Pre GE2025 Makonda ameagizwa na nani kufanya maigizo Nchi nzima!

Pre GE2025 Makonda ameagizwa na nani kufanya maigizo Nchi nzima!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Absolutely correct. Otherwise anachofanya Makonda ni usanii. Ukitaka kuchange system, lazima head wa system hiyo ndiye awe the leading figure otherwise ni ngumu kuchange system wakati mwenye system anaona kila kitu kiko sawa. Hapo ndipo nakubaliana na mtoa mada yawezekana huu ni usanii,

"We are creating and raising our political supremacy and personal popularity on expense of the pervasive poverty, , pain and suffering of the ignorant citizen "
Ni hivi kuna vacuum, the figurehead doesn't want to step up na kufanya kazi yake. Anajificha, anapenda mambo ya kitoto tu ziara ulaya, teuzi na tenguzi za hovyo, hataki kusikiliza matatizo ya wananchi.
 
Wewe ungekuwa kiongozi leo ungefanya birthday party au kwenda Tanesco makao makuu live ukawauliza changamoto zenu ni nini hasa?

Ukirudi kesho na keshokutwa nina uhakika Tanzania tutapata umem. Kauli moja kwa mfumo wetu ya Rais ina uzito mkubwa sana na itatekelezwa bila chenga.

Rais hana muda na hivyo vitu sio muhimu kwake.

Tatizo kubwa lingine ni ardhi, akamtoa Lukuvi mbobezi wa kusaidia maskini, wajane, yatima ameweka wapigaji. Upigaji kila sehemu.
Yani, Dah Mtu anakata keki live wakati kuwan watu wamefukiwa kwenye tope huko Moro, Tegeta na kwengneko.
Na tupo tu na chawa wapo wanasifia,
 
Haya ndio matokeo ya kuipa nguvu serikali kuu na kuua serikali za mitaa.kati ya vitu vichache #5 alivyobugi ni hichi..kwasababu ya wizi "uliokubuhu" akaamua kuhamisha nguvu yote ya kifedha na maamuzi serikalini.

Kero nyingi anazo"tatua" ukizisikiliza ni vitu ambavyo vingeishia huku chini lkni mpaka mwenezi apite ndiyo wanasikilizwa..serikali za mitaa ,wenyekiti wa halmashauri,ma- meya na madiwani wameachiwa miradi ya kuzoa taka taka na ulinzi shirikishi tu....
 
Wanaofanyaga maigizo ni kina Lisu, Mbowe, Lema ambao hata ukiwalilia shida gani hawawezi kukisaidia hata kwa elfu 10.
Wakiwaomba misaada wanawajibu "Komaa kamanda hali ngumu"
Hivyo walio wengi wanakimbilia wanapopata msaada.
 
Yani, Dah Mtu anakata keki live wakati kuwan watu wamefukiwa kwenye tope huko Moro, Tegeta na kwengneko.
Na tupo tu na chawa wapo wanasifia,
Wengi tupo kwenye giza, hakuna maji, umeme, mfumuko wa bei kila sehemu yeye mwenye dhamana anafanya ziara kila mwezi, anaenda holiday kajifungia ikulu Dodoma, Dar, Zanzibar.
 
Haya ndio matokeo ya kuipa nguvu serikali kuu na kuua serikali za mitaa.kati ya vitu vichache #5 alivyobugi ni hichi..kwasababu ya wizi "uliokubuhu" akaamua kuhamisha nguvu yote ya kifedha na maamuzi serikalini.

Kero nyingi anazo"tatua" ukizisikiliza ni vitu ambavyo vingeishia huku chini lkni mpaka mwenezi apite ndiyo wanasikilizwa..serikali za mitaa ,wenyekiti wa halmashauri,ma- meya na madiwani wameachiwa miradi ya kuzoa taka taka na ulinzi shirikishi tu....

Watu kutekwa pale shinyanga na polisi kutochukua hatua yoyote ni matokeo ya serikali za mitaa kukosa nguvu?
 
Wapinzani wame panic...Jamani fanyeni siasa acheni kulia lia, na ninyi so mueneze chama chenu?
Wapinzani hamna kitu.Juzi kwenye maandamano ya Chadema Lema aliulizwa kuhusu Makonda kuvutia watu wengi Arusha mjini.Lema akasema yalikuwa ni maigizo na wale watu walikuwa wamesombelewa kutoka Kiteto nk.Maana yake walikuwa hawatoki Arusha mjini pekee.
Wakati Lema anasema hivyo,waandamanaji walikuwa wametoka mikoa yote ya nchi.
 
Yani, Dah Mtu anakata keki live wakati kuwan watu wamefukiwa kwenye tope huko Moro, Tegeta na kwengneko.
Na tupo tu na chawa wapo wanasifia,
Inaonyesha dhahiri vipaumbele vyao ni vipi au una shaka. Keki au Ziara Tanesco unajua kiongozi wako atachagua nini?


Kuna utoto utoto flani ikulu, kufanya vitu rahisirahisi na kukimbia matatizo.

Ametoa majembe Lukuvi, Kalemani, Kabudi kaweka vilaza. Wapiga domo, wanatoa sababu.

Ardhi, umeme ulidhibitiwa. Matatizo yalipungua. Sasa hivi uhuni umeongezeka maradufu.
 
Wengi tupo kwenye giza, hakuna maji, umeme, mfumuko wa bei kila sehemu yeye mwenye dhamana anafanya ziara kila mwezi, anaenda holiday kajifungia ikulu Dodoma, Dar, Zanzibar.
Dubai!

Anaongoza kwa ziara za Dubai.
 
Hakuna ngoja tuone! Mazaa kishasoma ramani, kaona hana influence, kaona wengine wanapata umaarufu kuliko yeye na usidhani hasomi tweeter na jf, anasoma na cha kumuokoa kaona aletemropokaji, asiye na soni ndio ashughulike na wanaotaka formu 2025.

Majaliwa,Kigwangala, Makamba, Mpina, Kasheku inasemekana wote wanataka fomu 2025 .
Vita ni kali ndani ya chama.
Ngoja Tusubiri tuone hii movie 🎥 😅😅😅🔥🔥🙏🙏
 
Ila Makonda kawaweza kweli chadema kila mtu ana nena kwa lugha
Si kwa kuweweseka huko kila mtu anaropoka lake. Wanajua hizi ziara zinazidi kuwaweka mbali na wapiga kura.
 
Anaieneza CCM

Wengi wanadai Shujaa kafufuka naye kamtokea Makonda 😂🔥
Hivi Nchimbi yupo anaendelea na ziara? Au yeye vyombo vya habari na mitandao vimegoma kumpa Airtime? Nasikia hadi IGP anapiga simu kwenye mikutano ya Bashite l
 
Excellent case.....nani ni mtendaji, je kinachofanyika kinaleta taswira ipi kuhusu uwezo wa hao viongozi wakuu wa serikali uliowataja na wengine ngazi ya mkoa na wilaya. Je kama aliyewachangua hao ndio aliyemchagua huyu na kumtuma, hii inaleta taswira ipi kati ya chama na serikali yake. Je hatuoni kuna mgongano hapo wa chama kumreprimand mtumishi wa serikali mbele ya kadamnasi.
Makonda ni Unstoppable !!
Hata Hitler alianzia chini kama muuza magazeti ( street vendor)
Mpaka akaja kuwa Mkuu wa Nchi kubwa kabisa Duniani ! 😅😅🙏
Mama aliwaambia msipime kina cha maji kwa miguu !
Mama kawaletea kipimo cha maji sahihi !!
Makonda amewapagawisha watu ndani Chamani na nje ya Chama chake. !!
Kazi kweli kweli , mambo ni fire 🔥
 
Watz wanahitaji mtu anaweza sikiliza kero zao mbinu hii lazima uvune kura nyingi sana
 
Makonda ni Unstoppable !!
Hata Hitler alianzia chini kama muuza magazeti ( street vendor)
Mpaka akaja kuwa Mkuu wa Nchi kubwa kabisa Duniani ! 😅😅🙏
Mama aliwaambia msipime kina cha maji kwa miguu !
Mama kawaletea kipimo cha maji sahihi !!
Makonda amewapagawisha watu ndani Chamani na nje ya Chama chake. !!
Kazi kweli kweli , mambo ni fire 🔥
Mara paap kawa raisi kimchezo mchezo tu ccm hawana mtu anaeuzika kwa sasa baada ya mama
 
Back
Top Bottom