Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanya kwamba bunge la katiba lilikaa kwa miaka miwili mfululizo na kila siku walikua wanalipwa laki 3. Kwa hivyo basi kwakuwa mwaka mmoja una siku 365 jumlisha na mshahara still Bilioni moja haifikibunge la katiba walilipwa pdm ya laki 3, tuanzie hapo!
Siyo vikao tu, ni kazi zote zimejaa wizi. Subiri lile ghorofa la Kenya litakavoifuna nchi.Kila kikao kinachohusu serikali ya CCM ni nafasi ya kutafuna pesa za walipa kodi.
Huyu inaonesha alivuka urefu wa kamba yake ama aliikata!! Tamaa mbele...Huu ni wivu wa wazi. Si alikwisha kula kwa urefu wa kamba
Umesahau alikuwa anawanunulia soda akina kingoi,nao walikuwa wanamnyanyua juju kwakupongezana.Hakika huyo Bashite alikuwa ni jambazi completely akikingiwa kifua na Mwendazake. Full Stop
Tayari ana kesi mahakamani ya kutumia vibaya madaraka ya umma.Sasa kwanini na ww usiende mahakamani kwa niaba ya wanzako wenye wasiwasi nae? unataka nani aende kwa ajiri yako..Serikali kuptia Dr Ashantu Kijaji ilishasema mwenye ushahidi na aende kortini.
Mahakama na police wanamuogopa makondaTayari ana kesi mahakamani ya kutumia vibaya madaraka ya umma.
Ni njia ya kupata utajiri na hakuna kingineKila kikao kinachohusu serikali ya CCM ni nafasi ya kutafuna pesa za walipa kodi.
Wakiongozwa na BashiteWale wote waliopora pesa za wafanyabiashara wa maduka ya kubadili pesa wanafahamika kupitia CCTV. Wafilisiwe warudishe pesa za watu.
Mpaka wapate maelekezo kutoka juuMahakama na police wanamuogopa makonda
Sio kwamba wanamuogopa, kumchinja kobe kunahitaji timing.Mahakama na police wanamuogopa makonda
Jama wamepiga sn pesa za ummaNi njia ya kupata utajiri na hakuna kingine
Kwann wamlie timing,mbona zumarid wamebeba juu kwa juu tena bila hata utaratibu.Hizi si dabo standard?Sio kwamba wanamuogopa, kumchinja kobe kunahitaji timing.
ukweli wanamuogopa vibaya sn ingekuwa wewe sahivi ungekuwa Ukonga kitambo snSio kwamba wanamuogopa, kumchinja kobe kunahitaji timing.
Plus kile kitengo haramu pale cocabsWakiongozwa na Bashite