Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
- Thread starter
- #101
Kipaumbele kishakisema alipokuwa ziarani DAr, Pwani na Kilimanjaro.Na kati ya msafara mkubwa zaidi duniani. Hizo ni kodi zako. Vipaumbele ni vipi kusikiliza changamoto za wananchi wako au kula bata?
kuizungumzia CHADEMA na hasa Mbowe na kuwaaminisha mafukara wa Tanganyika umetoakana na Mbowe kujenga nyumba yake ya kustaafia huko Machame.