Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,986
Huyo mtu huwa anatumika na awamu zote, na hata sasa anatumika kwa kazi maalum
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mtu huwa anatumika na awamu zote, na hata sasa anatumika kwa kazi maalum
Wabaya ni majambazi waporaji wenye kutesa na kuua!Kuna movie moja nimewahi angali inasema every body is a thief.watu Ni wezi San tu
2012/13 magufuli alikua madarakani?Hakika huyo Bashite alikuwa ni jambazi completely akikingiwa kifua na Mwendazake. Full Stop
Yeye itakuwa alikata kamba kabisa akaenda kula mbali zaidiOfcoz hakuna mtanzania mtumishi wa umma aliyeweza kujenga nyumba kwa pesa yake ya mshahara wachache wamepata mkopo bank Ila wengi wamejenga kwa pesa za wizi na rushwa huu ndio ukweli mtupu.
Makonda alitumia Madaraka yake vibaya sana ya ukuu wa mkoa, Anapaswa kufunguliwa mashtaka ya uhujumu Uchumi na utakatishaji fedha
Ni vyema ikafanyika tathmini ya Mali zake Kimehasabu na kodi alizolipa TRA pamoja na Chanzo chake halisi cha mshahara vilinganishwe
Makonda na vijana baadhi walijigeuza wafalme wakati wa utawala wa giza, Walipora chochote na kutisha wafanyabiashara
Mishahara ya wakuu wa Mikoa inajulikana kisheria na sio siri kabisa, Hakuna mkuu wa mkoa anayelipwa pesa kufikia Milioni kumi yaani kwa mwaka ni Milioni mia moja ishirini, Na kwa miaka mitano ni Milioni mia sita
Makonda hajafanya ukuu wa mkoa kwa miaka mitano, Na hata angefanya hiyo kazi hakuna mkuu wa mkoa analipwa mshahara wa Milioni kumi
Kimehasabu Makonda hana uwezo wa Kumiliki Mali alizokuwa nazo kuanzia magari ya kupora ya kifahari na nyumba za kupora za wafanyabiashara
Karma ni mbaya sana, Makonda alilalamikiwa hapa JF kuwa anajenga hekalu huko Mwanza kwao, Anamiliki magari ya watu kwa kutapeli na vitisho vikubwa
Ghorofa linaloonekana kwa sasa analosema la kwake, Kiuhalisia hana uwezo huo hata kidogo wa Kumiliki kwa kazi yake ya ukuu wa Mikoa chini ya miaka minne
Anajitapa eti mdogo wake baada ya kumaliza kusimamia ghorofa lake Mwanza akaanza kusimamia ghorofa alilopora kwa mfanyabiashara GSM lenye thamani ya zaidi ya bilioni moja
Ni muda muafaka kwa Makonda kurudisha Mali kwa wahusika,
Kazi iendelee
Pia soma: Video: Makonda yamkuta makubwa, Ghalib wa GSM adai nyumba yaka
Acha wivu ndugu.... Wakati wake umepita ... acha afurahie maisha....Makonda alitumia Madaraka yake vibaya sana ya ukuu wa mkoa, Anapaswa kufunguliwa mashtaka ya uhujumu Uchumi na utakatishaji fedha
Ni vyema ikafanyika tathmini ya Mali zake Kimehasabu na kodi alizolipa TRA pamoja na Chanzo chake halisi cha mshahara vilinganishwe
Makonda na vijana baadhi walijigeuza wafalme wakati wa utawala wa giza, Walipora chochote na kutisha wafanyabiashara
Mishahara ya wakuu wa Mikoa inajulikana kisheria na sio siri kabisa, Hakuna mkuu wa mkoa anayelipwa pesa kufikia Milioni kumi yaani kwa mwaka ni Milioni mia moja ishirini, Na kwa miaka mitano ni Milioni mia sita
Makonda hajafanya ukuu wa mkoa kwa miaka mitano, Na hata angefanya hiyo kazi hakuna mkuu wa mkoa analipwa mshahara wa Milioni kumi
Kimehasabu Makonda hana uwezo wa Kumiliki Mali alizokuwa nazo kuanzia magari ya kupora ya kifahari na nyumba za kupora za wafanyabiashara
Karma ni mbaya sana, Makonda alilalamikiwa hapa JF kuwa anajenga hekalu huko Mwanza kwao, Anamiliki magari ya watu kwa kutapeli na vitisho vikubwa
Ghorofa linaloonekana kwa sasa analosema la kwake, Kiuhalisia hana uwezo huo hata kidogo wa Kumiliki kwa kazi yake ya ukuu wa Mikoa chini ya miaka minne
Anajitapa eti mdogo wake baada ya kumaliza kusimamia ghorofa lake Mwanza akaanza kusimamia ghorofa alilopora kwa mfanyabiashara GSM lenye thamani ya zaidi ya bilioni moja
Ni muda muafaka kwa Makonda kurudisha Mali kwa wahusika,
Kazi iendelee
Pia soma: Video: Makonda yamkuta makubwa, Ghalib wa GSM adai nyumba yake
Kwani samia atatawala milele?Mnamsagia kunguni Makonda. Anaiva vizuri na Rais SSH, nadhani mnapoteza muda.
Wote majambazi hayo yanajuana, Awamu hii yote hayana kinga ya Rais, wanatapatapa! Bi Mkubwa hana chawa ambaye wanaweza kumtumia kupenyeza ujinga waoHilo eneo kapora awamu ya 4 lakini.
View attachment 2146714
Huyo mjinga tu hajui lolote, SSH haivi vizuri na yeyote, angekuwa anaiva vizuri na huyo mtu asingetapatapa hivyo, au kurushwa rushwa na akina Kubenea, Kubenea siyo mjinga kumfungulia kesi huyo mtu, anajua kabisa hana back up yeyote kwa sasaKwani samia atatawala milele?
Wenzako wanayasubiri mafanikio wewe unausubiri muda wa kulipiza kisasi!.Kwani samia atatawala milele?
Sio kweli, chawa wapo na wanazidi kuongezekaWote majambazi hayo yanajuana, Awamu hii yote hayana kinga ya Rais, wanatapatapa! Bi Mkubwa hana chawa ambaye wanaweza kumtumia kupenyeza ujinga wao
Maendeleo ni pamoja na kurejesha mali zako ulizotapeliwa, sawasawa?Wenzako wanayasubiri mafanikio wewe unausubiri muda wa kulipiza kisasi!.
Hawezi kudumu milele, kama CCM ikiendelea kuwepo hata huyo mpya anaweza kuwa na ukaribu na Makonda.Kwani samia atatawala milele?
Unaujua kwa undani uhusiano wa Bi Mkubwa na Makonda?.Wote majambazi hayo yanajuana, Awamu hii yote hayana kinga ya Rais, wanatapatapa! Bi Mkubwa hana chawa ambaye wanaweza kumtumia kupenyeza ujinga wao
Chawa kaziniAcha wivu ndugu.... Wakati wake umepita ... acha afurahie maisha....
Bila shaka una roho ya kimasikini sana mkuu.....