wasukuma, walianzisha hadi group lao la Whatsapp, nilikuwa pia kwa hilo group, humo ndani ilikuwa kisukuma tuTaabu kweli kweli, wakishaanza kusalimiana asubuhi kwa kisukuma na wakaanza kumteta mtu asiye wa kabila lao, basi udhaifu huanzia hapo.
Hapo ndipo umuhimu wa Katiba mpya unapokuja. Hatuwezi kuwa na nchi ya kuoneana, kuogopana na kuabudu wenye vyeo ili tuishi kwa uhuru na raha mustarehe wakati wote.Nchi hii tuwe tunaweka akiba ya maneno tusionane poa tu kuna watu wako na kazi maalumu mara paap kawa RPC tena au waziri wa ardhi. Nchi hii hujui huyu nani na yule nani. tupunguze jazba nchi hatari hakuna wa kumuamini,
Hakuna hiyo kitu, jamaa ashazikwa politicallyNchi hii tuwe tunaweka akiba ya maneno tusionane poa tu kuna watu wako na kazi maalumu mara paap kawa RPC tena au waziri wa ardhi. Nchi hii hujui huyu nani na yule nani. tupunguze jazba nchi hatari hakuna wa kumuamini,