Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
.Makonda na vijana baadhi walijigeuza wafalme wakati wa utawala wa giza, Walipora chochote na kutisha wafanyabiashara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.Makonda na vijana baadhi walijigeuza wafalme wakati wa utawala wa giza, Walipora chochote na kutisha wafanyabiashara
Picha ya nyumba iko wapi?Makonda alitumia Madaraka yake vibaya sana ya ukuu wa mkoa, Anapaswa kufunguliwa mashtaka ya uhujumu Uchumi na utakatishaji fedha
Ni vyema ikafanyika tathmini ya Mali zake Kimehasabu na kodi alizolipa TRA pamoja na Chanzo chake halisi cha mshahara vilinganishwe
Makonda na vijana baadhi walijigeuza wafalme wakati wa utawala wa giza, Walipora chochote na kutisha wafanyabiashara
Mishahara ya wakuu wa Mikoa inajulikana kisheria na sio siri kabisa, Hakuna mkuu wa mkoa anayelipwa pesa kufikia Milioni kumi yaani kwa mwaka ni Milioni mia moja ishirini, Na kwa miaka mitano ni Milioni mia sita
Makonda hajafanya ukuu wa mkoa kwa miaka mitano, Na hata angefanya hiyo kazi hakuna mkuu wa mkoa analipwa mshahara wa Milioni kumi
Kimehasabu Makonda hana uwezo wa Kumiliki Mali alizokuwa nazo kuanzia magari ya kupora ya kifahari na nyumba za kupora za wafanyabiashara
Karma ni mbaya sana, Makonda alilalamikiwa hapa JF kuwa anajenga hekalu huko Mwanza kwao, Anamiliki magari ya watu kwa kutapeli na vitisho vikubwa
Ghorofa linaloonekana kwa sasa analosema la kwake, Kiuhalisia hana uwezo huo hata kidogo wa Kumiliki kwa kazi yake ya ukuu wa Mikoa chini ya miaka minne
Anajitapa eti mdogo wake baada ya kumaliza kusimamia ghorofa lake Mwanza akaanza kusimamia ghorofa alilopora kwa mfanyabiashara GSM lenye thamani ya zaidi ya bilioni moja
Ni muda muafaka kwa Makonda kurudisha Mali kwa wahusika,
Kazi iendelee
Kumbe?Lkn huwa hawana ujanja wa kuishi nje ya upigaji,hata biashara zao ufa mfumo ukiwatupa. Check mabus ya buffalo, mabus ya scandinavian, nk. Huwezi endesha biashara kwa kutegemea uporaji.
Fafanua kutafunaje? Maan hata wanaolipwa ile halal ni kodi zetu, je hoja hapo juu inaakis unachodai hapa?Ni mwanasiasa gani asiyetafuna pesa a walipa Kodi?
Nashangaa kwanini sabaya yupo ndani huyu jambazi mkuu anakula bia kule mbezi kwa mwamunyange. Nashangaa sanaMakonda na vijana baadhi walijigeuza wafalme wakati wa utawala wa giza, Walipora chochote na kutisha wafanyabiashara
Wekeni picha ya hiyo nyumba hapa tuione na kuthaminisha isije ikawa mnamuonea tuMakonda alitumia Madaraka yake vibaya sana ya ukuu wa mkoa, Anapaswa kufunguliwa mashtaka ya uhujumu Uchumi na utakatishaji fedha
Ni vyema ikafanyika tathmini ya Mali zake Kimehasabu na kodi alizolipa TRA pamoja na Chanzo chake halisi cha mshahara vilinganishwe
Makonda na vijana baadhi walijigeuza wafalme wakati wa utawala wa giza, Walipora chochote na kutisha wafanyabiashara
Mishahara ya wakuu wa Mikoa inajulikana kisheria na sio siri kabisa, Hakuna mkuu wa mkoa anayelipwa pesa kufikia Milioni kumi yaani kwa mwaka ni Milioni mia moja ishirini, Na kwa miaka mitano ni Milioni mia sita
Makonda hajafanya ukuu wa mkoa kwa miaka mitano, Na hata angefanya hiyo kazi hakuna mkuu wa mkoa analipwa mshahara wa Milioni kumi
Kimehasabu Makonda hana uwezo wa Kumiliki Mali alizokuwa nazo kuanzia magari ya kupora ya kifahari na nyumba za kupora za wafanyabiashara
Karma ni mbaya sana, Makonda alilalamikiwa hapa JF kuwa anajenga hekalu huko Mwanza kwao, Anamiliki magari ya watu kwa kutapeli na vitisho vikubwa
Ghorofa linaloonekana kwa sasa analosema la kwake, Kiuhalisia hana uwezo huo hata kidogo wa Kumiliki kwa kazi yake ya ukuu wa Mikoa chini ya miaka minne
Anajitapa eti mdogo wake baada ya kumaliza kusimamia ghorofa lake Mwanza akaanza kusimamia ghorofa alilopora kwa mfanyabiashara GSM lenye thamani ya zaidi ya bilioni moja
Ni muda muafaka kwa Makonda kurudisha Mali kwa wahusika,
Kazi iendelee
Alikuwa anapora hela kwa kushirikiana na Mwendazake (Mzalendo)...! Awamu ya tano ilikuwa na unafiki mwingi sana
Hakika huyo Bashite alikuwa ni jambazi completely akikingiwa kifua na Mwendazake. Full Stop
Hakika huyo Bashite alikuwa ni jambazi completely akikingiwa kifua na Mwendazake. Full Stop
Halafu kuna watu wanakula hela za Wananchi eti wanaitwa Tume ya Maadili. Maadili ya kipuuzi gani hayo sijui.Naona Mbowe katoka jela kuja kuanza huu utaratibu wa kuzua jambo kwa Mh. Paul Makonda
Ndiyo. Malipo ni hapahap duniani. Zimwi la kumpiga Mzee Warioba linaendelea kumsakama.Makonda alitumia Madaraka yake vibaya sana ya ukuu wa mkoa, Anapaswa kufunguliwa mashtaka ya uhujumu Uchumi na utakatishaji fedha
Ni vyema ikafanyika tathmini ya Mali zake Kimehasabu na kodi alizolipa TRA pamoja na Chanzo chake halisi cha mshahara vilinganishwe
Makonda na vijana baadhi walijigeuza wafalme wakati wa utawala wa giza, Walipora chochote na kutisha wafanyabiashara
Mishahara ya wakuu wa Mikoa inajulikana kisheria na sio siri kabisa, Hakuna mkuu wa mkoa anayelipwa pesa kufikia Milioni kumi yaani kwa mwaka ni Milioni mia moja ishirini, Na kwa miaka mitano ni Milioni mia sita
Makonda hajafanya ukuu wa mkoa kwa miaka mitano, Na hata angefanya hiyo kazi hakuna mkuu wa mkoa analipwa mshahara wa Milioni kumi
Kimehasabu Makonda hana uwezo wa Kumiliki Mali alizokuwa nazo kuanzia magari ya kupora ya kifahari na nyumba za kupora za wafanyabiashara
Karma ni mbaya sana, Makonda alilalamikiwa hapa JF kuwa anajenga hekalu huko Mwanza kwao, Anamiliki magari ya watu kwa kutapeli na vitisho vikubwa
Ghorofa linaloonekana kwa sasa analosema la kwake, Kiuhalisia hana uwezo huo hata kidogo wa Kumiliki kwa kazi yake ya ukuu wa Mikoa chini ya miaka minne
Anajitapa eti mdogo wake baada ya kumaliza kusimamia ghorofa lake Mwanza akaanza kusimamia ghorofa alilopora kwa mfanyabiashara GSM lenye thamani ya zaidi ya bilioni moja
Ni muda muafaka kwa Makonda kurudisha Mali kwa wahusika,
Kazi iendelee
Kuna watu wakipewa kamba wanaitafuna.Huyu inaonesha alivuka urefu wa kamba yake ama aliikata!! Tamaa mbele...
Kwako mjasiliamali ni anaenunua na kuuza Michele na vitunguu? Hebu toka nje ya box humo! Wakati wewe unashangilia Samia kuchoma chanjo ya Uviko mbele ya kamera wenzio tulinunua share za Astrazeneca, angalia bei ya share moja wakati ule na sasa!Mtu hajawahi kuwa hata mjasiriamali uyo ni fisadi tu
Malipo ya Lema kutabiri kifo cha mwendazake ni lini mkuu?Malipo ni hapahapa
Ndiyo. Malipo ni hapahap duniani. Zimwi la kumpiga Mzee Warioba linaendelea kumsakama.
Mbona nasikia kaoa uchagani na sio ngara?Mama mkwe wake alikuwa anaishi vibanda umiza huko Ngara, kamjengea nyumba kubwa mpya
Mnamsagia kunguni Makonda. Anaiva vizuri na Rais SSH, nadhani mnapoteza muda.
Mke wake ni Mrundi, mama yake anakaa njia ya kwenda mto Ruvuvu