Makonda alitoa wapi zaidi ya Sh. Bilioni moja kujenga nyumba binafsi. Je, mshahara wa Mkuu wa Mkoa kwa miaka 3 unatosha?

Makonda alitoa wapi zaidi ya Sh. Bilioni moja kujenga nyumba binafsi. Je, mshahara wa Mkuu wa Mkoa kwa miaka 3 unatosha?

ukweli wanamuogopa vibaya sn ingekuwa wewe sahivi ungekuwa Ukonga kitambo sn
Kwann wamlie timing,mbona zumarid wamebeba juu kwa juu tena bila hata utaratibu.Hizi si dabo standard?

0E90629C-6109-4101-9E4F-7BCBDC3606D9.jpeg
 
Makonda alitumia Madaraka yake vibaya sana ya ukuu wa mkoa, Anapaswa kufunguliwa mashtaka ya uhujumu Uchumi na utakatishaji fedha

Ni vyema ikafanyika tathmini ya Mali zake Kimehasabu na kodi alizolipa TRA pamoja na Chanzo chake halisi cha mshahara vilinganishwe

Makonda na vijana baadhi walijigeuza wafalme wakati wa utawala wa giza, Walipora chochote na kutisha wafanyabiashara

Mishahara ya wakuu wa Mikoa inajulikana kisheria na sio siri kabisa, Hakuna mkuu wa mkoa anayelipwa pesa kufikia Milioni kumi yaani kwa mwaka ni Milioni mia moja ishirini, Na kwa miaka mitano ni Milioni mia sita

Makonda hajafanya ukuu wa mkoa kwa miaka mitano, Na hata angefanya hiyo kazi hakuna mkuu wa mkoa analipwa mshahara wa Milioni kumi

Kimehasabu Makonda hana uwezo wa Kumiliki Mali alizokuwa nazo kuanzia magari ya kupora ya kifahari na nyumba za kupora za wafanyabiashara

Karma ni mbaya sana, Makonda alilalamikiwa hapa JF kuwa anajenga hekalu huko Mwanza kwao, Anamiliki magari ya watu kwa kutapeli na vitisho vikubwa

Ghorofa linaloonekana kwa sasa analosema la kwake, Kiuhalisia hana uwezo huo hata kidogo wa Kumiliki kwa kazi yake ya ukuu wa Mikoa chini ya miaka minne

Anajitapa eti mdogo wake baada ya kumaliza kusimamia ghorofa lake Mwanza akaanza kusimamia ghorofa alilopora kwa mfanyabiashara GSM lenye thamani ya zaidi ya bilioni moja

Ni muda muafaka kwa Makonda kurudisha Mali kwa wahusika,

Kazi iendelee
Makonda hataguswa sababu ya mahaba ya mama kwake, chunguza historia ya mahusiano yao yenye utata
 
Picha kidogo basi tuione,au hairuhusiwi kupiga picha...
 
Hapa simtetei Makonda ni kweli ukiwa mtumishi wa serikali ni lazima uoneshe mali zako na ku declare kabla na baada je vile viapo ni kama fashion tu hawana meno. Lakini angepewa nafasi ya kujieleza bila kumhukumu kwamba kwa mshahara hana uwezo ni kweli lakini labda alikuwa na vyanzo vingine au labda alichukuwa mkopo hatuyajui haya ila tukianza kuulizana basi sio Makonda tu wengi inabidi waulizwe pamoja hata na GSM ndio tajiri lakini je biashara zake inaendana na anayoyafanya, wengi sana inabidi tujieleze tumefikaje hapa tulipo.
 
Makonda alitumia Madaraka yake vibaya sana ya ukuu wa mkoa, Anapaswa kufunguliwa mashtaka ya uhujumu Uchumi na utakatishaji fedha

Ni vyema ikafanyika tathmini ya Mali zake Kimehasabu na kodi alizolipa TRA pamoja na Chanzo chake halisi cha mshahara vilinganishwe

Makonda na vijana baadhi walijigeuza wafalme wakati wa utawala wa giza, Walipora chochote na kutisha wafanyabiashara

Mishahara ya wakuu wa Mikoa inajulikana kisheria na sio siri kabisa, Hakuna mkuu wa mkoa anayelipwa pesa kufikia Milioni kumi yaani kwa mwaka ni Milioni mia moja ishirini, Na kwa miaka mitano ni Milioni mia sita

Makonda hajafanya ukuu wa mkoa kwa miaka mitano, Na hata angefanya hiyo kazi hakuna mkuu wa mkoa analipwa mshahara wa Milioni kumi

Kimehasabu Makonda hana uwezo wa Kumiliki Mali alizokuwa nazo kuanzia magari ya kupora ya kifahari na nyumba za kupora za wafanyabiashara

Karma ni mbaya sana, Makonda alilalamikiwa hapa JF kuwa anajenga hekalu huko Mwanza kwao, Anamiliki magari ya watu kwa kutapeli na vitisho vikubwa

Ghorofa linaloonekana kwa sasa analosema la kwake, Kiuhalisia hana uwezo huo hata kidogo wa Kumiliki kwa kazi yake ya ukuu wa Mikoa chini ya miaka minne

Anajitapa eti mdogo wake baada ya kumaliza kusimamia ghorofa lake Mwanza akaanza kusimamia ghorofa alilopora kwa mfanyabiashara GSM lenye thamani ya zaidi ya bilioni moja

Ni muda muafaka kwa Makonda kurudisha Mali kwa wahusika,

Kazi iendelee
Mnamsagia kunguni Makonda. Anaiva vizuri na Rais SSH, nadhani mnapoteza muda.
 
Makonda alitumia Madaraka yake vibaya sana ya ukuu wa mkoa, Anapaswa kufunguliwa mashtaka ya uhujumu Uchumi na utakatishaji fedha

Ni vyema ikafanyika tathmini ya Mali zake Kimehasabu na kodi alizolipa TRA pamoja na Chanzo chake halisi cha mshahara vilinganishwe

Makonda na vijana baadhi walijigeuza wafalme wakati wa utawala wa giza, Walipora chochote na kutisha wafanyabiashara

Mishahara ya wakuu wa Mikoa inajulikana kisheria na sio siri kabisa, Hakuna mkuu wa mkoa anayelipwa pesa kufikia Milioni kumi yaani kwa mwaka ni Milioni mia moja ishirini, Na kwa miaka mitano ni Milioni mia sita

Makonda hajafanya ukuu wa mkoa kwa miaka mitano, Na hata angefanya hiyo kazi hakuna mkuu wa mkoa analipwa mshahara wa Milioni kumi

Kimehasabu Makonda hana uwezo wa Kumiliki Mali alizokuwa nazo kuanzia magari ya kupora ya kifahari na nyumba za kupora za wafanyabiashara

Karma ni mbaya sana, Makonda alilalamikiwa hapa JF kuwa anajenga hekalu huko Mwanza kwao, Anamiliki magari ya watu kwa kutapeli na vitisho vikubwa

Ghorofa linaloonekana kwa sasa analosema la kwake, Kiuhalisia hana uwezo huo hata kidogo wa Kumiliki kwa kazi yake ya ukuu wa Mikoa chini ya miaka minne

Anajitapa eti mdogo wake baada ya kumaliza kusimamia ghorofa lake Mwanza akaanza kusimamia ghorofa alilopora kwa mfanyabiashara GSM lenye thamani ya zaidi ya bilioni moja

Ni muda muafaka kwa Makonda kurudisha Mali kwa wahusika,

Kazi iendelee
Huyo mfanya biashara gsm ni msafi kiasigani.
 
Fanya kwamba bunge la katiba lilikaa kwa miaka miwili mfululizo na kila siku walikua wanalipwa laki 3. Kwa hivyo basi kwakuwa mwaka mmoja una siku 365 jumlisha na mshahara still Bilioni moja haifiki

Fanya chukua (300,000 x 365) x 2 = 219,000

Mwizi mkubwa yule afu eti anakwambia alikua mkuu wa mkoa wa Dar hajawahi kumdhulumu mtu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hivi anafikiri tumesahau !!!
Aliyekwambia binadamu anategemea mshahara pekee ni nani?. Umeacha shughuli zako unamhesabia mtu pato lake, hii ni zaidi ya roho ya kwanini.
 
Back
Top Bottom