Makonda aliweka nidhamu jiji la Dar na kusafisha uchafu wa maadili uliokuwa umekithiri. Sasa hivi Dar ni kama Jahanamu

Makonda aliweka nidhamu jiji la Dar na kusafisha uchafu wa maadili uliokuwa umekithiri. Sasa hivi Dar ni kama Jahanamu

Alisema wabunge wote waende Das salaam, kwa ruhusa maalum, mda wa vikao akiwaona atawakamata na kuwaweka ndani
Akasema ukikutwa mjini na nguo hujanyoosha utakiona Cha Moto!pamoja na kuvaa mandala mjini ole wako😂
 
Lenyewe lilikuwa jizi na shoga ile mikwara ya kupambana na wauza unga ilikuwa na lengo la kujipatia fedha na mali kutoka kwa wahusika na hata wasiohusika kiujumla alikuwa mnyan'ganyi na dhulumati huku akikingiwa kifua na shetani mkuu walijiona nchi ilikuwa mali yao binafsi kumbe yalikuwa mapito tu.
 
Back
Top Bottom